Rais Samia kuitetemesha kwa kishindoo Arusha Kesho

Sababu chanya ya rais Samia Hassan kujitwisha kichwani sakata lilioibuka Nyikani Ngorongoro moto unaweza kusamba Tanzania yote, hivyo kuna ulazima kwenda yeye mwenyewe Arusha kama alivyokwenda Kizimkazi au hii safari ya sasa ya Nairobi leo hii :

Gen Z wa Kenya ilivyomfanya rais wa Jamhuri ya Kenya mheshimiwa Dr. William Ruto kujisahihisha kwa kuwa msikivu asiyeziba masikio kusikiliza maoni ya Gen Z

 
Wamasai hoyeee
 

Attachments

  • 5807476-1ff68b6d15215a707098878e4bc0d8a7.mp4
    48.1 MB
Hadi kipindi hicho atakuwa amewafanyia watanganyika nini? Au ni kuuza raslimali zetu?
Hili la kuuza mnalisema sana lakini huku nafsi zenu zikiwasuta kwamba mnadanganya, na hapa ndipo mnapothibitisha udhaifu wa udini mlionao,

Hivi kweli kuna mtu awaye yeyote anaweza kuuza mali ya inchi?
Kwa weledi nahaki kabisa mseme
 
Hili la kuuza mnalisema sana lakini huku nafsi zenu zikiwasuta kwamba mnadanganya, na hapa ndipo mnapothibitisha udhaifu wa udini mlionao,

Hivi kweli kuna mtu awaye yeyote anaweza kuuza mali ya inchi?
Kwa weledi nahaki kabisa mseme
Shanta kanunua maeneo Bei ya Bure.
 
H
Hata Mwashambwa anajua ila anajikaza kisoap tu.
 
Hili la kuuza mnalisema sana lakini huku nafsi zenu zikiwasuta kwamba mnadanganya, na hapa ndipo mnapothibitisha udhaifu wa udini mlionao,

Hivi kweli kuna mtu awaye yeyote anaweza kuuza mali ya inchi?
Kwa weledi nahaki kabisa mseme
Ndiyo! Bunge halijaidhinisha matumizi ya kununua pikipiki za kila kata na jumuia zake. CCM haina pesa za kufanya hivyo pia. Na president ni mshahara wake ndo umenunua pikipiki hizo? Na kulipia magoli ya Yanga na Simba? Tuna mashaka!
 
Ndiyo! Bunge halijaidhinisha matumizi ya kununua pikipiki za kila kata na jumuia zake. CCM haina pesa za kufanya hivyo pia. Na president ni mshahara wake ndo umenunua pikipiki hizo? Na kulipia magoli ya Yanga na Simba? Tuna mashaka!
Eti nini?!
CCM ina pesa kuliko serikali, kwa taarifa yako ccm wana vitega uchumi kuliko chama chechote africa
 
Poteza tu kodi zetu...bora angebaki tu huko kizimkazi milele
 
Tatizo lako wewe bado mchanga sana ndani ya chama, niko CCM tangu 1995 nakuhakikishia yajayo yatawashangaza sana watu wa aina yako. Tunakwenda kuwa na vita ndani ya chama huku tukikabiliana na machungu ya wapiga kura, hali itakuwa si nzuri sana.
Sasa ivi pesa inayotoka kwa uhakika ni mishahara tu! Mwanzo wa mwaka wa fedha
 
LGBT
 
Sasa ndio umeandika nini hapa? Au umelewa gongo?
Ila mkuu unatumia nguvu nyingi sana.

Kwani taaluma yako ni nini?

Jikite na kutumia nguvu zaidi kwenye taaluma yako.

Hata kama hutaona manufaa sasahivi(depending on your professional), basi tumia taaluma yako kama unayo kwa manufaa ya next generations.

Elekeza nguvu nyingi kwe mambo ya msingi.

Ni hayo tu.
 
Umeandika kichawa chawa sana sheh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…