Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari Londoni kuliwakilisha taifa
View attachment 2360034
Loyal tour= msafara mtiifuKwanza ni heshima kupata mwaliko na pia ni hatua nzuri sana Kwa ajili ya kuimarisha uhusiano. Juzi tu hapa filamu ya The Loyal Tour ilipondwa lkn matokeo yanaonekana. Yaani Wadau wa utalii wamezidiwa wateja. Sasa kitendo Cha Mheshimiwa Rais wetu kuhudhuria mazishi ya malkia ambaye alivalishwa ALMASI ya Pink kutoka mgodi wa Williamson Mwadui pamoja na mambo mengine basi utalii na watu wa uingereza na ulaya watakuja Tanzania kutalii. Pongezi nyingi sana Kwa MH SSH kutuwakilisha. Kazi iendelee
Mkuu naona unapenda sana kuwachokoza watu wa chademaMwenyekiti wa Chadema anakwenda pia
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]nacheka Kama mazuri vile[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1][emoji1]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ningeshangaa sana asiende
Jiue, majinga nyieWasiojielewa wanakwenda.
Wanaojielewa wanatuma wawakilishi.
jiwe kaharibu mentality zenu kabisa nyie mazuzu,ulitaka SAMIA hasiende kumzika malkia wa ukHivi huyo mama hua hachoki kusafiri?
Tahrir:Mawasiliano ya rais.
We! Kuna mambo muhimu zaidi ya njaa. Pambana na njaa yako mwenyewe!Kwamba ni lazima au?
Maana nchini gharama za maisha ziko juu. Yeye anakwenda msibani.
Au atatuletea zawadi ya mkopo nafuu??
haendi hukoMwenyekiti wa Chadema anakwenda pia
HahahahaaaaHawa jamaa ni kama maboss zetu sasa boss kapata msiba alaf hauendi si unatafuta balaa
Jitahidi na wewe uwe raisi tuone utakavyokuwa unaacha kupanda ndege na kwenda kijijini kwenu na misafara ya magari 70 huku ukibeba mafurushi ya pesa za umma kwenda kuwagawia ndg zako huku kwa mwaka ukifanya safari za ivyo more than ten times. Mimi nimeridhika na hali hiiWivu kwani anaenda huko kwa pesa za mzee suluhu na anamuakilusha mzee Hassani?
Duh sijakuelewa kabisa.Jitahidi na wewe uwe raisi tuone utakavyokuwa unaacha kupanda ndege na kwenda kijijini kwenu na misafara ya magari 70 huku ukibeba mafurushi ya pesa za umma kwenda kuwagawia ndg zako huku kwa mwaka ukifanya safari za ivyo more than ten times. Mimi nimeridhika na hali hii
Utaelewa tu, hayo si ndiyo mliokuwa mnayataka?Duh sijakuelewa kabisa.
YapiUtaelewa tu, hayo si ndiyo mliokuwa mnayataka?
Mwache azidi kutumbua tozo zetu sisi mafalaRais Mhe. Samia Suluhu Hassan awasili London nchini Uingereza kwa ajili ya kuhudhuria mazishi ya Malkia Elizabeth II wa Uingereza.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Muwakilishi wa Mfalme Charles III, Cynthia Gresham wa Uingereza pamoja na Balozi wa Tanzania nchini humo Dkt. Asha-Rose Migiro mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Luton tarehe 17 Septemba, 2022 kwa ajili ya kuhudhuria mazishi ya Malkia Elizabeth II wa Uingereza yatakayofanyika tarehe 19 Septemba, 2022 Jijini London.
View attachment 2360184View attachment 2360185View attachment 2360186
Kujua Safari Nyingine za Rais Soma Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Mar 2021
Soma huko juu utaelewaYapi
Mimi naongea uhalisia kwa kuweka ushahidi wa mambo makubwa aliyo yafanya mh Rais yaliyoishangaza Dunia baada ya kuona matunda yake, mama yupo kazini muda woteWakati ukimshauri kupata "matibabu", ni wazi hapo ulipo wewe ni mhanga mkubwa anayetaka msaada huo huo, kutokana na ushabiki uliopitiliza, ni ushabiki wa kichizi!