Rais Samia kuhudhuria mazishi ya malikia Elizabeth II

Rais Samia kuhudhuria mazishi ya malikia Elizabeth II

Tayari Londoni kuliwakilisha taifa
View attachment 2360034
Amefanya kitendo cha maana sana kukubali mwaliko wa familia ya mfalme hudhirio hili lina maana kubwa sana kwani atakutana na viongozi na big shorts wote wa dunia,so opportunities kama hizi kwenye economic diplomacy ni muhimu kweli.ila pia shughuli hii inaendeshwa na royal family na sisi pia ni members wa common wealth so tuna wajibika kwa hili kwa asilimia kubwa na appreciation ya RF siyo jambo dogo.
 
Mama samia tayari kawasili london kwenye mazishi. Je, ni marais wote wanakwenda au inakuwaje? View attachment 2360022
Ni vizuri sana amefika huko na jopo lake pia ajifunze wengine wanavyoweka nchi na watu wake wakaishi Kwa amani sio na Panya Road. Pia usafi wa miji waliko chini yake jifunzeni acheni kufumba macho na kupiga Hela za wananchi maskini.
 
Raisi ahudhurie au asihudhurie kama umepigika utapigika tu. Mengine ni wivu tu. Huu msiba ni wa kiongozi wa jumuia ya madola, raisi yeyote wa kuanzia Nyerere hadi JK ungewakuta madarakani wangehudhuria isipokuwa JPM asingeenda kwa sababu za kiafya na si vingine. Acheni wivu
Wivu kwani anaenda huko kwa pesa za mzee suluhu na anamuakilusha mzee Hassani?
 
Jinsia, Colonia linkage, binafsi ana personal link ya kusomea UK, na anaweza akawa ni uk fanatic pia. UK. ni master wa tz
 
NA nin taarifa akitoka hapo atampitia Putin kujadili maswala ya mbolea tupate kwa Bei nafuu mbolea ya urusi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan awasili London nchini Uingereza kwa ajili ya kuhudhuria mazishi ya Malkia Elizabeth II wa Uingereza.
View attachment 2360184
Kiukweli nimeipenda heshima hii Rais Samia aliyo shuka nayo jiji la London

Nilitamani sana angeshuka hivi Jijini New York ile trip ya Royo Tua hivyo kwanza tulishauri Hongera Rais Samia, Kwenda US, Kuhutubia UN, Safari ya Kuzindua Filamu Yako ya Royal Tour, Tunaomba Tukusindikize, Dreamliner Yetu Itue New York kilichotokea ni Je, Uzinduzi Royal Tour ungekuwa na maana kama Rais Samia angetua kwa Dreamliner & ATC kuzindua Direct Flights from DAR-JFK-DAR/JRO-JFK-JRO?

Na baada ya msiba, apumzike kidogo for check up, shopping & relax just a little bit, then aende straight New York kwenye UNGA and this time ahutubie kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili. Angalau ule mkataba wa anga huria kati ya US na Tanzania uwe na sisi tumeuonja!.

Mungu Mbariki Samia,
Mungu Ibariki Tanzania
P
 
Kutokana na mahusiano ya karibu kati ya Uingereza na Tanzania, ningeshangaa sana kama Rais Samia asingeenda.

Pole nyingi kwa familia ya malkia na Waingereza wote.
 
Watanzania nimeona wamemchoka hadi akaunti ya ikulu ya social media wameishambulia sana na kulaani...

Inabidi ajitazame
 
Back
Top Bottom