Tetesi: Rais Samia kubadilisha Baraza la Mawaziri hivi punde

Acha kushauri ujinga. Wote waliotajwa wapigwe chini.
 
Anafanya rotation kwa watu wale wale halafu utegemee matokeo tofauti. Kwa namna hii hatuendi mahali
 
Mama Mh Rais Usiogope, Wananchi tupo na wewe. Hawa wevi wanaturudisha nyuma. Chukua hatua.
kazi iendelee
 
Taarifa yako haiwezi kuwa na ukweli ndani yake. Hii ripoti si ya jana wala juzi. Anayo muda mrefu uliopita. Hii ripoti ilikaliwa na spika hisijadiliwe kutokana na sababu anazozijuwa yeye.

Kama kuna mabadiliko ya baraza la mawaziri haitokani na hii ripoti iliyojadiliwa juzi, na akifanya hivyo kwasababu hiyo basi atakuwa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…