Rais Samia kuijengea Nyumba familia ya mtoto anaeuza ndizi

Mkuu haya unayoyaona katika nchi hii ndo uhalisia wa Watanzania wengi walivyo ni mazuzu.
 
Mkuu haya unayoyaona katika nchi hii ndo uhalisia wa Watanzania wengi walivyo ni mazuzu.
Kabisa aisee. Yule aliyeenda kuomba msamaha leo anatengenezewa mazingira ya uteuzi ni sula muda tu. Yaani pamoja na tuhuma zote zile ila atarudishwa tena kama bashite tu
 
Sijaelewa kabisa mpendwa wetu anatupa ujumbe gani hapa.
 
Haya maneno yataishi
 
Asiishie hapo tu wapo wengi mno wa namna hiyo, atasaidia wangapi ??

Bora aboreshe uchumi kila mtu anufaike na uchumi imara.
 
Chawa, Kunguni Toka Lumumba Hawajaiona Thread Hii Kuja Kumsifia SSH
 
Cheap politics kuelekea 2025, afanye hivyo kwa watoto wote wanaouza ndizi tena kwa mshahara wake binafsi siyo kwa bajeti fulani iliyotengwa serikalini kwa ajili ya mambo kama hayo

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Samia kazi ya urais imemshinda anatafuta cheap popularity kwasababu hicho ni ki alhaji.
Tumpongeze jamani

Hili si suala dogo...

Vuta picha huyo mama aliyesaidiwa akiona comment yako atajisikiaje...

Kikubwa hii inadhihirisha mh Samia anaona shida za watu na kuchukua hatua.
 
Hakuwahi kuandaliwa ,kujiandaa au kuota kuwa rais kujiamini kudogo .makonda anajua kucheza na victims mind si kwa yatima na wajane hata mama samia is a victim too
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…