mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,309
- 4,798
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akitulia tule wapi? Muache apige misele.Hawezi tulia kwake huyu
yaani sijui hata hachoki kukaa kwenye ndege?Hawezi tulia kwake huyu
Kimataifa tunaenda kama Tanzania na sio kama Tanganyika na Zanzibar.Pesa za kuchezea zipo bara pekee, mbona Mwinyi hasafiri?
Yeye haimhusu maana kila kitu kwake ni bureJana si mmesema atabana matumizi kupunguza ukali wa maisha hadi June 1.
Aisee ama kweli tutazidi kutozwa tu
Kubana matumizi hakumaanishi kutokuwajibika/kutotekeleza majukumu ya msingiJana si mmesema atabana matumizi kupunguza ukali wa maisha hadi June 1.
Aisee ama kweli tutazidi kutozwa tu
Siyo kweli, Mwinyi ni Rais kama marais wengine na Zanzibar ni nchi kamiliKimataifa tunaenda kama Tanzania na sio kama Tanganyika na Zanzibar.
Kwenda Uganda ndiyo jukumu la msingi?Kubana matumizi hakumaanishi kutokuwajibika/kutotekeleza majukumu ya msingi
Anachoka, lakini ukichoka hupaswi kuacha kufanya kazi bali unapumzika kidogo kisha unaendelea na kazi.yaani sijui hata hachoki kukaa kwenye ndege?
Kutwa kiguu na njia kama vile hakuna kazi hapa ndaniAnachoka, lakini ukichoka hupaswi kuacha kufanya kazi bali unapumzika kidogo kisha unaendelea na kazi.
Wewe unalalaga tu ndani hutokagi?Hawezi tulia kwake huyu