Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

Asisahau kwenda na wasanii, wakatangaze muziki, wafanya biashara washaenda sana.
 
Kumbukeni tu kuwa huyu angekuwa mama wa nyumbani angekuwa anaenda vigodoro kila ijumaa. Starehe ndio jambo kuu la mtu wa mwambao.
 
Acha ujinga, kwamba huko hakuna Balozi au Waziri wa Wizara husika?
 
Huyu huwa anazunguka huku hajui hata anatafuta ni nini?
 
Maendeleo gani anayapata mwananchi wa chini kutokana na huo mkopo?
Umesahau kuweka namba za simu kama wanavyofanya waimba sifa wenzako. Upumbavu mtupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…