Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

Mimi nakupuuza na kupuuzia yote uyafanyayo kwa kuwa nimetambua aina ya akili yako.
Nashangaa unanipuuza lakini huishi kudakia post zangu huo ndiyo utaahira wenyewe. Umekariri kuishi kwa kusifia watu ambao hawana muda na wewe.
 
Kila lenye heri Mama
 
Watu ambao walikimbia umande wanapenda sana degree za bure, haha
 
Kwa hiyo unataka uachwe uandike ujinga wako bila kujibiwa.
Mjinga ni wewe usiyejitambua,huwezi kufanya tathmini ya mabandiko yako ikiashiria upungufu wa akili. Unarudia upuuzi huo huo 24/7 bila manufaa yoyote zaidi ya kujidhalilisha tu. Kwa taarifa yako wewe ni mmoja ya watu wanaodharauliwa saaana humu jukwaani kwa aina ya uandishi wako unaoongozwa na hulka ya uchawa. Huna akili kabisa uko kama robot tu.
 
Bila Shaka na huko anaenda kupatiwa "li degree la heshima! PHD!! So pathetic!
 
 
Wewe ndiye unadharauliwa na kuonekana huna akili Timamu kwa tabia yako ya kutukanana matusi utafikiri mgonjwa.
 
Hivi kwanini kiongozi wa China Urusi au Marekani na hata Brazil hawana ziara nyingi hivi kama hawa wa huku kwetu?
Au ndio huwa wanakwenda kuomba?
Yawezekana Kuna faida kwa nchi. Na tutaijua faida hiyo Wataalamu wa fedha wakituletea Cost-Benefit Analysis ya ziara hizi. Asante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…