Rais Samia kukomba Wawekezaji na Wafanyabiashara wakubwa wa Kimarekani kuja kuwekeza Tanzania

Rais Samia kukomba Wawekezaji na Wafanyabiashara wakubwa wa Kimarekani kuja kuwekeza Tanzania

Ndugu zangu, Rais Samia Ni zaidi ya kiongozi, Ni zaidi ya Mwanasiasa,Ni zaidi ya mwanadiplomasia,Ni zaidi ya jasusi wa kiuchumi,Ni zaidi ya komandoo wa Vita ya kiuchumi, Rais Mama Samia Ni mchanganyiko wa hivyo vyote,Ni mjumuiko wa hayo yote, Ni muunganiko wa hayo yote, Ndani yake utayaona hayo yote,Ni Rais kweli kweliii,Ni Rais anayejuwa maana ya kiapo Cha Urais alicho apa, Anajuwa yupo hapo kwa ajili ya Tanzania na Watanzania,Anajuwa Nini anafanya, Nini anatakiwa afanye kwa ajili ya Taifa hili.

Rais Samia anajuwa kuzivuta fursa popote pale katika uso wa Dunia kwa ajili ya watanzania,Anajuwa kunasa mitandao ya kifursa kwa ajili yetu, Ndio maana tunaona ndani ya muda mfupi wa uongozi wake namna wawekezaji na watalii walivyo miminika na kutiririka hapa nchini, h ii yote ni kutokana na jitihada za kidiplomasia zilizofanywa na Rais Samia. Hii yote Ni kutokana na ushawishi alionao Rais Samia kitaifa na kimataifa,Hii yote ni kutokana na namna Rais Samia anavyokubalika na kuungwa mkono na watu mbalimbali,hii yote ni kutokana na heshima kubwa aliyojijengea na kulijengea Taifa letu katika Sura ya kimataifa ambayo imeifanya Tanzania kuaminika na kuwa chaguo namba moja la wawekezaji na watalii.

Sasa Rais Samia yupo Marekani kwa mualiko maalumu wa Rais Wa Marekani Joe Biden, Watanzania tutarajie mengi kutoka kwa Rais wetu,kitakuwa ni kishindo Cha mafuriko ya fursa nchini, Naamini anakwenda kuvuta wawekezaji na wafanyabiashara Wakubwa, Tutegemee na kutarajia fursa mbalimbali za kiuchumi kutiririkia nchini mwetu. Wapo viongozi wengi huko wa mataifa mengine,Lakini simuoni wa kushindana na Rais Samia kifursa,simuoni wa kuwakomba wawekezaji Zaid ya Rais Samia, simuoni wakumzidi ushawishi Rais Samia na Tanzania yetu,Tanzania Ni kubwa, Rais Samia Ni Maarufu na mashuhuri, huyu Ni Mama wa shoka,lazima vyombo vya habari vya kimataifa vitamani kufanya Naye mazungumzo ya masuala mbalimbali, lazima wawekezaji watamani kuonana na Rais Samia.

Rais wetu Mpendwa Ni Nyota iwakayo inayoweza kuwaongoza wavuvi Ziwani,Tanzania yetu lazima ing'ae ,lazima ivune fursa,lazima tunufaike na ziara hii ya Rais wetu, Lazima itikise na kutetemesha,lazima inase mabillioni ya kiuwekezaji kuja kwetu, lazima tupate madollar ya Kimarekani kupitia uwekezaji,lazima Tunufaike.

Ndugu zangu watanzania Rais wetu yupo kazini,sote tunamuona namna anavyoipambania nchi yetu,Tumuunge mkono na kumtia moyo,Tumpe Faraja na kumwombea Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia watanzania,Hakika tutafurahi wenyewe Kama ambavyo Tumeona Taifa likipiga Hatua mbele za kimaendeleo ndani ya muda mfupi katika kila Secta.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.:0742-676627
Sasa wewe watakupa nafasi gani? Mtu hujui hata Kiswahili. Badala ya kuandika ANAJUA unaandika ANAJUWA!
 
Kwa Sasa serikali ya CCM ndicho inachokifanya chini ya Rais Samia ambapo wazawa wanapewa fursa za kukua na kukuza mitaji yao,ndio maana Mara tu Rais Samia alipoapishwa kuwa Rais alisema anahitaji Kodi za haki,haihitaji wafanyabiashara na wawekezaji wa kitanzania wasumbuliwe hovyo na TRA,akasema anataka wafanye biashara kwa amani Uhuru na utulivu kwa kuzingatia Sheria kanuni na taratibu zote zilizopo,Ndio maana unaona saiz hakuna malalamiko ya wafanyabiashara juu ya kuonewa au kukadiriwa makodi makubwa kwa kukomolewa au husikii habari za wafanyabiashara kupokonywa au kuchukuliwa pesa zao Benji.hii yote na juhudi zote hizi Ni katika kutaka kuona wazawa wanakuwa kibiashara na kuwekeza hapa nchini na kutoa fursa za ajira kwa vijana na kuchangia kuongeza mapato ya serikali kupitia kulipa Kodi,

Dhamira njema ya serikali ya Rais Samia katika kukuza uwekezaji wa wazawa imekuwa wazi na Mara nyingi ametamka hata hadharani
Mwaisa ushabadilika!
 
Ndugu zangu, Rais Samia Ni zaidi ya kiongozi, Ni zaidi ya Mwanasiasa,Ni zaidi ya mwanadiplomasia,Ni zaidi ya jasusi wa kiuchumi,Ni zaidi ya komandoo wa Vita ya kiuchumi, Rais Mama Samia Ni mchanganyiko wa hivyo vyote,Ni mjumuiko wa hayo yote, Ni muunganiko wa hayo yote, Ndani yake utayaona hayo yote,Ni Rais kweli kweliii,Ni Rais anayejuwa maana ya kiapo Cha Urais alicho apa, Anajuwa yupo hapo kwa ajili ya Tanzania na Watanzania,Anajuwa Nini anafanya, Nini anatakiwa afanye kwa ajili ya Taifa hili.

Rais Samia anajuwa kuzivuta fursa popote pale katika uso wa Dunia kwa ajili ya watanzania,Anajuwa kunasa mitandao ya kifursa kwa ajili yetu, Ndio maana tunaona ndani ya muda mfupi wa uongozi wake namna wawekezaji na watalii walivyo miminika na kutiririka hapa nchini, h ii yote ni kutokana na jitihada za kidiplomasia zilizofanywa na Rais Samia. Hii yote Ni kutokana na ushawishi alionao Rais Samia kitaifa na kimataifa,Hii yote ni kutokana na namna Rais Samia anavyokubalika na kuungwa mkono na watu mbalimbali,hii yote ni kutokana na heshima kubwa aliyojijengea na kulijengea Taifa letu katika Sura ya kimataifa ambayo imeifanya Tanzania kuaminika na kuwa chaguo namba moja la wawekezaji na watalii.

Sasa Rais Samia yupo Marekani kwa mualiko maalumu wa Rais Wa Marekani Joe Biden, Watanzania tutarajie mengi kutoka kwa Rais wetu,kitakuwa ni kishindo Cha mafuriko ya fursa nchini, Naamini anakwenda kuvuta wawekezaji na wafanyabiashara Wakubwa, Tutegemee na kutarajia fursa mbalimbali za kiuchumi kutiririkia nchini mwetu. Wapo viongozi wengi huko wa mataifa mengine,Lakini simuoni wa kushindana na Rais Samia kifursa,simuoni wa kuwakomba wawekezaji Zaid ya Rais Samia, simuoni wakumzidi ushawishi Rais Samia na Tanzania yetu,Tanzania Ni kubwa, Rais Samia Ni Maarufu na mashuhuri, huyu Ni Mama wa shoka,lazima vyombo vya habari vya kimataifa vitamani kufanya Naye mazungumzo ya masuala mbalimbali, lazima wawekezaji watamani kuonana na Rais Samia.

Rais wetu Mpendwa Ni Nyota iwakayo inayoweza kuwaongoza wavuvi Ziwani,Tanzania yetu lazima ing'ae ,lazima ivune fursa,lazima tunufaike na ziara hii ya Rais wetu, Lazima itikise na kutetemesha,lazima inase mabillioni ya kiuwekezaji kuja kwetu, lazima tupate madollar ya Kimarekani kupitia uwekezaji,lazima Tunufaike.

Ndugu zangu watanzania Rais wetu yupo kazini,sote tunamuona namna anavyoipambania nchi yetu,Tumuunge mkono na kumtia moyo,Tumpe Faraja na kumwombea Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia watanzania,Hakika tutafurahi wenyewe Kama ambavyo Tumeona Taifa likipiga Hatua mbele za kimaendeleo ndani ya muda mfupi katika kila Secta.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.:0742-676

Ndugu zangu, Rais Samia Ni zaidi ya kiongozi, Ni zaidi ya Mwanasiasa,Ni zaidi ya mwanadiplomasia,Ni zaidi ya jasusi wa kiuchumi,Ni zaidi ya komandoo wa Vita ya kiuchumi, Rais Mama Samia Ni mchanganyiko wa hivyo vyote,Ni mjumuiko wa hayo yote, Ni muunganiko wa hayo yote, Ndani yake utayaona hayo yote,Ni Rais kweli kweliii,Ni Rais anayejuwa maana ya kiapo Cha Urais alicho apa, Anajuwa yupo hapo kwa ajili ya Tanzania na Watanzania,Anajuwa Nini anafanya, Nini anatakiwa afanye kwa ajili ya Taifa hili.

Rais Samia anajuwa kuzivuta fursa popote pale katika uso wa Dunia kwa ajili ya watanzania,Anajuwa kunasa mitandao ya kifursa kwa ajili yetu, Ndio maana tunaona ndani ya muda mfupi wa uongozi wake namna wawekezaji na watalii walivyo miminika na kutiririka hapa nchini, h ii yote ni kutokana na jitihada za kidiplomasia zilizofanywa na Rais Samia. Hii yote Ni kutokana na ushawishi alionao Rais Samia kitaifa na kimataifa,Hii yote ni kutokana na namna Rais Samia anavyokubalika na kuungwa mkono na watu mbalimbali,hii yote ni kutokana na heshima kubwa aliyojijengea na kulijengea Taifa letu katika Sura ya kimataifa ambayo imeifanya Tanzania kuaminika na kuwa chaguo namba moja la wawekezaji na watalii.

Sasa Rais Samia yupo Marekani kwa mualiko maalumu wa Rais Wa Marekani Joe Biden, Watanzania tutarajie mengi kutoka kwa Rais wetu,kitakuwa ni kishindo Cha mafuriko ya fursa nchini, Naamini anakwenda kuvuta wawekezaji na wafanyabiashara Wakubwa, Tutegemee na kutarajia fursa mbalimbali za kiuchumi kutiririkia nchini mwetu. Wapo viongozi wengi huko wa mataifa mengine,Lakini simuoni wa kushindana na Rais Samia kifursa,simuoni wa kuwakomba wawekezaji Zaid ya Rais Samia, simuoni wakumzidi ushawishi Rais Samia na Tanzania yetu,Tanzania Ni kubwa, Rais Samia Ni Maarufu na mashuhuri, huyu Ni Mama wa shoka,lazima vyombo vya habari vya kimataifa vitamani kufanya Naye mazungumzo ya masuala mbalimbali, lazima wawekezaji watamani kuonana na Rais Samia.

Rais wetu Mpendwa Ni Nyota iwakayo inayoweza kuwaongoza wavuvi Ziwani,Tanzania yetu lazima ing'ae ,lazima ivune fursa,lazima tunufaike na ziara hii ya Rais wetu, Lazima itikise na kutetemesha,lazima inase mabillioni ya kiuwekezaji kuja kwetu, lazima tupate madollar ya Kimarekani kupitia uwekezaji,lazima Tunufaike.

Ndugu zangu watanzania Rais wetu yupo kazini,sote tunamuona namna anavyoipambania nchi yetu,Tumuunge mkono na kumtia moyo,Tumpe Faraja na kumwombea Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia watanzania,Hakika tutafurahi wenyewe Kama ambavyo Tumeona Taifa likipiga Hatua mbele za kimaendeleo ndani ya muda mfupi katika kila Secta.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.:0742-676627
Umekalia dudu wewe
 
Ndugu zangu, Rais Samia Ni zaidi ya kiongozi, Ni zaidi ya Mwanasiasa,Ni zaidi ya mwanadiplomasia,Ni zaidi ya jasusi wa kiuchumi,Ni zaidi ya komandoo wa Vita ya kiuchumi, Rais Mama Samia Ni mchanganyiko wa hivyo vyote,Ni mjumuiko wa hayo yote, Ni muunganiko wa hayo yote, Ndani yake utayaona hayo yote,Ni Rais kweli kweliii,Ni Rais anayejuwa maana ya kiapo Cha Urais alicho apa, Anajuwa yupo hapo kwa ajili ya Tanzania na Watanzania,Anajuwa Nini anafanya, Nini anatakiwa afanye kwa ajili ya Taifa hili.

Rais Samia anajuwa kuzivuta fursa popote pale katika uso wa Dunia kwa ajili ya watanzania,Anajuwa kunasa mitandao ya kifursa kwa ajili yetu, Ndio maana tunaona ndani ya muda mfupi wa uongozi wake namna wawekezaji na watalii walivyo miminika na kutiririka hapa nchini, h ii yote ni kutokana na jitihada za kidiplomasia zilizofanywa na Rais Samia. Hii yote Ni kutokana na ushawishi alionao Rais Samia kitaifa na kimataifa,Hii yote ni kutokana na namna Rais Samia anavyokubalika na kuungwa mkono na watu mbalimbali,hii yote ni kutokana na heshima kubwa aliyojijengea na kulijengea Taifa letu katika Sura ya kimataifa ambayo imeifanya Tanzania kuaminika na kuwa chaguo namba moja la wawekezaji na watalii.

Sasa Rais Samia yupo Marekani kwa mualiko maalumu wa Rais Wa Marekani Joe Biden, Watanzania tutarajie mengi kutoka kwa Rais wetu,kitakuwa ni kishindo Cha mafuriko ya fursa nchini, Naamini anakwenda kuvuta wawekezaji na wafanyabiashara Wakubwa, Tutegemee na kutarajia fursa mbalimbali za kiuchumi kutiririkia nchini mwetu. Wapo viongozi wengi huko wa mataifa mengine,Lakini simuoni wa kushindana na Rais Samia kifursa,simuoni wa kuwakomba wawekezaji Zaid ya Rais Samia, simuoni wakumzidi ushawishi Rais Samia na Tanzania yetu,Tanzania Ni kubwa, Rais Samia Ni Maarufu na mashuhuri, huyu Ni Mama wa shoka,lazima vyombo vya habari vya kimataifa vitamani kufanya Naye mazungumzo ya masuala mbalimbali, lazima wawekezaji watamani kuonana na Rais Samia.

Rais wetu Mpendwa Ni Nyota iwakayo inayoweza kuwaongoza wavuvi Ziwani,Tanzania yetu lazima ing'ae ,lazima ivune fursa,lazima tunufaike na ziara hii ya Rais wetu, Lazima itikise na kutetemesha,lazima inase mabillioni ya kiuwekezaji kuja kwetu, lazima tupate madollar ya Kimarekani kupitia uwekezaji,lazima Tunufaike.

Ndugu zangu watanzania Rais wetu yupo kazini,sote tunamuona namna anavyoipambania nchi yetu,Tumuunge mkono na kumtia moyo,Tumpe Faraja na kumwombea Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia watanzania,Hakika tutafurahi wenyewe Kama ambavyo Tumeona Taifa likipiga Hatua mbele za kimaendeleo ndani ya muda mfupi katika kila Secta.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.:0742-676627
Mdogo wangu Luka, unatoa sifa hizo zote huku ukiwa unaathirika na mgao wa umeme karibu kila siku iitwayo leo. Hivi kwa akili yako unadhani hayo mafuriko ya wawekezaji wa kufikirika kutoka USA hawaijui nchi hii kwa undani mpaka waje huku wakikokotwa kama mifugo!?
 
duh,hata kama ni uchawa huu umezidi kwa akili hizi umeme haurudi leo wala kesho
chawa(syphant,toady)wa kitanzania ni pro max
 
Mdogo wangu Luka, unatoa sifa hizo zote huku ukiwa unaathirika na mgao wa umeme karibu kila siku iitwayo leo. Hivi kwa akili yako unadhani hayo mafuriko ya wawekezaji wa kufikirika kutoka USA hawaijui nchi hii kwa undani mpaka waje huku wakikokotwa kama mifugo!?
Hajui kuwa wana Ubalozi hapa na wako well informed na hali halisi ya nchi yetu kuliko huyu chawa Luka.
 
Kwanini tuongelee kuwaita wamarekani kuja kuwekeza hapa kwetu kwanini watu wa ndani wasiwezeshwe kuwekeza
 
Hivi yale mamikataba Mama alisaini kibao kule Dubai yameishia wapi?!.
Leo mmekuja na mipya.
Inaonesha hizi safari hazina tija kabisa kwa mwananchi wa kawaida zaidi ya utalii!.
Ziara na safari za mh Rais nje ya nchi Zimekuwa zenye manufaa na tija kubwa Sana kwa Taifa letu,kwa kuwa zimesaidia Sana kuimarisha mahusiano yetu ya kidiplomasia,yameimarisha na kufungua milango ya kibiashara kwa Taifa letu ambapo Sasa watanzania wanafanya biashara na mataifa mbalimbali bila bugudha,mfano kwa Sasa Tanzania na Kenya Hali Ni nzuri Sana kwa wafanyabiashara.

Ni katika ziara hizo Tumeona mh Rais akikutana na makampuni mbalimbali ya watalii na kufanya nao mazungumzo kwa lengo la kuwashawishi na kwa kuwaeleza vivutio mbalimbali vya utalii vilivyopo hapa nchini Jambo lililopelekea kufurika na kumiminika kwa watalii hapa nchini kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya nchi yetu.

Ni ziara hizo na ushawishi wa mh Rais zilizopelekea kusamehewa Deni na china kiasi Cha shilling billioni 31 Fedha ambazo zitatusaidia katika miradi mbalimbali inayogusa maisha ya watanzania
 
Kwanini tuongelee kuwaita wamarekani kuja kuwekeza hapa kwetu kwanini watu wa ndani wasiwezeshwe kuwekeza
Watu wa ndani wanawezeshwa kwa kupewa kipaombele na kuwekewa mazingira mazuri ya kibiashara na kiuwekezaji, kukopeshwa kupitia mabenki ya ndani ilinkukuza mitaji yao na kupanua uwekezaji na biashara zao
 
Back
Top Bottom