Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Kuwahi ni muhimu kwa ajili ya kusoma mazingira ndugu! Pamoja na mengineyo, mfano kutembelea ofisi za ubalozi wetu nkMbona kawahi hivyo?🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwahi ni muhimu kwa ajili ya kusoma mazingira ndugu! Pamoja na mengineyo, mfano kutembelea ofisi za ubalozi wetu nkMbona kawahi hivyo?🤣
Ndivyo tulivyo Watanzania, haijulikani tunataka nini😆😆😂🤣Magufuli alipokuwa hasafiri kuna watu humu walikuwa kutwa kulalamika
Ova
M7 na yeye kaenda? Ruto na Kagame? Mwinyi je?Wa nchi zote za Jumuiya
Punguza Mahaba, Hiyo ni Gulf Streem iliyonunuliwa kipindi cha Basil MrambaViva Magufuli
Ya madolaWa nchi zote za Jumuiya
I agree wholeheartedly.Foolish MENTALITY..
Nyie ndio mnaosababisha hizi nchi masikini zizidi kutawaliwa na kudharaulika.
Huo msiba una heshima gan mpaka kuwe na ulazima wa kuudhuria?
Wao mbona hawakuhudhuria misiba ya marais wetu? Utegemezi ndio unaoifanya serikali ya ccm iamini bila kuwanyenyekea mabeberu basi hakuna maendeleo, mnaamin hakuna maendeleo bila kujihusisha na hao waliowatumikishwa kwa mamia ya miaka utumwani.
Futa huu upumbavu wako,
😂Mwenyekiti wa Chadema anakwenda pia
Duh!Huenda nahitaji ushauri au maombi ili nimuelewe! Simuelewi hata kidogo!
I agree wholeheartedly.
Lakini hiyo slave mentality ni ya huyo Samia mwenyewe, sio ya CCM nzima, much less the whole country.
Mbona JPM hakuwasujudia wazungu ?
Samia Hassan is a diplomatic syncophamt.
Hebu msaidie mkuu 'Lucas Mwashambwa', badala ya kumsuta kama unavyofanya hapa.Wewe una tatizo kubwa linalohitaji matibabu maana huelewi hata historia yetu na uingereza
Kuna watu ukiangalia vichwa vya kwa macho unaona Kila kitu kilichomo ndani wengine inakuwa vigumu kweli kweli kujua kilichomo ndani. Sijui ninaeleweka?JPM lugha ilimpiga chenga. Angeenda kujiaibisha tu huko.
Wakati ukimshauri kupata "matibabu", ni wazi hapo ulipo wewe ni mhanga mkubwa anayetaka msaada huo huo, kutokana na ushabiki uliopitiliza, ni ushabiki wa kichizi!Tuachie Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani anayeendelea kuliheshimisha Taifa letu na kudumisha mahusiano yetu ya kidiplomasia na uingereza, wewe unahitaji matibabu ya kisaikolojia tu
Naona wameirudia hiyo ndege ya Rais miezi ya hivi karibuni maana tangu aingie madarakani amekuwa akitumia AirbusYaan ile ndege imepaaa moja kwa moja hadi london. Nyie nyie nyie nyie nyie amkeni jaman