Rais Samia kuingia na mlinzi wa kiume msikitini, ni jambo la kawaida. Tuache Mihemko isiyo na Tija

Rais Samia kuingia na mlinzi wa kiume msikitini, ni jambo la kawaida. Tuache Mihemko isiyo na Tija

Ndiyo maana kuna muda huwa Najivunja kwa Kuukana Utanzania wangu pale wenye Akili Afrika wakiniuliza Jambo. Kuna Mtanzania namhifadhi ( Jasusi wa Majasusi ila haimbwi hapa Tanzania na wala Yeye mwenyewe hataki Shobo za Kuimbwa kwani hana Ushamba huo ila alikuwa na mpaka leo bado ana Uzalendo wa Kutukuka wa si tu Taifa la Tanzania bali kwa Afrika nzima ) alipewa Barua muhimu sana na Hayati Baba wa Taifa ampelekee Hayati Mandela Kifungoni pale Robben Island Cape Town na ilimlazimu Avalie kama Mwanamke 'Camouflaging' 'ili Kufanikisha na Alifanikisha zoezi hilo japo baadae Walinzi wa Makaburi walipomshtukia akiwa ameshaondoka wakaanza Kumsaka ila bahati nzuri alikuwa ameiva Kijasusi alishajiandaa kwa Kuwatoroka na hakika alikimbia muda si mrefu kwa kupanda Gari hadi Zimbabwe kisha alipofika huko akapanda Ndege na kurejea zake Tanzania na Mwalimu Nyerere alimpongeza na alimkubali hadi Anafariki na hivi sasa Mzee wa Watu yuko zake tu Masaki katulia japo Umri unaenda ), ila ana Madini ya Kutukuka ambayo nina uhakika Siku GENTAMYCINE nikisema niandike Kitabu chake huenda Watanzania wakauliza ni kwanini hata hajajengewa Sanamu au hajatukuzwa kwani kafanya Makubwa huku akihatarisha Maisha yake kwa Uzalendo, Utiifu na Upendo mkubwa wa Tanzania na nchi zote za Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika.

Kwa Wabobezi wa Usalama ( siyo GENTAMYCINE ) kilichofanywa Msikitini na Njemba ya Kinjagu ( PSU ) ni Kawaida tu.
 
Ndiyo maana kuna muda huwa Najivunja kwa Kuukana Utanzania wangu pale wenye Akili Afrika wakiniuliza Jambo. Kuna Mtanzania namhifadhi ( Jasusi wa Majasusi ila haimbwi hapa Tanzania na wala Yeye mwenyewe hataki Shobo za Kuimbwa kwani hana Ushamba huo ila alikuwa na mpaka leo bado ana Uzalendo wa Kutukuka wa si tu Taifa la Tanzania bali kwa Afrika nzima ) alipewa Barua muhimu sana na Hayati Baba wa Taifa ampelekee Hayati Mandela Kifungoni pale Robben Island Cape Town na ilimlazimu Avalie kama Mwanamke 'Camouflaging' 'ili Kufanikisha na Alifanikisha zoezi hilo japo baadae Walinzi wa Makaburi walipomshtukia akiwa ameshaondoka wakaanza Kumsaka ila bahati nzuri alikuwa ameiva Kijasusi alishajiandaa kwa Kuwatoroka na hakika alikimbia muda si mrefu kwa kupanda Gari hadi Zimbabwe kisha alipofika huko akapanda Ndege na kurejea zake Tanzania na Mwalimu Nyerere alimpongeza na alimkubali hadi Anafariki na hivi sasa Mzee wa Watu yuko zake tu Masaki katulia japo Umri unaenda ), ila ana Madini ya Kutukuka ambayo nina uhakika Siku GENTAMYCINE nikisema niandike Kitabu chake huenda Watanzania wakauliza ni kwanini hata hajajengewa Sanamu au hajatukuzwa kwani kafanya Makubwa huku akihatarisha Maisha yake kwa Uzalendo, Utiifu na Upendo mkubwa wa Tanzania na nchi zote za Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika.

Kwa Wabobezi wa Usalama ( siyo GENTAMYCINE ) kilichofanywa Msikitini na Njemba ya Kinjagu ( PSU ) ni Kawaida tu.
Tunaacha kujadili mambo ya Msingi kwa Taifa tuko busy kujadili Mlinzi wa Rais kuvaa kama Mwanamke Msikitikini halafu tukipitwa na Rwanda tunawachukia....,...........wewe umejadili mambo gani ya Msingi hapa
 
Ndiyo maana kuna muda huwa Najivunja kwa Kuukana Utanzania wangu pale wenye Akili Afrika wakiniuliza Jambo. Kuna Mtanzania namhifadhi ( Jasusi wa Majasusi ila haimbwi hapa Tanzania na wala Yeye mwenyewe hataki Shobo za Kuimbwa kwani hana Ushamba huo ila alikuwa na mpaka leo bado ana Uzalendo wa Kutukuka wa si tu Taifa la Tanzania bali kwa Afrika nzima ) alipewa Barua muhimu sana na Hayati Baba wa Taifa ampelekee Hayati Mandela Kifungoni pale Robben Island Cape Town na ilimlazimu Avalie kama Mwanamke 'Camouflaging' 'ili Kufanikisha na Alifanikisha zoezi hilo japo baadae Walinzi wa Makaburi walipomshtukia akiwa ameshaondoka wakaanza Kumsaka ila bahati nzuri alikuwa ameiva Kijasusi alishajiandaa kwa Kuwatoroka na hakika alikimbia muda si mrefu kwa kupanda Gari hadi Zimbabwe kisha alipofika huko akapanda Ndege na kurejea zake Tanzania na Mwalimu Nyerere alimpongeza na alimkubali hadi Anafariki na hivi sasa Mzee wa Watu yuko zake tu Masaki katulia japo Umri unaenda ), ila ana Madini ya Kutukuka ambayo nina uhakika Siku GENTAMYCINE nikisema niandike Kitabu chake huenda Watanzania wakauliza ni kwanini hata hajajengewa Sanamu au hajatukuzwa kwani kafanya Makubwa huku akihatarisha Maisha yake kwa Uzalendo, Utiifu na Upendo mkubwa wa Tanzania na nchi zote za Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika.

Kwa Wabobezi wa Usalama ( siyo GENTAMYCINE ) kilichofanywa Msikitini na Njemba ya Kinjagu ( PSU ) ni Kawaida tu.
Tusimjadili mlinzi wa Rais kwa kumjadili aliyempelekea Mandela barua? Au sijaelewa.
 
Mtanzania wasasa, bora amekula,ana bando imetosha. Hata Kenya wanatushinda. Walipigania Katiba mpya mpaka wakaipata. Walijaribu upinzani, angalau walijaribu.
 
Basi usiwe unacomment maana una panic vile vile unajitoa akili kwamba hamnazo na kuvisha watu cheo chako Cha upumbavu
GENTAMYCINE kamwe sijawahi na sitowahi Kueleweka na Wapumbavu hapa JamiiForums na Nje pia na JamiiForums.
 
Back
Top Bottom