Rais Samia kufanya ziara ya Kiserikali nchini Uganda kwa siku mbili

Rais Samia kufanya ziara ya Kiserikali nchini Uganda kwa siku mbili

Hata wale wa MSD basi wasibughudhiwe walikuwa kwenye majukumu ya msingi ya Negotiations huko China.
 
Kwenda Uganda ndiyo jukumu la msingi?
Moja ya majukumu ya msingi ni kuiunganisha Tanzania na jumuia za kikanda na kimataifa pamoja na kuimarisha ushirikiano na nchi nyingine.

Kwa kuwa Museven alishakuja, Mama kwenda ni busara ya kawaida sana. Fikiria wewe uwe na rafiki yako, kila sio unaenda kwake, yeye kwako hakanyagi, utamtafsiri vipi?
 
Aisee!
Kazi tunayo. Kwamba huyu hawezi kutulia hata kidogo kweli?
"Kutulia" unakusudia asifanye majukumu yake amma? Yaani watu wakifanya kazi 'manun'guniko', wasipofanya 'malalamiko'.tujenge tabia ya pale linapofanyika jambo jema tunaapreciate kama incentive kwa wafanyaji ili wapate motisha wa kufanya vyema zaidi.

Hii inasaidia hata siku unapokosoa jambo ambalo haliko sawa, unaonekana kama mjengaji na sio mnung'unikaji.
 
Jana si mmesema atabana matumizi kupunguza ukali wa maisha hadi June 1.
Aisee ama kweli tutazidi kutozwa tu
Ukialikwa unalipiwa kila kitu, ukijipeleka walipia kila kitu
 
Museveni alikua rais kipindi Cha Mwinyi senior.
Akawa rais kipindi Cha Mkapa, Mkapa akastaafu, akafa, akazikwa.
Akawa rais kipindi Cha kikwete, kikwete akastaafu ametulia Msoga.
Museveni huyo huyo akawa rais kipindi Cha mwendazake, mwendazake akafa, akazikwa.
Museveni Tena ni rais kipindi Cha mama. Je mtu huyu atamshauri kitu gani mama yetu?
 
Kiguu na njia, kuna watu wananufaika na per diem
 
Moja ya majukumu ya msingi ni kuiunganisha Tanzania na jumuia za kikanda na kimataifa pamoja na kuimarisha ushirikiano na nchi nyingine.

Kwa kuwa Museven alishakuja, Mama kwenda ni busara ya kawaida sana. Fikiria wewe uwe na rafiki yako, kila sio unaenda kwake, yeye kwako hakanyagi, utamtafsiri vipi?
Wala issue siyo hiyo, Watanzania wajifunze kustudy kwanza miradi kama hilo bomba la Mafuta Ohima kwenda Chongwereni, ni Museveni ndio anawanufaisha Watanzania kwa ajira na commission.

Kuna watu roho zao zimejaa chuki tupu.

Tatizo kubwa la Watanzania ni roho mbaya, pita sehemu bila kusalimia watakuchukulia powa tu, ila nunuwa gari halafu wapite bila kusalimia ndio utawajuwa waja.

Halafu Wabongo washkaji zako tu ukiwa na vichaneli vinaanza kunyooka ela tu ya kubadili mboga wanaanza kukuchukia na maneno kibao.

Watanzania ndivyo walivyo, kinachowasumbuwa ni roho mbaya.
 
Museveni alikua rais kipindi Cha Mwinyi senior.
Akawa rais kipindi Cha Mkapa, Mkapa akastaafu, akafa, akazikwa.
Akawa rais kipindi Cha kikwete, kikwete akastaafu ametulia Msoga.
Museveni huyo huyo akawa rais kipindi Cha mwendazake, mwendazake akafa, akazikwa.
Museveni Tena ni rais kipindi Cha mama. Je mtu huyu atamshauri kitu gani mama yetu?
We are winners, economic Diplomatic, mama afuati ushauri kwa Museven, ni bora muwe mnakaa kimya kuficha upumbavu wenu.
 
Wala issue siyo hiyo, Watanzania wajifunze kustudy kwanza miradi kama hilo bomba la Mafuta Ohima kwenda Chongwereni, ni Museveni ndio anawanufaisha Watanzania kwa ajira na commission.

Kuna watu roho zao zimejaa chuki tupu.

Tatizo kubwa la Watanzania ni roho mbaya, pita sehemu bila kusalimia watakuchukulia powa tu, ila nunuwa gari halafu wapite bila kusalimia ndio utawajuwa waja.

Halafu Wabongo washkaji zako tu ukiwa na vichaneli vinaanza kunyooka ela tu ya kubadili mboga wanaanza kukuchukia na maneno kibao.

Watanzania ndivyo walivyo, kinachowasumbuwa ni roho mbaya.
Nakubaliana na wewe mkuu. Tatizo roho mbaya tu ndio maana pia tu na wachawi wengi maana hatua ya juu ya roho mbaya ni uchawi
 
Tulishakubaliana humu huo mradi jiwe alikurupuka. Hauna maana
Nieleze kwa kifupi sana hauna faida kivipi?

Sijawahi kumkubali Jiwe na haitokaa nimkubali lakini sioni tatizo la mradi huu zaidi ya sisi kunufaika na ajira direct na indirect pamoja na serikali kuingiza mapato.

Prove me wrong pls.
 
Back
Top Bottom