Rais Samia kufanya ziara ya siku mbili Nchini Kenya kuanzia 04|05|2021

Rais Samia kufanya ziara ya siku mbili Nchini Kenya kuanzia 04|05|2021

Ungekuwa unakaa Arusha, Kilimanjaro au Tanga ndio ungejua umuhimu wa biashara kati ya Kenya na Tanzania.

Wewe upo Namtumbo huko umevimbiwa supu ya utumbo wa nguruwe unaweza kuandika chochote unachotaka.
Kwa comment Hii bila Shaka wewe ni mjinga na mpumbavu...unadhani mpaka uko Kilimanjaro na Arusha tu?! Kama was Namtumbo amevimbiwa utumbo wa nguruwe wewe umevimbiwa na Nini ?; Hivi hujui kuwa Namtumbo ina community kubwa ya waislamu?!
 
mama yuko vizuri sana ,she is genius ,calm and collected slow bt sure anajua anachokifanya, kuongoza nchi sio sawa na kuongoza familia, diplomasia ni muhimu sana ,na mama ameshasema "ukitaka kuenda mbali nenda pekee na ukitaka kuenda mbali zaidi nenda na wenzako"
 
Mwaliko uliletwa haraka haraka, kana kwamba kuna dharura!

Sasa mama ameamua kuitikia mwaliko huo wiki ijayao. Haieleweki yaliyokuwemo ndani ya barua ile iliyowasilishwa kwake Dar es Salaam yalihitaji atembelee haraka hivyo; bila shaka ni ya manufaa makubwa kwao; na pengine na kwetu pia hadi mama akaona asichelewe zaidi.

Ni mwezi juzi tu, March, hawa jamaa walipokataza mahindi ya wakulima wetu yasiende kwao kwa visingizio vya kuwa yana 'mycotoxins', uamzi waliofanya kibabe na wakustukizia, kumbe ulikuwa ni uamzi uliotokana na kulinda maslahi ya wakulima wao zaidi kuliko athari za afflatoxins..., hivi huko kwao mahindi ya wakulima wao hayana tatizo hilo!

Na huko miaka ya nyuma je, walipokuwa wakila mahindi yetu, walikufa wangapi? Sisi tunaokula hayo mahindi, miili yetu ni sugu? Uamzi huo haukuwa wa kiungwana kwa jirani unayeshirikiana naye katika biashara.

Siyo hivyo tu, hawa jamaa ni wazuri sana wa kulaumi na kulalamikia wengine huku wao wakijiona kuwa ndio kipimo kinachotakiwa kutumiwa na majirani zao.

Sukari, maziwa mayai, kuku wa Uganda wamezuia kuingia kwao wakilinda wazalishaji wao, huku wao wakihimiza Uganda inunue bidhaa kutoka kwao.

Sasa angalia wanavyomkaribisha mama atakapotembelea -

Wanaandika: Tanzania President to visit Kenya this week.

"She has the responsibility of correcting the continuous tariff between the two neighbouring countries."

Kwa hiyo ni wajibu wa mama kurekebisha, wao hawana linalowahusu!

Wakati mama Samia akitembelea huko, ni vema awe na uelewa mpana kuhusu majirani zetu hawa. Hawa tumetoka nao mbali sana, na bila shaka historia yote anaifahamu vyema.

Ni vizuri pia ajikumbushe wenzake (marais) walivyoshughulika na hawa majirani. Asije akajikuta yeye anasakamia tu toka kwa huyo mwenzake ambaye anajulikana kuwa kizabinazabina mkubwa. Hana msimamo yupo kila mahala, akijiuza na kuwachimba wenzake.
Kahangaika sana na EPA, akitaka tutumbukie tu humo kwa manufaa yake bila kujali sisi tutafaidika vipi. Anatafuta kuingia kwenye mikataba ya kibiashara na mataifa mengine, bila kujali uhusika wake katika jumuia yetu...

Bila shaka haya yatakuwa ni sehemu ya maongezi kati yao, na pengine mama naye kajiandaa ipasavyo.

Tutamsikiliza kwa makini.

====

By Aggrey Mutambo
Senior Diplomatic Writer

Nation Media Group

What you need to know:
If the visit goes ahead as planned, the Tanzanian leader will be coming to Nairobi nearly five years since her predecessor made a similar visit.

Tanzanian President Samia Suluhu is likely to visit Nairobi this week in a trip laden with diplomatic significance.

If the visit goes ahead as planned, the Tanzanian leader, who took over from John Pombe Magufuli following his death in March, will be coming to Nairobi nearly five years since her predecessor made a similar visit.

The trip was confirmed by two diplomats familiar with the arrangement.

She has the responsibility of correcting the continuous trade tiffs between the two neigbouring countries.

In a speech to Parliament last week, President Suluhu told legislators that her administration will pursue economic diplomacy with partners in the region and across the world, signaling intent to repair relations with the outside world.

“If you call it a change, then it will be a renewed effort on economic diplomacy,” she said, referring to better ties with the East African Community, Southern Africa Development Community and the recent Africa Continental Free Trade Area (AfCTA).

Collaboration
President Suluhu’s policy, she pledged, will run on a smoother domestic programme to attract investors, while sustaining relations with key partners the country trades with.

She thinks her diplomats must work better at making the country attractive rather than being an island.

“Our diplomatic staff have to be competent in striking deals in investment and trade promotion as well as seek strategic partners in tourism”, she said.

The itinerary of the planned Kenyan trip had not been made public by Saturday with officials indicating there were still final touches to be made. But the Sunday Nation understands she intends to meet with business lobbies in Nairobi, after holding talks with President Uhuru Kenyatta to discuss bilateral issues.

Renewed trust
This would be her first State visit since taking power, although she has already made an official trip to Uganda where the two countries signed a multi-billion-dollar oil pipeline deal with French oil giant Total and China’s CNOOC.

Frequent non-tariff wars with Kenya have slowed down trade to an average of Sh40 million a year, down from Sh64 billion during Jakaya Kikwete’s era.

Nairobi has indicated renewed trust in the organs of the East African Community whose secretariat is now headed by Kenyan, Dr Peter Mathuki. “We intend to sort out the issues through the established organs of the EAC,” said Johnson Weru, PS for Trade when asked on Kenya’s plan to eliminate the trade wars.

amutambo@ke.nationmedia.com

UPDATES:

Tanzania President Samia Suluhu Hassan is set to jet into Kenya Tuesday, May 4th, for a two-day State Visit.

According to @StateHouseKenya,H.E Pres. Uhuru Kenyatta will receive H.E Pres. Suluhu at State House.
Kenya is an opportunistic state - handle it with care!
 
Kwa comment Hii bila Shaka wewe ni mjinga na mpumbavu...unadhani mpaka uko Kilimanjaro na Arusha tu?! Kama was Namtumbo amevimbiwa utumbo wa nguruwe wewe umevimbiwa na Nini ?; Hivi hujui kuwa Namtumbo ina community kubwa ya waislamu?!
Naona unaanza kuchochea vita ya kidini....

Huko Namtumbo kuna wakristo pia.

Nb. huo ni mwaka wako wa kuzaliwa wewe au TANU?
 
Kwa comment Hii bila Shaka wewe ni mjinga na mpumbavu...unadhani mpaka uko Kilimanjaro na Arusha tu?! Kama was Namtumbo amevimbiwa utumbo wa nguruwe wewe umevimbiwa na Nini ?; Hivi hujui kuwa Namtumbo ina community kubwa ya waislamu?!
Pole sana. Itachukua miaka 20 ujinga wa Magofool kukutoka kichwani.

Kazi inaendelea!
 
mama yuko vizuri sana ,she is genius ,calm and collected slow bt sure anajua anachokifanya, kuongoza nchi sio sawa na kuongoza familia, diplomasia ni muhimu sana ,na mama ameshasema "ukitaka kuenda mbali nenda pekee na ukitaka kuenda mbali zaidi nenda na wenzako"
Amna lolote ni msemo tu, dunia ya akuna cha bure bila kufanya kazi,anataka kutuletea ya awamu ya 4 ya Jk eti nisipo zurula watoto watakufa njaa maana naenda kuemea,hao Wakenya walimsumbua sana Jk kwenye utawala wake, mpaka wakawashawishi Kagame/Museven/Kinyata wakanzisha umoja wao, Mpaka bomba la mafuta lingelipitia Kenya kama asingelikuwepo Magufuri,sasa anarudi kulekule tulikotoka zamani za kuzurula tu,hatatue shida za Watanzania kwanza walionchagua,sio kuzurula hovyo,Kenya amna chochote sanasana kuwauzia nafaka tu, Wakenya walikuwa wezi wa Madini yetu baada Jpm kuingia madarakani akawapiga pini, uchumi wao umeyumba,wao ndio walikuwa wauzaji wakuu wa Tanzanate,dhahabu kuliko Tanzania, Baada ya Magufuri kufa wanatafuta pakutokea, ndio maana wameanza mialiko ya ajabu.Mama akituzingua nasi tunamzingua,asiturudishe Misri, atutaki kurudi kwenye taifa ombaomba.mungu ibariki Tanzania
 
Sam
Samia Rais dhaifu sana,tangu awe rais hajawahi kufanya ziara hata mkoa mmoja kujua shida za wananchi,acha mkoa hata wizara moja kujua kero leo eti anakwenda Kenya kwa siku mbili,haulize wakenya walivyokuwa wananzuka Kikwete,mpaka wakaitenga Tanzania wakaanzisha umoja wao kati ya Kagame/Kinyata/Museven,aliyekuja kuwanyoosha ni Magufuri, Sasahivi anarudi kulekule tulikotoka,Wakenya wanataka Madini yetu baada ya kuona hawamu ya Magufuri ilikuwa imeziba mianya yote ya wizi.Ngoja tuone mwisho wa mchezo huu utakuwaje,yetu macho
Samia ni dhaifu sana,
Wewe ni nani ujulishwe agenda ya Rais wa nchi kutembelea nchi nyingine? Kwendraa! Agenda ya legacy imebuma sasa' mmebaki na visirani.
Yaani ndo mnadanganyana kwamba huyo mititi mikubwa atafuta legacy,mtapoteana sana
 
Sahihi ingawa huko ndio kumeyumba zaidi.
Hapana.

Sio "Huko ndiko kulikoyumba zaidi."

Ni kwamba huko kwingine hatupo kabisa, na hatuonyeshi juhudi za kutamamni kuwepo kwa majirani zetu wengine.

Tunatumia nguvu zote na huyu huyu tunayeyumba naye, kwa nini?
 
Mwaliko uliletwa haraka haraka, kana kwamba kuna dharura!

Sasa mama ameamua kuitikia mwaliko huo wiki ijayao. Haieleweki yaliyokuwemo ndani ya barua ile iliyowasilishwa kwake Dar es Salaam yalihitaji atembelee haraka hivyo; bila shaka ni ya manufaa makubwa kwao; na pengine na kwetu pia hadi mama akaona asichelewe zaidi.

Ni mwezi juzi tu, March, hawa jamaa walipokataza mahindi ya wakulima wetu yasiende kwao kwa visingizio vya kuwa yana 'mycotoxins', uamzi waliofanya kibabe na wakustukizia, kumbe ulikuwa ni uamzi uliotokana na kulinda maslahi ya wakulima wao zaidi kuliko athari za afflatoxins..., hivi huko kwao mahindi ya wakulima wao hayana tatizo hilo!

Na huko miaka ya nyuma je, walipokuwa wakila mahindi yetu, walikufa wangapi? Sisi tunaokula hayo mahindi, miili yetu ni sugu? Uamzi huo haukuwa wa kiungwana kwa jirani unayeshirikiana naye katika biashara.

Siyo hivyo tu, hawa jamaa ni wazuri sana wa kulaumi na kulalamikia wengine huku wao wakijiona kuwa ndio kipimo kinachotakiwa kutumiwa na majirani zao.

Sukari, maziwa mayai, kuku wa Uganda wamezuia kuingia kwao wakilinda wazalishaji wao, huku wao wakihimiza Uganda inunue bidhaa kutoka kwao.

Sasa angalia wanavyomkaribisha mama atakapotembelea -

Wanaandika: Tanzania President to visit Kenya this week.

"She has the responsibility of correcting the continuous tariff between the two neighbouring countries."

Kwa hiyo ni wajibu wa mama kurekebisha, wao hawana linalowahusu!

Wakati mama Samia akitembelea huko, ni vema awe na uelewa mpana kuhusu majirani zetu hawa. Hawa tumetoka nao mbali sana, na bila shaka historia yote anaifahamu vyema.

Ni vizuri pia ajikumbushe wenzake (marais) walivyoshughulika na hawa majirani. Asije akajikuta yeye anasakamia tu toka kwa huyo mwenzake ambaye anajulikana kuwa kizabinazabina mkubwa. Hana msimamo yupo kila mahala, akijiuza na kuwachimba wenzake.
Kahangaika sana na EPA, akitaka tutumbukie tu humo kwa manufaa yake bila kujali sisi tutafaidika vipi. Anatafuta kuingia kwenye mikataba ya kibiashara na mataifa mengine, bila kujali uhusika wake katika jumuia yetu...

Bila shaka haya yatakuwa ni sehemu ya maongezi kati yao, na pengine mama naye kajiandaa ipasavyo.

Tutamsikiliza kwa makini.

====

By Aggrey Mutambo
Senior Diplomatic Writer

Nation Media Group

What you need to know:
If the visit goes ahead as planned, the Tanzanian leader will be coming to Nairobi nearly five years since her predecessor made a similar visit.

Tanzanian President Samia Suluhu is likely to visit Nairobi this week in a trip laden with diplomatic significance.

If the visit goes ahead as planned, the Tanzanian leader, who took over from John Pombe Magufuli following his death in March, will be coming to Nairobi nearly five years since her predecessor made a similar visit.

The trip was confirmed by two diplomats familiar with the arrangement.

She has the responsibility of correcting the continuous trade tiffs between the two neigbouring countries.

In a speech to Parliament last week, President Suluhu told legislators that her administration will pursue economic diplomacy with partners in the region and across the world, signaling intent to repair relations with the outside world.

“If you call it a change, then it will be a renewed effort on economic diplomacy,” she said, referring to better ties with the East African Community, Southern Africa Development Community and the recent Africa Continental Free Trade Area (AfCTA).

Collaboration
President Suluhu’s policy, she pledged, will run on a smoother domestic programme to attract investors, while sustaining relations with key partners the country trades with.

She thinks her diplomats must work better at making the country attractive rather than being an island.

“Our diplomatic staff have to be competent in striking deals in investment and trade promotion as well as seek strategic partners in tourism”, she said.

The itinerary of the planned Kenyan trip had not been made public by Saturday with officials indicating there were still final touches to be made. But the Sunday Nation understands she intends to meet with business lobbies in Nairobi, after holding talks with President Uhuru Kenyatta to discuss bilateral issues.

Renewed trust
This would be her first State visit since taking power, although she has already made an official trip to Uganda where the two countries signed a multi-billion-dollar oil pipeline deal with French oil giant Total and China’s CNOOC.

Frequent non-tariff wars with Kenya have slowed down trade to an average of Sh40 million a year, down from Sh64 billion during Jakaya Kikwete’s era.

Nairobi has indicated renewed trust in the organs of the East African Community whose secretariat is now headed by Kenyan, Dr Peter Mathuki. “We intend to sort out the issues through the established organs of the EAC,” said Johnson Weru, PS for Trade when asked on Kenya’s plan to eliminate the trade wars.

amutambo@ke.nationmedia.com

UPDATES:

Tanzania President Samia Suluhu Hassan is set to jet into Kenya Tuesday, May 4th, for a two-day State Visit.

According to @StateHouseKenya,H.E Pres. Uhuru Kenyatta will receive H.E Pres. Suluhu at State House.
Anakula Bata huyo mama
 
Naona unaanza kuchochea vita ya kidini....

Huko Namtumbo kuna wakristo pia.

Nb. huo ni mwaka wako wa kuzaliwa wewe au TANU?
Yes Kuna community kubwa ya Waktieto na pia community kubwa ya waislamu...Sasa wewe unaona ni sahihi alivyosndika?
 
Inasikitisha sana.Kazi ya mabalozi ni nini? Hajamaliza kutembelea miradi mikubwa ndani ya nchi anazurura tu kwa gharama ya walipa kodi.Hakuna ziara hata moja yamsingi aliyoifanya Tanzania.ziara nchi kama Kenya masikini kama sisi itatusaidia nini?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Kenya is an opportunistic state - handle it with care!
Ningependa sana kuamini kwamba mama na wasaidizi wake wanao ufahamu mzuri wa hali hiyo; vinginevyo tusubiri tu mvuruganyo utakaofuata kama matokeo ya 'naivity' yao.
 
Inasikitisha sana.Kazi ya mabalozi ni nini? Hajamaliza kutembelea miradi mikubwa ndani ya nchi anazurura tu kwa gharama ya walipa kodi.Hakuna ziara hata moja yamsingi aliyoifanya Tanzania.ziara nchi kama Kenya masikini kama sisi itatusaidia nini?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Sijui kama ni chuki binafsi au nini. Lakini hebu tuwe honesty - imekuwa kama utaratibu wa maraisi wa ukanda huu mara waingiapo madarakani hufanya ziara katika nchi jirani. Tulimpokea raisi wa Burundi, DRC etc so, anachofanya SSH si cha ajabu.
 
Mhhh haya mama ukitoka huko usisahau kupita United Kingdom.
 
Unajua bana jirani nae sio wa kuishi nae soft kiivo hasa ukizingatia kuwa Hakupi kula halafu Kenya anatuhitaji zaidi ya tunavyomhitaji back to the topic.

Concern ya kenya sasa ivi ni Vibari vya kazi na Soko huria within East africa. Kenya wana shortage of land na ni powerful families ndio zimehodhi maeneo makubwa sana kiasi kwamba wengine hawana ardhi ivo wanasambaa niliwahi kukutana na mkenya songea akiwa na shamba kubwa sana akilima mahindi baada ya kumdadisi alidai anafatilia pia uraia awe raia wa Tz lakini kinyemela and nili report kwa authorities mana ulinzi wa taifa letu ni wote sote.

Kuna mambo JPM alikuwa sahihi sana na kwa kweli tunamuombea mama asimamie umo umo au aboreshe mfano kitendo cha Telecom Giant kama Vodacom mwaka juzi kutaka kumleta mwana dada Syvilia mulinge kuja kuwa MD huku akitokea safaricom hakikua na afya kwa Taifa mana kenya ni jirani na siku zote adui namba moja ni jirani yako ivo Mawasiliano yote ya voda kuwa chini ya mkenya haikuwa na afya na JPM kweli alimpiga tofali dada yule kwa kumnyima Work permit alikuwa sahihi sana Hayati,

Frankly kwenye swala la biashara bado tusifungue mipaka kivile kwa sababu kenya wako far kidogo kuanzia branding mpaka packaging tuanze kupeana elimu kwanza.

Kenyata na wakenya walijua tz sio ya kuchezea mana tukimwaga ugali wao watamwaga mboga yani chuma chuma

..tatizo ni viongozi wa Tz, na Magu alikuwa sehemu ya uongozi huo.

..Jumuiya ya EAC imekuwepo tangu mwaka 1996 baada ya Mzee Mkapa kuingia madarakani.

..sasa toka wakati huo mpaka leo Watz tuna malalamiko yaleyale.

..kwanini miaka 25 tangu Jumuiya ianzishwe Watz bado tunaogopa ushindani na majirani zetu?
 
Samia Rais dhaifu sana,tangu awe rais hajawahi kufanya ziara hata mkoa mmoja kujua shida za wananchi,acha mkoa hata wizara moja kujua kero leo eti anakwenda Kenya kwa siku mbili,haulize wakenya walivyokuwa wananzuka Kikwete,mpaka wakaitenga Tanzania wakaanzisha umoja wao kati ya Kagame/Kinyata/Museven,aliyekuja kuwanyoosha ni Magufuri, Sasahivi anarudi kulekule tulikotoka,Wakenya wanataka Madini yetu baada ya kuona hawamu ya Magufuri ilikuwa imeziba mianya yote ya wizi.Ngoja tuone mwisho wa mchezo huu utakuwaje,yetu macho
Ficha ujinga wako...Mama Samia amefanya ziara kibao mikoani akiwa VP,,,hakuna asichokifahamu kuhusu hii nchi. Tumuache Mama arudishe mahusiano ya kibiashara na majirani zatu.

Mama anataka kuongeza mapato...huwezi kuongeza mapato kama hufanyi biashara kubwa na nchi zinazokuzunguka.
 
..kwanini miaka 25 tangu Jumuiya ianzishwe Watz bado tunaogopa ushindani na majirani zetu?
Sijawahi hata siku moja kudhani kuwa "Tanzania inaogopa ushindani", sijui dhana hii inatoka wapi?

Ushindani si unyang'anyaji wa kutumia hila, au kuwa kituo cha unyang'anyi toka sehemu nyingine duniani.
 
Back
Top Bottom