Mama huwa haropoki na kukurupuka. Yuko makini na taratibu sio kama mwendazake mpenda sifa. Rejea maombi ya Chato kuwa Mkoa na mishahara ya watumishi.SSH is so naive, hopefully wahusika watamshauri vizuri kabla ya tar 5 asije enda ropoka chochote ili tu kuwa please Wakenya while watz wanaumia. Akisifiwa na yoyote anaona anampenda kumbe anamchota.
Soko huria hapo lipo wapi sasa? Kampuni ya voda ni mali ya Tanzania hadi ipangiwe nani awe kiongozi wao mkuu?Unajua bana jirani nae sio wa kuishi nae soft kiivo hasa ukizingatia kuwa Hakupi kula halafu Kenya anatuhitaji zaidi ya tunavyomhitaji back to the topic
Concern ya kenya sasa ivi ni Vibari vya kazi na Soko huria within East africa
Kenya wana shortage of land na ni powerful families ndio zimehodhi maeneo makubwa sana kiasi kwamba wengine hawana ardhi ivo wanasambaa niliwahi kukutana na mkenya songea akiwa na shamba kubwa sana akilima mahindi baada ya kumdadisi alidai anafatilia pia uraia awe raia wa Tz lakini kinyemela and nili report kwa authorities mana ulinzi wa taifa letu ni wote sote, Kuna mambo JPM alikuwa sahihi sana na kwa kweli tunamuombea mama asimamie umo umo au aboreshe mfano kitendo cha Telecom Giant kama Vodacom mwaka juzi kutaka kumleta mwana dada Syvilia mulinge kuja kuwa MD huku akitokea safaricom hakikua na afya kwa Taifa mana kenya ni jirani na siku zote adui namba moja ni jirani yako ivo Mawasiliano yote ya voda kuwa chini ya mkenya haikuwa na afya na JPM kweli alimpiga tofali dada yule kwa kumnyima Work permit alikuwa sahihi sana Hayati, Frankly kwenye swala la biashara bado tusifungue mipaka kivile kwa sababu kenya wako far kidogo kuanzia branding mpaka packaging tuanze kupeana elimu kwanza
Kenyata na wakenya walijua tz sio ya kuchezea mana tukimwaga ugali wao watamwaga mboga yani chuma chuma
Kabisa hawa jamaa wanaridhishana kwamba sisi kutokuwa nauhusiano mzuri na Kenya ni ujanja wakati kuna watu huu ujirani unatupa unafuu wa maisha kupitia businessUngekuwa unakaa Arusha, Kilimanjaro au Tanga ndio ungejua umuhimu wa biashara kati ya Kenya na Tanzania.
Wewe upo Namtumbo huko umevimbiwa supu ya utumbo wa nguruwe unaweza kuandika chochote unachotaka.
Women's psychology.... Uhuru anajua namna ya kucheza naoSSH is so naive, hopefully wahusika watamshauri vizuri kabla ya tar 5 asije enda ropoka chochote ili tu kuwa please Wakenya while watz wanaumia. Akisifiwa na yoyote anaona anampenda kumbe anamchota.
Bado akili zimeganda kama ilivyo kawaida yako?Yaani Rais kuwa na Ziara ama State Visit au Official Visit katika nchi nyingine Kwako Wewe ni Jambo la Kukushtua na hata Kukushangaza?
WSiwezi kamwe kuiita Kenya nchi "rafiki" kwa Tanzania, 'unless' kama hujui maana ya neno 'rafiki'.Kenya na tanzania ni nchi jirani na nchi marafiki.kwako wewe watu wakitunza urafiki wao wewe shida iko wapi?
Nani kashabikia kujifungia.Hakuna kujifungia Dunia kijiji....
Wewe unaishi pangoni kusikofika habari?Nani kakwambia wamemualika?
Business ipo Kenya peke yake?Kabisa hawa jamaa wanaridhishana kwamba sisi kutokuwa nauhusiano mzuri na Kenya ni ujanja wakati kuna watu huu ujirani unatupa unafuu wa maisha kupitia business
Sent from my TECNO CF8 using JamiiForums mobile app
Unafaidika nini na roho mbaya?
Wakulima wetu wanaitegemea Kenya
Na siyo swala la "kukubaliana nao" pekee.Kuishi vyema na jirani haimaanishi tukubaliane nao katika kila jambo wanalotaka tulifanye.
Tuwe na misimamo yetu na tulinde vyetu kwa manufaa yetu na vizazi vyetu.
National Interest first.
Kuna umuhimu wa ushirikiano na Kenya kibiashara lakini Kenya nayo iweke mazingira sahihi kwa Tanzania kufanya biashara na Kenya.
Unajua bana jirani nae sio wa kuishi nae soft kiivo hasa ukizingatia kuwa Hakupi kula halafu Kenya anatuhitaji zaidi ya tunavyomhitaji back to the topic.
Concern ya kenya sasa ivi ni Vibari vya kazi na Soko huria within East africa. Kenya wana shortage of land na ni powerful families ndio zimehodhi maeneo makubwa sana kiasi kwamba wengine hawana ardhi ivo wanasambaa niliwahi kukutana na mkenya songea akiwa na shamba kubwa sana akilima mahindi baada ya kumdadisi alidai anafatilia pia uraia awe raia wa Tz lakini kinyemela and nili report kwa authorities mana ulinzi wa taifa letu ni wote sote.
Kuna mambo JPM alikuwa sahihi sana na kwa kweli tunamuombea mama asimamie umo umo au aboreshe mfano kitendo cha Telecom Giant kama Vodacom mwaka juzi kutaka kumleta mwana dada Syvilia mulinge kuja kuwa MD huku akitokea safaricom hakikua na afya kwa Taifa mana kenya ni jirani na siku zote adui namba moja ni jirani yako ivo Mawasiliano yote ya voda kuwa chini ya mkenya haikuwa na afya na JPM kweli alimpiga tofali dada yule kwa kumnyima Work permit alikuwa sahihi sana Hayati,
Frankly kwenye swala la biashara bado tusifungue mipaka kivile kwa sababu kenya wako far kidogo kuanzia branding mpaka packaging tuanze kupeana elimu kwanza.
Kenyata na wakenya walijua tz sio ya kuchezea mana tukimwaga ugali wao watamwaga mboga yani chuma chuma
Ndugu zako wote sio lazima wawe watu wazuri kwako.Kenya ni ndugu zetu kabisa, hii mipaka ilichorwa na mabeberu
Kwa hiyo una maana hata hayo mazao ghafi usimuuzie "ndugu yako"?Tanzania itaiuzia nini Kenya zaidi ya mazao ghafi?
Kwa hiyo ashangilie/asherehekee anapoumizwa kutokana na bidhaa zake kunyimwa soko, hata kama hana chochote cha maana cha kumuuzia huyo "ndugu yake"?Maskini kushadadia vita vya kibiashara ni wendawazimu.
Sio na Kenya pekee.Kuweka mazingira mazuri ya kibiashara na uhusiano na Kenya kwa ujumla ni muhimu sana kwa ustawi wa Tanzania kama nchi.
Wewe ni nani ujulishwe agenda ya Rais wa nchi kutembelea nchi nyingine? Kwendraa! Agenda ya legacy imebuma sasa' mmebaki na visirani.Anaenda kufanya nini ? Agenda yake ni nini huko Kenya?
Sahihi ingawa huko ndio kumeyumba zaidi.Sio na Kenya pekee.
Inatakiwa tufanye juhudi kubwa zaidi na majirani zetu wote.