Rais Samia kuhudhuria mazishi ya malikia Elizabeth II

Sawa Rais Wetu Tuwakikishe Vyema Huko Msibani
Usisahau Kutuombea Vijipesa Kidogo Japo Wana Msiba
 
Safarii matumizi hayajapunguzwa apande emirates[emoji3][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Mkuu umeongea jambo la maana sana. Magu alikufa hapa huyo mdudu hata kutuma mwakilishi hakutuma
 
Ametua wakamuuliza wewe ni rais ama mke wa rais
 
Hii heshima hupewa kiongozi mwenye mwaliko toka serikali husika,/mkuu wa chi. New York Samia hajawai kwenda kwa mwaliko zaidi ya kujipangia tu. So hawezi pata hiyo heshima.
 
Mkuu umeongea jambo la maana sana. Magu alikufa hapa huyo mdudu hata kutuma mwakilishi hakutuma
Nyamaza wewe Mjinga, hujui kitu. Una uhakika UK hawakuwa na mwakilishi kwenye Mazishi? Boris Johnson alikuwa kiongozi wa kwanza wa kidunia kutweet salamu za pole wakati wa kifo Cha Magufuli. Prince Philip alikuja kukukabidhi uhuru 1962 lakini pia ujumbe wa juu kabisa kutoka buckham palace ulihudhuria Mazishi ya Late Julius K Nyerere. Pumbavuu
 
Acha kuteseka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…