Rais Samia kuingia na mlinzi wa kiume msikitini, ni jambo la kawaida. Tuache Mihemko isiyo na Tija

Kama ni dhana ya komando bahati mbaya zaidi Tanzania hatuna makomando wa kike.
 
Ngoja tusikilizie tamko la Shekhe Kundecha and Co 🤣🤣🤣
 
Baada ya Mtume Muhammad SAW tumeambia anafuatia nani!??

Naona chawa mnataka kubadili taratibu za Imani ya dini ya Kiislam duniani Kwa ajili ya mama tu. Hongereni
 
What is the https://jamii.app/JFUserGuide bro! Kwanini avae mavazi ya kike? Kwanini asingebski na muonekano wa kiume? Kwanini kuficha! Si nyumba ya Allah, anaona kila kitu, kwanini hila sasa! Kulikuwa na haja gani, ya kuuficha umma kwamba mlinzi, mmoja wapo ni Dume!?
Kipindi Fulani Diamond aliimba wimbo, akatsja neon"hallelujah "kwa jinsi wa Islam walivyomjia juu kwamba ameutusi uislam, niliona kweli majority muslim are stupid!
Ila hutasikia wakimsema Zuchu jinsi anavyozinishwa na mond bila ndoa, Ila mwezi wa Ramadan anatinga msikitini kama ka maraika vile!
 
Wewe hujielewi yaani ni sawa mwanaume kuvaa hijab na kijifanya mwanamke na kuingia msikitini kweli??
 
Dogo usilazimishe kufifkiri unayajua yote. Urais wa nchi sio sawa na Urais wa Wasafi! Ahahahahaha!!!
 
Makomandoo Wanawake ni Wengi tu wengine walibeba jeneza la Mzee ruksa kama ulikuwa makini kule kaburini 🐼

Nakubaliana na mleta mada Hakuna sehemu Quran imekataza Wanaume na Wanawake kuchanganyika!
 
Jisemee uache mihemko sio tuache.usitumie wingi wakati mwenye shida ni wewe.Watu hawajatumia mihemko ila wameona sio sawa na haikua na ulazima kuhadaa.
 
Sasa si angeingia tu, hilo dela la nini? kumdanganya nani? Je tukihoji ndani ya dela mlimvalisha nn mtasema tunavuka mipaka?
 
Mkiambiwa hii dini ni abrakadabra tu muwe mnaelewa badala ya kuja na mapovu. Hakuna utakatifu hapo na wala Mungu hayupo hapo, hiyo ni mipangilio ya wanadamu tu wala hakuna dhambi mlinzi huyo wa kiume kuingia sehemu hiyo ya wanawake kuswaliia. Labda kwa heshima na mila zetu za kiafrika tu ndio hairuhusiwi kuingiliana sehemu za faragha za jinsia tofauti
 
Hivi pale Maka huwa hamsali naona wote mpo pamoja, wake kwa waume
 
Uislamu wa ki-digitali, dume kati ya wa-mama🤣🤣🤣🤣
 
Hakuna uthibitisho unaoonesha huyo ni mwanaume. Na hamna ulazima wa kuingia na mwanaume kwenye nyumba ya ibada upande wa wanawake. Rais analindwa na Mungu tu, hizo nyingine ni mbwembwe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…