Rais Samia kukopa(tena) 1billion USD from IMF

Rais Samia kukopa(tena) 1billion USD from IMF

Huku sarakasi za Mlimani City zikiendelea Serikali ya Samia imeomba mkopo wa 1.1 billion US dollars kutoka IMF kwa mujibu wa msemaji wake Zuhura Yunis, IMF wako nchini kujadili, one thing is clear walipaji wa haya madeni ni sisi wananchi!

View attachment 2221901


Jiandaeni kisaikologia kusikia mgao wa Zanzibar ulioenda shule kwa kiwango cha PhD
 
Mosi, Sarakasi za Mlimani City ndio nini? Kama ni kuhusu Chadema tafadhali heshimu maamuzi halali ya vikao halali ya Kikatiba vya Chama hicho.

Back to the topic, hii Mikopo inatakiwa ipate kibali cha Bunge. Ijapokuwa Bunge letu no dhaifu sana lakini ilistahili walau litumike tuu kama rubber stamp. Vinginevyo hii ya Mhimili mmoja kujiamulia mambo yake kutakuja kuleta madhara kwa Taifa. Hii mikopo tunatakiwa tujue masharti yake ni yepi? Mkopo huu wa USD 700M ni kwa ajili ya recovery from Coronavirus pandemic , lakini ni mwaka jana tuu tulipata mkopo kama huu tukaishia kujenga madarasa ya Shule. Hakukuwa na pesa iliyoenda ku stimulate economy. Mwaka haujaisha tunaenda kukopa tena. Je, zitaenda wapi?
 
Mimi sina matatizo na mikopo kama mikopo ni ya masharti na riba nafuu, inaleta tija katika uchumi, inaimarisha ukuaji wa uchumi kwa kasi zaidi na inarudishika kwa wakati bila kuongeza maumivu kwa watu.

Katika uchumi wa dunia ya leo, hata serikali tajiri zinakopa, tena ukiangalia nchi kama Marekani na Japan zina debt to GDP ambazo zimezidi 100%. Yani madeni yao ni makubwa kuliko GDP.

Kwa data zaidi angalia hapa


Kwa kweli Tanzania kwa sasa haijafikia asilimia mbaya sana za debt to GDP ratio, hata tukilinganishwa na majirani zetu kama Kenya, ila hili pia halitakiwi kutubwetesha tuzoee kukopa tu, kwani debt to GDP ratio itapanda sana.

Tanzania tuna debt to GDP ratio ya around 40%, Kenya wako 70%. Mozambique wako 124%. Eritrea wako 127%. Zambia wako 80%.

Matatizo machache ninayoyaona ni haya.

1. Serikali haina uwazi. Hatujui terms za mikopo. Hatujui riba, hatujui muda wa kulipa, hatujui masharti, hatujui tutapata wapi habari hizi kutoka serikali ya Tanzania, hatujui kwa nini serikali haitangazi habari hizi. Yani tunaweza kupata habari hizi kwa urahisi zaidi kutoka IMF, kuliko kutoka serikali yetu.

2. Serikali haina track record nzuri ya matumizi ya fedha hata kama mikopo ina terms nzuri. Ripoti ya CAG iliyopita imedhihirisha hili. Hivyo, wananchi wana haki ya kuwa skeptical.

3. Wananchi hawana imani na serikali, na hivyo wanaanza kupinga mikopo bila hata kujua data za riba, terms za mkopo etc. Hivyo hata kama mikopo ina tija, wananchi wanapinga by default tu, bila data.
 
Mama tuonee huruma watanzania. Hay madeni makubwa makubwa yatatupa shida sana mbeleni. Fanya kile unachoweza kwa vyanzo vya ndani. hata ufanyejeTanzania haiwezi kugeuka ulaya over night. wanasemaga wenyewe hata roma haijajengwa siku moja. na wala watanzania hawanaga shukurani. elewa hilo.
 
P
Kukopa ni sawa lakini je zinatumikaje? Si zinakuja tu kugawanwa na haya majibwa na tai yenye matumbo yasiyoshiba kamwe? Pathetic!

View attachment 2221972
Petroli ilikuwa inauzwa sh 3,170/= kwenye kituo kimoja cha mafuta, kwa hiyo serikali imepunguza sh 29/= kwa hiyo bei itakuwa sh 3,141/= !!!
Hii ni sawa na punguzo la bei kwa asilimia 0.91 (0.91%)!!!
Lengo la punguzo ni kuleta unafuu, je punguzo la asilimia 0.91 limeleta unafuu??
 
Ile issue ya mafuta ndio inamfanya akope, sasa atakopa mpaka tukome.
 
Huku sarakasi za Mlimani City zikiendelea Serikali ya Samia imeomba mkopo wa 1.1 billion US dollars kutoka IMF kwa mujibu wa msemaji wake Zuhura Yunis, IMF wako nchini kujadili, one thing is clear walipaji wa haya madeni ni sisi wananchi!

View attachment 2221901


Badala ya kupata Rais, tumepata Rahisi. Tanzania itafika 2030 ikiwa ICU ya madeni. Ee mungu tunusuru na balaa.
 
P

Petroli ilikuwa inauzwa sh 3,170/= kwenye kituo kimoja cha mafuta, kwa hiyo serikali imepunguza sh 29/= kwa hiyo bei itakuwa sh 3,141/= !!!
Hii ni sawa na punguzo la bei kwa asilimia 0.91 (0.91%)!!!
Lengo la punguzo ni kuleta unafuu, je punguzo la asilimia 0.91 limeleta unafuu??
Ndugu yangu usiniulize mimi. Sina msaada wo wote kwako. Nenda ukamuulize Makamba kama hatakuwa bize na ulambaji wa asali ya taifa.

Ni michezo tu hii tunafanyiwa ...
 
Anakopa kwa ajili ya kazi gani?

Extract from the article “If the discussions go well, the country will receive its first IMF policy-reform assistance plan in a decade.”

Wanakopa kulipa madeni ya serikali ambayo yanawaelemea ☝️mwaka mmoja yeye pekee ameongeza deni la nchi kwa asilimia 20%.

Tena majadiliano yakienda vizuri tunarudi kupangiwa namna ya kuendesha uchumi wetu (SAP’s) kwa mara ya kwanza baada ya miaka 10.

Sasa usishangae msukuma anapodai swala la elimu bure lifikiriwe ndio namna hizo za IMF kukutaka upunguze matumizi ambayo wananchi wanaweza changia ili ubakize hela ulipe madeni.

Sasa hivi tumerudi kwenye utaratibu wa kukopa kwa sababu ya kulipa madeni kama ilivyokuwa zama za mshauri wake J.K.

Halafu wanataka kujifananisha na Magufuli, upuuzi huu aukuwepo.
 
Kwa ninavyoona,mama anazisaka pesa sana,shida ni walaji,zikitua tu,watu wanazila halafu zile chache wanatuzugia kupeleka maeneo husika.Upigaji kwenye ma-halmashauri unasemwa kua ni Mkubwa sana,achilia sehemu nyingine.Pole yao wale ambao walitumbulia enzi za mzee JPM,maana wenzao duuuh! wanakula raha mstarehe.
Hawa wa halmashauri, taasisi na mashirika ya umma wanakata Kamba na kula mbali
 
CCM wenyewe ndiye yaliye mpa kinga ya kutoshitakiwa kwa yote atakayo yafanya akiwa madarakani, tukiwaambia tunataka katiba mpya hamtuelewi, tulieni dawa iwaingie

Dawa imuingie nani? Wewe, familia ndugu na jamaa zako iwahusu ?
 
Mpumbavu huyo kazi anayo weza ni kuny* tu
Ingekuwa busara sana hata kama humpendi Rais Samia, kukaa kimya

Au basi, hata kama unamkosoa ndio kwanini utumie lugha ya kumtweza kwa kiwango hiki...?

It's not right. It's not fair...

Unajipalilia hukumu isiyo na ulazima. Mpende na mwombee adui yako bila kujali kiwango cha maumivu anayokusababishia..!

Hii ni kanuni ya Mungu na muumba wa vitu vyote ukiwemo wewe binadamu..
 
Watanzania wacheni uzuzu, nyie mliwahi kuona collateral gani ya nchi ikichukuliwa na WB au IMF kutokana na mikopo? Kama mnakopesheka, kopeni fanyeni maendeleo. Mkishindwa mnadeclare kufilisika Ili wawafutie muanze tena. Au mmesahau HIPC program.
 
Ingekuwa busara sana hata kama humpendi Rais Samia, kukaa kimya

Au basi, hata kama unamkosoa ndio kwanini utumie lugha ya kumtweza kwa kiwango hiki...?

It's not right. It's not fair...

Unajipalilia hukumu isiyo na ulazima. Mpende na mwombee adui yako bila kujali kiwango cha maumivu anayokusababishia..!

Hii ni kanuni ya Mungu na muumba wa vitu vyote ukiwemo wewe binadamu..
Mbowe kawaambia waache matusi lakini wao wanajifanya hawasikii.
 
Huku sarakasi za Mlimani City zikiendelea Serikali ya Samia imeomba mkopo wa 1.1 billion US dollars kutoka IMF kwa mujibu wa msemaji wake Zuhura Yunis, IMF wako nchini kujadili, one thing is clear walipaji wa haya madeni ni sisi wananchi!

View attachment 2221901


Mkiambiwa mlipe Kodi kuendesha nchi na kugharamia miradi, mnapanua midomo na vingine, unataka hiyo miradi iliyoanzishwa kwa mikopo na JPM iishe bila kukopa?.

Tozo tu ya simu mlilipuka kama baruti
 
Kipindi cha mwendazake Budget asilimia 62 ilikuwa fedha za ndani 38 ndio ilikuwa za wahisani na mikopo lakini bajeti hii ya sasa nakwambia tutarudi kulekule zaidi ya nusu ya bajeti kutegemea wahisani . Sasa tujiandae kabisa na kupokea masharti yao ya kibepari maana pesa zao tunakula.
 
Back
Top Bottom