Rais Samia kuingia na mlinzi wa kiume msikitini, ni jambo la kawaida. Tuache Mihemko isiyo na Tija

Nchi imejaa vilaza kila mahala
Watawala wa Kiafrika wana uoga wa ajabu sana! Inakuwaje sasa mwanaume avae mavazi ya kike na kujichanganya kwa wanawake ndani ya nyumba ya ibada!!

Yaani ndiyo kusema walinzi wa kike hawana uwezo wa kumlinda Boss wao sehemu kama hiyo!!
Kwa kweli kama ni mwanaume, basi idara imechemsha. 😂
 
Kweli kujadili hili pia ni ushamba!! Masuala nyeti ya nchi yanahitaji wakati mwingine watu wafikie kuvaa hivyo. Mi sioni shida na ningekuwa ndo mlinzi wake hadi wanja ningeweka na lipstick plus hinna
 
Watawala wa Kiafrika wana uoga wa ajabu sana! Inakuwaje sasa mwanaume avae mavazi ya kike na kujichanganya kwa wanawake ndani ya nyumba ya ibada!!

Yaani ndiyo kusema walinzi wa kike hawana uwezo wa kumlinda Boss wao sehemu kama hiyo!!
Tumetia aibu sana mkuu
 
Ndo available hijab 🧕 1
Kweli kujadili hili pia ni ushamba!! Masuala nyeti ya nchi yanahitaji wakati mwingine watu wafikie kuvaa hivyo. Mi sioni shida na ningekuwa ndo mlinzi wake hadi wanja ningeweka na lipstick plus hinna
sasa ndo sheikh ikitokea kamuelewa akamtongoza ingekuwaje?
Haya mwamba na hijab yake tumbo la kuhara limemshika atakwenda choo gani.kwani usalama wa kike hamnaa.basi angevaa hata NINJA.
😃😃😃😃
 
Ukiachana na mwanaume kuswali na akina mama .

Pia katika uislam ni makosa mwanaume kuvaa mavazi ya kike.

Katika zama hiz za mapambano ya ushoga Ikulu inatoa ujumbe gani kwa kumvalisha mwanaume mavazi ya mwanamke?

Kuvaa vile ni kutaka aonekane yeye ni mwanamke kitu ambacho si kweli na ni maigizo ,,, maigizo kwenye nyumba ya ibada?
 
Busara ilikua ni kuto kuvaa hilo vazi.
Kubalini kosa lingine hili kati ya makosa mengi mliyo nayo.
Hizo ni mbinu za kiulizi, kwani huko mskitini kimeharibika nini??
 
Wagalatia ndio wanapata tabu , mpaka nashangaa na hawana elimu ya uislamu....Wanawake mule hawapo uchi .

Kule Mecca walinzi ni wakina sehemu zote?
 
Ingekua kwa JPM kelele zingekua nyiingii oohoo anaogopa mpaka analindwa sana. Ukweli usemwe jamaa kaharibu kuvaa ushungi
Ebu niambie alicho haribu ni nini...???
 
Kidini sio sawa hizo ni element za Ushoga, kwanini mwanaume avalishwe mavazi ya kike. Mbona Gadafi ulikua analindwa na walinzi wa Kike ?
 
Kama sheria za Mungu zinavunjwa namna hii vipi kuhusu sheria za binadamu ?
Ni lini mungu ameleta sheria hapa duniani??

Misikiti na makanisa ni nyumba kama nyumba zingine tu.( unaweza kugeuza kuwa ghala la kuwekea mahindi pia)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…