Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

Vipi ndo tunaendelea "kububujikwa na machozi",au machozi siku hizi yamekwisha 😂
 
Billioni 31 za dollar au madafu? Kama madafu si kitu cha kujivunia. Wananchi wa Kenya walilalamika lakini ufafanuzi umetolewa. Mama yako anaweza kukupa gharama kiasi gani ameshafuja tangu aanze kwenda safari zisizo na tija? Akirudi ataenda kuzindua album ya nani? Zuchu?
 
Rais wetu anatumia gharama ndogo sana katika ziara zake na ndio maana husikika malalamiko ya gharama kama ambavyo ilitokea kenya. Ni wapi uliona Rais wetu akikodi ndege binafsi kwenda nje ya Nchi?
 
Rais wetu anatumia gharama ndogo sana katika ziara zake na ndio maana husikika malalamiko ya gharama kama ambavyo ilitokea kenya. Ni wapi uliona Rais wetu akikodi ndege binafsi kwenda nje ya Nchi?
 
Tumebubujikwa na machozi ya furaha kuona Jemedari wetu hajasahau watu wa tasnia Rai yangu aziwasahau Bambu na Kingwendu au Mtango
 
 
ZIARA NZITOYA KIKAZI KWA MUDA WA WIKI MOJA🤣🤣

Bonge la Movie la Kikorea litegemewe muda wowote hapo.
 
Rais wetu anatumia gharama ndogo sana katika ziara zake na ndio maana husikika malalamiko ya gharama kama ambavyo ilitokea kenya. Ni wapi uliona Rais wetu akikodi ndege binafsi kwenda nje ya Nchi?
Gharama ndogo ndiyo kiasi gani? Unazo gharama za kila safari aliyokwenda uweke hapa?
 
Korea Kusini ni mabingwa wa elimu ya vitendo,Raisi Samia aangalie hilo ili kuongeza ubunifu na elimu ya kujitegemea kwa kizazi kipya.
 
Gharama ndogo ndiyo kiasi gani? Unazo gharama za kila safari aliyokwenda uweke hapa?
Embu niambie unafahamu usafiri anaotumia Mheshimiwa Rais katika ziara? Ok tuachane na habari za usafiri wa Mheshimiwa Rais maana ni sehemu ya usalama pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…