Rais Samia kuingia na mlinzi wa kiume msikitini, ni jambo la kawaida. Tuache Mihemko isiyo na Tija

Wenye makosa ni hao walioshindwa kumwandaa huyo mwanaume ili afanane kike

Na hata hivyo hakutakiwa awe mmoja, wengekuwa hata wanne wote wamepiga mavazi ya kuziba Uso.
 
Hivi wakati mtume anatoa hayo maelekezo binadamu tulikuwa tulishaanza kuvaa nguo?
Ndiyo, wakati Mtume Muhammad (SAW) anatoa maelekezo hayo, binadamu walikuwa tayari wameanza kuvaa nguo. utamaduni wa kuvaa nguo ulikuwa umekuwepo kwa maelfu ya miaka kabla ya wakati wa Mtume Muhammad (SAW).


Historia inaonyesha kuwa kuvaa nguo ni desturi ya zamani sana. Hata kabla ya wakati wa Nabii Adam (AS) katika hadithi za kidini, wanadamu walikuwa wakijifunika miili yao kwa njia mbalimbali kwa kutumia ngozi za wanyama, majani, na vifaa vingine vya asili.


Enyi wanaadamu! Tumekuteremshieni nguo za kuficha uchi wenu na nguo za pambo. Na nguo za ucha Mungu, hizo ni bora. Hayo ni katika Ishara za Mwenyezi Mungu ili wapate kukumbuka." (Quran 7:26)
 
Mkuu usijiropokee tu kama umekunywa pombe.
Uislam haujakataza mwanamke kwenda msikitini,ila misikiti ilitenga nafasi za wanaume na wanawake ili kuweka faragha na adabu baina ya jinsia hizo mbili.
Hairuhusiwi mwanamke na mwanaume kuchangamana sehemu moja katika ibada.
Hilo huwa linatokea wakati wa HIJJAH tu sana sana pale watu wanapozunguka kaabah.
Huyo askari hakupaswa kuingia sehemu ya wanawake ilhali yeye mwanaume.
Kwani hakukuwa na askari mwanamke!?
Je mwanamke angetaka kuweka nguo sawa ili ajistiri vizuri aanze kuswali si atakua kashamchungulia!??
HUYO ASKARI AMEKOSEA NA HUYO MAMA SAMIA NAONA AMESHINDWA KUJICHUNGA MPAKA SASA ANAVUKA MIPAKA YA DINI.
AJITIZAME ASIJE AKAKUFURU ZAIDI.
 
. 🀣🀣🀣🀣🀣, Na uso wake wa kung'aa Safi kabisa
 
Duu hii kali ya mwaka kwa hiyo mwana akapiga hijab aisee huu ni udhalilishaji wa dini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
Ni jambo la kawaida mkuu... Hata sheikh wa mskiti amesema ni jambo la kawaida kabisa . Hasa katika mbinu za security. 😎😎.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…