Rais Samia kuhudhuria mazishi ya malikia Elizabeth II

Rais Samia kuhudhuria mazishi ya malikia Elizabeth II

Kwanza ni heshima kupata mwaliko na pia ni hatua nzuri sana Kwa ajili ya kuimarisha uhusiano. Juzi tu hapa filamu ya The Loyal Tour ilipondwa lkn matokeo yanaonekana. Yaani Wadau wa utalii wamezidiwa wateja. Sasa kitendo Cha Mheshimiwa Rais wetu kuhudhuria mazishi ya malkia ambaye alivalishwa ALMASI ya Pink kutoka mgodi wa Williamson Mwadui pamoja na mambo mengine basi utalii na watu wa uingereza na ulaya watakuja Tanzania kutalii. Pongezi nyingi sana Kwa MH SSH kutuwakilisha. Kazi iendelee
 
Kwanza ni heshima kupata mwaliko na pia ni hatua nzuri sana Kwa ajili ya kuimarisha uhusiano. Juzi tu hapa filamu ya The Loyal Tour ilipondwa lkn matokeo yanaonekana. Yaani Wadau wa utalii wamezidiwa wateja. Sasa kitendo Cha Mheshimiwa Rais wetu kuhudhuria mazishi ya malkia ambaye alivalishwa ALMASI ya Pink kutoka mgodi wa Williamson Mwadui pamoja na mambo mengine basi utalii na watu wa uingereza na ulaya watakuja Tanzania kutalii. Pongezi nyingi sana Kwa MH SSH kutuwakilisha. Kazi iendelee
Foolish MENTALITY..
Nyie ndio mnaosababisha hizi nchi masikini zizidi kutawaliwa na kudharaulika.

Huo msiba una heshima gan mpaka kuwe na ulazima wa kuudhuria?

Wao mbona hawakuhudhuria misiba ya marais wetu? Utegemezi ndio unaoifanya serikali ya ccm iamini bila kuwanyenyekea mabeberu basi hakuna maendeleo, mnaamin hakuna maendeleo bila kujihusisha na hao waliowatumikishwa kwa mamia ya miaka utumwani.

Futa huu upumbavu wako,
 
Hawa jamaa ni kama maboss zetu sasa boss kapata msiba alaf hauendi si unatafuta balaa
Kwahiyo wote wataenda? Akina Ruto, Hichilema, Museveni et al??
Au ndio ile unaenda msibani halafu unaomba nauli ya kurudi? Kwamba asipoenda ataulizwa?

Nchi iko vitani, Vita ya kiuchumi. Kila mahali tozo!
Watuondolee basi hizi tozo!

Huyu mama anapenda safari sijawahi ona!
Na sijawahi kumsema vibaya kiongozi yeyote wa hili taifa, ila huyu mama; mtanisamehe bure!
Huenda nahitaji ushauri au maombi ili nimuelewe! Simuelewi hata kidogo!
 
Mambo mengine kujidhalilisha tu, unahudhulia hafla ambayo ni nobody, hakuna mtu hata anajua wewe ni nani, hapo US Presidents aliyepo na wastaafu, kuna Hollywood celebrities na watu wengine maarufu sasa huyo atakajali uwepo wa raisi wa Tanzani ni nani ?
 
Wewe una tatizo kubwa linalohitaji matibabu maana huelewi hata historia yetu na uingereza
Kwahiyo wote wataenda? Akina Ruto, Hichilema, Museveni et al??
Au ndio ile unaenda msibani halafu unaomba nauli ya kurudi? Kwamba asipoenda ataulizwa? Nchi iko vitani, Vita ya kiuchumi. Kila mahali tozo!
Watuondolee basi hizi tozo!

Huyu mama anapenda safari sijawahi ona!
Na sijawahi kumsema vibaya kiongozi yeyote wa hili taifa, ila huyu mama; mtanisamehe bure!
Huenda nahitaji ushauri au maombi ili nimuelewe! Simuelewi hata kidogo!
 
Mambo mengine kujidhalilisha tu, unahudhulia hafla ambayo you miss nobody, hakuna mtu hata anajua wewe ni nani, kuna US President na watu wengine maarufu sasa unakwenda kufanya nini?
Kumbuka yeye ni Rais aliyepata mwaliko kuhudhuria hayo maziko, asingeweza kukataa kidiplomasia ikizingatiwa Tz ni mwanachama wa commonwealth
 
Kumbuka yeye ni Rais aliyepata mwaliko kuhudhuria hayo maziko, asingeweza kukataa kidiplomasia ikizingatiwa Tz ni mwanachama wa commonwealth

Kuwakilishwa siyo kukataa, Dunia nzima imealikwa karibia, anyway hivyo ni jinsi nionavyo mimi, labda kuna umuhimu wa yeye kwenda!
 
Kwahiyo wote wataenda? Akina Ruto, Hichilema, Museveni et al??
Au ndio ile unaenda msibani halafu unaomba nauli ya kurudi? Kwamba asipoenda ataulizwa? Nchi iko vitani, Vita ya kiuchumi. Kila mahali tozo!
Watuondolee basi hizi tozo!

Huyu mama anapenda safari sijawahi ona!
Na sijawahi kumsema vibaya kiongozi yeyote wa hili taifa, ila huyu mama; mtanisamehe bure!
Huenda nahitaji ushauri au maombi ili nimuelewe! Simuelewi hata kidogo!
Tuachie Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani anayeendelea kuliheshimisha Taifa letu na kudumisha mahusiano yetu ya kidiplomasia na uingereza, wewe unahitaji matibabu ya kisaikolojia tu
 
Kuwakilishwa siyo kukataa, Dunia nzima imealikwa karibia, anyway hivyo ni jinsi nionavyo mimi, labda kuna umuhimu wa yeye kwenda!
Marehemu is a long time serving head of Commonwealth. Heshima kwake ni kubwa kwa nchi kama Tz akaribishwe Rais lakini yeye atume mwakilishi. Du, kunahitajika busara ya kulaumu
 
Back
Top Bottom