Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Umejichanganya tu mie sio hao unaowakusudia.Soma huko juu utaelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejichanganya tu mie sio hao unaowakusudia.Soma huko juu utaelewa
Hahaha Royal 🤣🤣Loyal tour= msafara mtiifu
Royal tour= msafara wa Kifalme, a Kimalkia
Umemaanisha upi?
Haendi ✅Wale waliosema Rais Samia aendi kwa sababu ajaalikwa walikuwa wanatuongopea?
Mkuu umeongea jambo la maana sana. Magu alikufa hapa huyo mdudu hata kutuma mwakilishi hakutumaFoolish MENTALITY..
Nyie ndio mnaosababisha hizi nchi masikini zizidi kutawaliwa na kudharaulika.
Huo msiba una heshima gan mpaka kuwe na ulazima wa kuudhuria?
Wao mbona hawakuhudhuria misiba ya marais wetu? Utegemezi ndio unaoifanya serikali ya ccm iamini bila kuwanyenyekea mabeberu basi hakuna maendeleo, mnaamin hakuna maendeleo bila kujihusisha na hao waliowatumikishwa kwa mamia ya miaka utumwani.
Futa huu upumbavu wako,
Ametua wakamuuliza wewe ni rais ama mke wa raisMambo mengine kujidhalilisha tu, unahudhulia hafla ambayo ni nobody, hakuna mtu hata anajua wewe ni nani, hapo US Presidents aliyepo na wastaafu, kuna Hollywood celebrities na watu wengine maarufu sasa huyo atakajali uwepo wa raisi wa Tanzani ni nani ?
Tusanue mkuu!Yaan ile ndege imepaaa moja kwa moja hadi london. Nyie nyie nyie nyie nyie amkeni jaman
Kusafili tena, atawezaje kuacha KWa mfano,Wale waliosema Rais Samia aendi kwa sababu ajaalikwa walikuwa wanatuongopea?
Hii heshima hupewa kiongozi mwenye mwaliko toka serikali husika,/mkuu wa chi. New York Samia hajawai kwenda kwa mwaliko zaidi ya kujipangia tu. So hawezi pata hiyo heshima.Kiukweli nimeipenda heshima hii Rais Samia aliyo shuka nayo jiji la London
Nilitamani sana angeshuka hivi Jijini New York ile trip ya Royo Tua hivyo kwanza tulishauri Hongera Rais Samia, Kwenda US, Kuhutubia UN, Safari ya Kuzindua Filamu Yako ya Royal Tour, Tunaomba Tukusindikize, Dreamliner Yetu Itue New York kilichotokea ni Je, Uzinduzi Royal Tour ungekuwa na maana kama Rais Samia angetua kwa Dreamliner & ATC kuzindua Direct Flights from DAR-JFK-DAR/JRO-JFK-JRO?
Na baada ya msiba, apumzike kidogo for check up, shopping & relax just a little bit, then aende straight New York kwenye UNGA and this time ahutubie kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili. Angalau ule mkataba wa anga huria kati ya US na Tanzania uwe na sisi tumeuonja!.
Mungu Mbariki Samia,
Mungu Ibariki Tanzania
P
Nyamaza wewe Mjinga, hujui kitu. Una uhakika UK hawakuwa na mwakilishi kwenye Mazishi? Boris Johnson alikuwa kiongozi wa kwanza wa kidunia kutweet salamu za pole wakati wa kifo Cha Magufuli. Prince Philip alikuja kukukabidhi uhuru 1962 lakini pia ujumbe wa juu kabisa kutoka buckham palace ulihudhuria Mazishi ya Late Julius K Nyerere. PumbavuuMkuu umeongea jambo la maana sana. Magu alikufa hapa huyo mdudu hata kutuma mwakilishi hakutuma
Acha wivu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]nacheka Kama mazuri vile[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1][emoji1]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huwezi ridhisha kila mtu...Asingeenda mkiponda pia bwasheh
Nyie hamna dogo
Ova
Biden ndo mtu wa mwisho kuwasiliNi protocol
Biden atawasili kesho
Acha kutesekaMambo mengine kujidhalilisha tu, unahudhulia hafla ambayo ni nobody, hakuna mtu hata anajua wewe ni nani, hapo US Presidents aliyepo na wastaafu, kuna Hollywood celebrities na watu wengine maarufu sasa huyo atakajali uwepo wa raisi wa Tanzani ni nani ?
We mchina tuliaKwani kulikuwa na ulazima wa yeye kwenda ? Na amekwenda kwa ajili ya msiba tu au kuna mambo mengine ya muhimu ata fanya huko ?