Rais Samia kuitetemesha kwa kishindoo Arusha Kesho

Rais Samia kuitetemesha kwa kishindoo Arusha Kesho

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge anakwenda kuitetemesha kwa kishindo kikuu jiji la Arusha.

Ambapo siku ya kesho Rais wetu Mpendwa anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi katika ufunguzi wa kikao kazi cha wenyeviti wa Bodi na watendaji wakuu wa taasisi za umma.

Ambapo leo hii baada ya kutoka Nchini kenya ametua kwa kishindo katika uwanja wa KIA na kupokelewa kwa mapokezi mazito na wakuu wawili wa mikoa ya Arusha na Kilimanjaro.Ambapo katika Mapokezi hayo Alikuwepo pia Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara.

Ambaye alionekana kuwa mwenye tabasamu , unyenyekevu na mtulivu wakati wote wa mapokezi hayo ya Amiri Jeshi Mkuu wetu. ambaye ni miongoni mwa wanawake mia moja wenye ushawishi zaidi Duniani.lakini pia ndio kinara wa kupigania matumizi ya nishati safi na bora Duniani Kwote katika kumuepusha mwanamke na matumizi ya kuni na mkaa katika kupikia ,ambayo yamekuwa na athari kubwa sana kiafya na kimazingira.

Kwa hiyo tukae kwa kutulia tusubiri hotuba nzito na ya kusisimua itakayotolewa na Rais huyu Mwenye uhodari mkubwa wa kutoa hotuba kama ilivyo kwa akina Barack Obama au Michell Obama au Hillary Clinton wa Marekani. Rais huyu mwenye kuungwa mkono na mamilioni ya watanzania anatua katika jiji la Arusha ikiwa ni siku chache tokea atoe maagizo mazito sana yaliyo itetemesha Arusha na kanda ya kaskazini.

baada ya kutoa maagizo yaliyomaliza mgomo na maandamano ya Wamasai na kuwaacha wakiwa wenye furaha na tabasamu huku wakiruka ruka juu kwa furaha na shangwe kumshukuru na kumpongeza Rais wetu mpendwa kwa usikivu wake,utu , uungwana na moyo wa upendo kwa watanzania wote.
Screenshot_20240827-195212_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ukizunguuka mitaani unaweza hisi labda hizi sifa za mitandaoni na kwenye vyombo vya habari anapewa kiongozi wa nchi nyingine.

Samia mtaani hakubaliki kabisa. Hali sio shwari, vitu vimepanda bei kusiko tegemewa. Kama kweli anaipenda nchi hii basi ni vyema akakaa pembeni kumpisha mtu mwingine aongoze nchi
 
Ukizunguuka mitaani unaweza hisi labda hizi sifa za mitandaoni na kwenye vyombo vya habari anapewa kiongozi wa nchi nyingine.

Samia mtaani hakubaliki kabisa. Hali sio shwari, vitu vimepanda bei kusiko tegemewa. Kama kweli anaipenda nchi hii basi ni vyema akakaa pembeni kumpisha mtu mwingine aongoze nchi
Itakuwa unashinda umejifungia chumbani kwako halafu unakuwa unaota ndoto zako za kitoto hapa. Rais Samia anakubalika Nchini ni haijapata kutokea katika Historia ya Taifa Letu
Screenshot_20240802-154701_1.jpg
Screenshot_20240805-224054_1.jpg
Screenshot_20240718-222437_1.jpg
Screenshot_20240823-183630_1.jpg
.
 
Ukizunguuka mitaani unaweza hisi labda hizi sifa za mitandaoni na kwenye vyombo vya habari anapewa kiongozi wa nchi nyingine.

Samia mtaani hakubaliki kabisa. Hali sio shwari, vitu vimepanda bei kusiko tegemewa. Kama kweli anaipenda nchi hii basi ni vyema akakaa pembeni kumpisha mtu mwingine aongoze nchi
Sisi makada anatupatia wakati mgumu sana kumpigia kampeni mwaka ujao. Yaani mambo yanabadilika kwa kasi sana, wananchi wamejaza vifua vyao na machungu mengi ya kupigika kimaisha, muda utaongea.
 
Sisi makada anatupatia wakati mgumu sana kumpigia kampeni mwaka ujao. Yaani mambo yanabadilika kwa kasi sana, wananchi wamejaza vifua vyao na machungu mengi ya kupigika kimaisha, muda utaongea.
Wewe endelea kupambana kuiokoa CHADEMA yako inayoendelea kupoteza muelekeo kila uchao na kukimbiwa na wanachama wote wenye akili Timamu na wanaojitambua vyema.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge anakwenda kuitetemesha kwa kishindo kikuu jiji la Arusha.

Ambapo siku ya kesho Rais wetu Mpendwa anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi katika ufunguzi wa kikao kazi cha wenyeviti wa Bodi na watendaji wakuu wa taasisi za umma.

Ambapo leo hii baada ya kutoka Nchini kenya ametua kwa kishindo katika uwanja wa KIA na kupokelewa kwa mapokezi mazito na wakuu wawili wa mikoa ya Arusha na Kilimanjaro.Ambapo katika Mapokezi hayo Alikuwepo pia Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara.

Ambaye alionekana kuwa mwenye tabasamu , unyenyekevu na mtulivu wakati wote wa mapokezi hayo ya Amiri Jeshi Mkuu wetu. ambaye ni miongoni mwa wanawake mia moja wenye ushawishi zaidi Duniani.lakini pia ndio kinara wa kupigania matumizi ya nishati safi na bora Duniani Kwote katika kumuepusha mwanamke na matumizi ya kuni na mkaa katika kupikia ,ambayo yamekuwa na athari kubwa sana kiafya na kimazingira.

Kwa hiyo tukae kwa kutulia tusubiri hotuba nzito na ya kusisimua itakayotolewa na Rais huyu Mwenye uhodari mkubwa wa kutoa hotuba kama ilivyo kwa akina Barack Obama au Michell Obama au Hillary Clinton wa Marekani. Rais huyu mwenye kuungwa mkono na mamilioni ya watanzania anatua katika jiji la Arusha ikiwa ni siku chache tokea atoe maagizo mazito sana yaliyo itetemesha Arusha na kanda ya kaskazini.

baada ya kutoa maagizo yaliyomaliza mgomo na maandamano ya Wamasai na kuwaacha wakiwa wenye furaha na tabasamu huku wakiruka ruka juu kwa furaha na shangwe kumshukuru na kumpongeza Rais wetu mpendwa kwa usikivu wake,utu , uungwana na moyo wa upendo kwa watanzania wote.View attachment 3080817

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Shahawa nyingine heri zingemwagwa nje tu
 
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
Safari ya kwenda nchi jirani pengine amepewa ushauri kuwa mambo mazito kama yaliyotokea katika kilima cha nyika za Ngorongoro, ni vizuri rais mwenyewe akajitosa mstari wa mbele kulibeba kama jinsi rais wa Jamhuri ya Kenya mheshimiwa Dr. William Samoe Ruto alivyokuwa mbele kukutana na GEN Z kupoza mambo yenye mwenyewe badala ya kutumia wawakilishi.

Hivyo amepata ushauri wa experience / uzoefu kutoka nchi jirani kuwa badala ya kutegemea stori za Prof. Palamagamba Kabudi anayebadilika kwa kutazama bosi ni nani, au William Lukuvi mwanasiasa mkongwe kuleta siasa hata RC Paul Makonda ambaye siku za karibuni anaonekana ndiye mtetezi pekee wa wanyonge sifa hii kwa Makonda inaweza kuzima nyota ya rais.

Pia huenda ame re -play hotuba hii hapa chini mara 100 na
Ameguswa na hotuba hii ya karne kutoka kwa watu wa nyikani nyanda za juu kaskazini yaani Ngorongoro


View: https://m.youtube.com/watch?v=pQJZG68rzEw
 
Wewe endelea kupambana kuiokoa CHADEMA yako inayoendelea kupoteza muelekeo kila uchao na kukimbiwa na wanachama wote wenye akili Timamu na wanaojitambua vyema.
Tatizo lako wewe bado mchanga sana ndani ya chama, niko CCM tangu 1995 nakuhakikishia yajayo yatawashangaza sana watu wa aina yako. Tunakwenda kuwa na vita ndani ya chama huku tukikabiliana na machungu ya wapiga kura, hali itakuwa si nzuri sana.
 
Wamasai hatumtaki kabisa huyu hata kumwona baada ya kuuza ardhi yetu Kwa wajomba wake
 
Ukizunguuka mitaani unaweza hisi labda hizi sifa za mitandaoni na kwenye vyombo vya habari anapewa kiongozi wa nchi nyingine.

Samia mtaani hakubaliki kabisa. Hali sio shwari, vitu vimepanda bei kusiko tegemewa. Kama kweli anaipenda nchi hii basi ni vyema akakaa pembeni kumpisha mtu mwingine aongoze nchi
Wewe umeandika mtaani, ngoma nenda kutana na kuongea na wasaidizi wake wa chama chake na serikali ngazi ya chini kabisa huku mpaka ngazi ya juu kule anaokutana nao mara kwa mara, ndipo utajua hakubaliki kwa kiasi gani.
 
Tatizo lako wewe bado mchanga sana ndani ya chama, niko CCM tangu 1995 nakuhakikishia yajayo yatawashangaza sana watu wa aina yako. Tunakwenda kuwa na vita ndani ya chama huku tukikabiliana na machungu ya wapiga kura, hali itakuwa si nzuri sana.
CCM hatuna watu aina yako na wenye akili kama zako.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge anakwenda kuitetemesha kwa kishindo kikuu jiji la Arusha.

Ambapo siku ya kesho Rais wetu Mpendwa anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi katika ufunguzi wa kikao kazi cha wenyeviti wa Bodi na watendaji wakuu wa taasisi za umma.

Ambapo leo hii baada ya kutoka Nchini kenya ametua kwa kishindo katika uwanja wa KIA na kupokelewa kwa mapokezi mazito na wakuu wawili wa mikoa ya Arusha na Kilimanjaro.Ambapo katika Mapokezi hayo Alikuwepo pia Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara.

Ambaye alionekana kuwa mwenye tabasamu , unyenyekevu na mtulivu wakati wote wa mapokezi hayo ya Amiri Jeshi Mkuu wetu. ambaye ni miongoni mwa wanawake mia moja wenye ushawishi zaidi Duniani.lakini pia ndio kinara wa kupigania matumizi ya nishati safi na bora Duniani Kwote katika kumuepusha mwanamke na matumizi ya kuni na mkaa katika kupikia ,ambayo yamekuwa na athari kubwa sana kiafya na kimazingira.

Kwa hiyo tukae kwa kutulia tusubiri hotuba nzito na ya kusisimua itakayotolewa na Rais huyu Mwenye uhodari mkubwa wa kutoa hotuba kama ilivyo kwa akina Barack Obama au Michell Obama au Hillary Clinton wa Marekani. Rais huyu mwenye kuungwa mkono na mamilioni ya watanzania anatua katika jiji la Arusha ikiwa ni siku chache tokea atoe maagizo mazito sana yaliyo itetemesha Arusha na kanda ya kaskazini.

baada ya kutoa maagizo yaliyomaliza mgomo na maandamano ya Wamasai na kuwaacha wakiwa wenye furaha na tabasamu huku wakiruka ruka juu kwa furaha na shangwe kumshukuru na kumpongeza Rais wetu mpendwa kwa usikivu wake,utu , uungwana na moyo wa upendo kwa watanzania wote.View attachment 3080817

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mwanaume anapo kuwa na tabia za kike halafu anajifanya anapinga ushoga 😆😅
 
Back
Top Bottom