Rais Samia kukopa(tena) 1billion USD from IMF

Rais Samia kukopa(tena) 1billion USD from IMF

Juzi kwenye kutoa ruzuku ya mafuta walisema watakopa IMF, kila kitu kukopa

She is being wrongly advised, huwezi kukopa ili kustabilize bei ya mafuta ambayo iko nje ya uwezo wako!! Utakopa mara ngapi kwani mafuta yatakuwa yanapanda bei kila leo!! Mtafute mbinu za ndani ili kurekebisha matumizi ya serikali sio mnakopa lakini bado mnaendelea na matumizi yenu ya hovyo!!! Kukopa sio suluhisho.
Baada ya vita ya Kagera kulikuwa na uchumi mgumu lakini Nyerere rallied the country to brace for the hardship; Sasa hawa wakina Msoga wanataka njia rahisi rahisi ya kukopa kuwatwisha mzigo wananchi huku wao hawataki kufunga mikanda!! Samia has a depecency syndrome which is wrong for the country!
 
Hapana, wanatofautiana digrri 180.
Tofauti ni ipi? Magufuli amekopa sana afdb na world bank na pia pssf (ikiwemo kutopeleka michango). Unajua kwamba ilifika mahali zile bond za serikali kwa wanunuzi wa ndani ilibidi wafanye printing ya hela kulipa faida za waliokopesha serikali?

Huyu mama japo namuona hayupo competent kwa nafasi ya uraisi lakini ameikuta nchi ina hali mbaya sana kifedha. Hata wazo la kuweka tozo kwenye miamala ilikuwa ni katika harakati za magufuli kuhangaika kupata fedha za kuendesha serikali. Nina uhakika asingekuwa amekufa zile tozo zingekuwa kali zaidi ya sasa.

Tukubali kwamba magufuli aliipeleka nchi pabaya sana na ule uongo wake kwamba tunajenga kwa hela za ndani. Kakuta deni la taifa around 32 trillion na amekufa tukiwa 58 trillion, almost double.
 
Ushawai ona nchi ikauzwa, wacha wakope kwa maendeleo ya taifa
Sisi sisi ndo tunataka mafuta yashuke kodi na ushuru upunguzwe af bado ss tunaongea sana Rais akikopa tunataka nn sasa
 
Hapana, wanatofautiana digrri 180.
Magufuli never suffered from a dependency syndrome!! Huyu mama kila kitu mikopo mikopo haangalii kwanza how she can mitigate the situation locally!! She thinks wanampendelea kumpa mikopo kwa vile mwanamke anasahau kuwa anawatwisha mzigo wananchi.!!

1billion USD from IMF!??? Tutauzwa tunakoelekea.​

Mtakuja kukumbuka maneno ya yule mgogo muda si mrefu!!!
 
Magufuli never suffered from a dependency syndrome!! Huyu mama kila kitu mikopo mikopo haangalii kwanza how she can mitigate the situation locally!! She thinks wanampendelea kumpa mikopo kwa vile mwanamke anasahau kuwa anawatwisha mzigo wananchi.!!

Mtakuja kukumbuka maneno ya yule mgogo muda si mrefu!!!
Yule mgogo ni mnafiki mkubwa. Wakati magufuli anakopa mikopo benki za biashara alikaa kimya.

Siwapendi wote, magufuli na huyo Samia lakini still nasema kwa ukweli na uwazi, ndugai ni mnafiki na mchumia tumbo tu.
 
Tofauti ni ipi? Magufuli amekopa sana afdb na world bank na pia pssf (ikiwemo kutopeleka michango). Unajua kwamba ilifika mahali zile bond za serikali kwa wanunuzi wa ndani ilibidi wafanye printing ya hela kulipa faida za waliokopesha serikali?

Huyu mama japo namuona hayupo competent kwa nafasi ya uraisi lakini ameikuta nchi ina hali mbaya sana kifedha. Hata wazo la kuweka tozo kwenye miamala ilikuwa ni katika harakati za magufuli kuhangaika kupata fedha za kuendesha serikali. Nina uhakika asingekuwa amekufa zile tozo zingekuwa kali zaidi ya sasa.

Tukubali kwamba magufuli aliipeleka nchi pabaya sana na ule uongo wake kwamba tunajenga kwa hela za ndani. Kakuta deni la taifa around 32 trillion na amekufa tukiwa 58 trillion, almost double.
D07914EF-A0E5-4865-B63D-E59C47ACA8D6.jpeg


Hivi unajua madhara ya kuchapisha hela au unajiropekea tu.

Kuchapisha hela kunaenda sambasamba na currencies devaluation na inamaanisha you are broke; sasa mtu broke anaweza kopeshwa na private banks.

Tazama hiyo trend ya exchange rate ya Magufuli kwenye devaluation of our currency. Kipindi cha Magufuli miaka sita shillingi imekuwa stable kwa muda mrefu kushinda muda wowote.

Sasa utachapisha hela shillingi ibaki stable; au utatolewa kwenye low risk ya kukopeshwa na kuwekwa kwenye moderate risk kama una makusanyo mazuri.

Chawa wa mama mnafanana na yeye kwenye kila kitu mpaka vichwani zero.
 
Yule mgogo ni mnafiki mkubwa. Wakati magufuli anakopa mikopo benki za biashara alikaa kimya.

Siwapendi wote, magufuli na huyo Samia lakini still nasema kwa ukweli na uwazi, ndugai ni mnafiki na mchumia tumbo tu.

Nakubiana na wewe kuwa yule mgogo alikuwa mnafiki sana hata mimi sikumpenda lakini alichosema juu ya Samia kuwa anakopa hovyo nakubaliana nae!!! Huwezi kukopa kutoa ruzuku kwa bei ya Mafuta inayopanda kila siku ; kitu ambacho kiko nje ya uwezo wako na ukategemea kukomesha mfumuko wa bei!!! Utakopa mara ngapi? Look at the unnecessary expenditure pattern ya serikali yako!! Legislate kuwa magari note yabadilishwe na yatumie gas ambayo nchi inachimba; kuonesha mfano magari note ya serikali yawe refitted ili yatumie gas. it way seem momentous but doable, mbona magari ya Dangote yanatumia gas?
 
View attachment 2222295

Hivi unajua madhara ya kuchapisha hela au unajiropekea tu.

Kuchapisha hela kunaenda sambasamba na currencies devaluation na inamaanisha you are broke; sasa mtu broke anaweza kopeshwa na bank.

Tazama hiyo trend ya exchange rate ya Magufuli kwenye devaluation of our currency. Kipindi cha Magufuli miaka sita shillingi imekuwa stable kwa muda mrefu kushinda muda wowote.

Sasa utachapisha hela shillingi ibaki stable; chawa wa mama mnafanana na yeye kwenye kila kitu vichwani zero.

Ningekushauri wewe unaejiita THE SUNK COST FALLACY kwavile uko Huko jikoni kwa Hangaya uje upate shule kidogo hapo juu kuhusu ushauri wenu mbovu wa kukopa hovyo na jinsi unavyoharibu thamani ya sarafu yetu!!! Halafu nyie chawa mfananishe na wakati wa Jiwe stability ya Tanzanian shilling ilivyokuwa.
 
Mwendazake alichukia sana wizi na kukopa! ila kawaida asiekuwepo na Lake halipo. Unapolaumu mkopaji unakosea sana laumu washauri wake!! siku zote mshauri mbaya huingiza boss cha kike! Wale vijana waliofukuzwa na Mwendazake ndo wako ofisini now!! siku wazungu wakija kuzuia bandari ya Dar na kuwaweka raia mahabusu basi Agwe Mgogo Nduguyai atakuwa a new Hero!! a new kid on the block!!

binafsi siamini kama udhibiti wa matumizi ya mikopo hii ni wa kiwango cha serikali ya Mwendazake and that is my concern otherwise akope tu akimaliza kutuweka bond wazazi ajaze na watoto wetu na wajukuu!!
 
Hiyo itakuwa ni stimulus loan kwa ajili ya kusawazisha hali ya kiuchumi.......muhimu ni hiyo mikopo kutumika kuleta tija zaidi.
mkuu stimulus loan for whom? raia wanachechemea na kujiangukia ovyo kwa njaa na kukosa ajira wakitaabishwa na tozo na bei kali ya petrol hebu tusaidie maelezo hiyo loan inawakwamuaje!! hivi sisiem huwa hawakai vikao kuhoji mikopo ya serikali?
 
Ningekushauri wewe unaejiita THE SUNK COST FALLACY kwavile uko Huko jikoni kwa Hangaya uje upate shule kidogo hapo juu kuhusu ushauri wenu mbovu wa kukopa hovyo na jinsi unavyoharibu thamani ya sarafu yetu!!! Halafu nyie chawa mfananishe na wakati wa Jiwe stability ya Tanzanian shilling ilivyokuwa.
Huyo jamaa The Sunk Cost Fallacy ukimsoma kwa makini kwenye misimamo ni mfuasi wa sera za Magufuli ambae akumuelewa kwanini aliendesha nchi kwa style ambayo anadhani ni ya ovyo.

Ukiacha uchawa aliotumwa huwa ana misimamo ile ile ya Magufuli uhuru usio na mipaka ni hatari kwa nchi, kukopa iwe ni kwa sababu ya miradi yenye tija, ukusanyaji wa kodi sio swala la kumbelezana; na mambo mengine mengi ya kimagufuli.

Tatizo lake aelewi ili hizo azma zifikiwe serikali inatakiwa ifanye mambo kwa namna gani. Kwenye kichwa chake yanatokea tu kwa kutamani badala ya misimamo ambayo itachukiza watu wengi kwenye jamii katika harakati za kuwabadili tabia.

Mpe muda akili zake zitakaa sawa ni utoto tu unamsumbua.
 
Huku sarakasi za Mlimani City zikiendelea Serikali ya Samia imeomba mkopo wa 1.1 billion US dollars kutoka IMF kwa mujibu wa msemaji wake Zuhura Yunis, IMF wako nchini kujadili, one thing is clear walipaji wa haya madeni ni sisi wananchi!

View attachment 2221901


Tangu uzaliwa ulishawahi kukamatwa na serikali ili ukalipie madeni au mkopo wa serikali?

Hii pesa italipwa na serikali sio wewe hata chakula tu ni mtihani
 
Juzi alisema Magufuli alikua anaendesha miradi kwa mikopo.

Yeye hata madarasa amekopa kujenga, kila kitu anakopa.

Juzi kwenye kutoa ruzuku ya mafuta walisema watakopa IMF, kila kitu kukopa.

Kazi ipo.
Yeye na Magufuli ni kitu kimoja.
 
Huyo jamaa The Sunk Cost Fallacy ukimsoma kwa makini kwenye misimamo ni mfuasi wa sera za Magufuli ambae akumuelewa kwanini aliendesha nchi kwa style ambayo anadhani ni ya ovyo.

Ukiacha uchawa aliotumwa huwa ana misimamo ile ile ya Magufuli uhuru usio na mipaka ni hatari kwa nchi, kukopa iwe ni kwa sababu ya miradi yenye tija, ukusanyaji wa kodi sio swala la kumbelezana; na mambo mengine mengi ya kimagufuli.

Tatizo lake aelewi ili hizo azma zifikiwe serikali inatakiwa ifanye mambo kwa namna gani. Kwenye kichwa chake yanatokea tu kwa kutamani badala ya misimamo ambayo itachukiza watu wengi kwenye jamii katika harakati za kuwabadili tabia.

Mpe muda akili zake zitakaa sawa ni utoto tu unamsumbua.

Huyu ni mshauri wa chief Hangaya hivyo kuna umuhimu wa kumpa shule apate kuelewa!! Hajui humu kuna watu wamefundisha hata hao waalimu wake hapo UDSM!
 
Tangu uzaliwa ulishawahi kukamatwa na serikali ili ukalipie madeni au mkopo wa serikali?

Hii pesa italipwa na serikali sio wewe hata chakula tu ni mtihani

Serikali hela ya kulipa madeni inatokana na kodi zetu hivyo sisi ndio tunalipa hayo madeni ya mikopo!!
 
Unafikiri Dunia ina Nchi ngapi labda ? Na unafikiri wote hao ni wajinga na hawataki pesa za bure za kuchukuwa tu kama wewe na raisi wako mnavyodhania ?
Huu ndio uwezo pekee ulionao juu ya swali langu? Sikutegemea ukichaa kama wako uwe sehemu ya mjadala huu; lakini, JF ni mahali pa wazi, machizi kama wewe hawawezi kukosekana hapa.

Usirudie kuja kuchafua hali ya hewa hapa.
 
Huyu ni mshauri wa chief Hangaya hivyo kuna umuhimu wa kumpa shule apate kuelewa!! Hajui humu kuna watu wamefundisha hata hao waalimu wake hapo UDSM!
Ukiniuliza mimi nilichojifunza vita kubwa kwenye siasa za nchi hii kupitia kiongozi mzalendo kama Magufuli it’s about who wins in the war of disinformation in an attempt to influence the wider society by way exploiting the mass ignorance.

Kila binadamu ana mapungufu yake, binafsi sijawahi kuziafiki kabisa insecurities za Magufuli ata alipokuwa hai za kupambana watu aliozani wapinzani wake ndani ya CCM, jinsi alivyokata watu tofauti na kanuni za chama kwenye uchaguzi mkuu kulikuwa na umungu mtu, na maamuzi yake ya kiimani badala ya logic in some rare instances kubwa zaidi how he handled COVID na mambo mingine machache ambayo yalikuwa costly.

But then I look at the bigger picture mengi aliyoyafanya yalikuwa ni ya lazima na yameisaidia nchi sana. Sasa basi yale mazuri yalitakiwa kuenziwa na mabaya yake atajijua yeye na mungu wake huko halipo.

Tatizo lilipo leo ni wahuni kutumia mabaya yake machache kama vile ndio uongozi wake wote ulikuwa ivyo na autafai kuiga.

Kwa nchi yetu ni rahisi sana kuwachota wajinga wajinga kwenye taifa ili kumeza ujinga kwa msaada wa chawa wa wahuni walio wengi na mama mwenyewe akiwa puppet on the string wa wahuni kwa sasa.

Ila nadhani baadhi ya wahuni washaanza kuona kuporomoka kwa kasi ya haraka alipotufikisha Magufuli wameanza kujifunza kumbe swala la kuendesha nchi on the bigger picture sio swala la mzaha kama walivyodhanI.

Kwa mfano: ni hivi kuna watu wanalaumu mbinu za Magufuli za kupambana na wakwepa kodi bila ya kufahamu sheria zetu za kodi zinasemaje

Ukishakuwa mkwepa kodi wengi wetu atufahamu taratibu zinataka TRA wachukue hatua gani (ata Mwigulu mpaka anakuwa waziri alikuwa hafahamu ni sheria kwenye uchunguzi kurudi nyuma mpaka miaka mitano) halafu wafanyabiashara wengi hasa wadogo ata concept ya VAT ilikuwa shida mpaka Magufuli akaagiza TRA ebu watoe somo pia.

Hizi hatua zetu ni cha mtoto niamini hizo nchi za ulaya wana random testing ukisikia tu umechaguliwa kuja kukaguliwa for personal income tax au business tax you better have all your five years evidence ready; vinginevyo utatia akili. Na ukisikia wanakuja kukukagua for tax fraud or tax evasion ujue hilo ni swala la records zako ambazo tayari wanazo na zina utata ndio wanakuja kukuhakiki mziki wake sio mdogo kabisa.

Hayo mambo ya kodi sheria zake za nchi yoyote jinsi ya kufanya mambo zinatokana na adaptation ya international frameworks.

Sasa kwetu TRA inapofanya kazi kwa standard na taratibu za tax investigation za kimataifa, kwenye jamii yenye uelewa mdogo including walipa kuhusu masuala ya sheria zinasemaje au utaratibu wenyewe wa kukaguliwa unafananaje. Ukizingatia taratibu zenye za upekuzi zinahusisha bank seizure for purposes of matching concepts (bank reconciliation) swala ambalo uwezi kufanya bila ya kuingia kwenye account ya biashara.

Kwenye mazingira kama hayo yanayoweza onekana ya ukatili wakati ni standard procedures za ulimwenguni unahitaji mtu kama kigogo tu kupotosha kinachoendelea ni chuki kwa wafanyabiashara na wale wapuuzi wa Twitter kusambaza upuuzi tayari una fake news.

Ukiwa kiongozi wa ovyo kama bi tozo na kuwasikiliza Twitter Republic wana mtazamo gani inakula kwako kwenye makusanyo; soon unajikuta uwezi kulipa madeni ukiwalegezea wafanyabiashara.

Huo ni mfano mmoja sasa to counter argue inabidi utumie muda mwingi kuto elimu swala ambalo Magufuli hakuwa na muda nalo.

Hapo ndio wanapotumiwa mafala kama huyu The Sunk Cost Fallacy fallacy yeye anataka watu wote wanaostahili kulipa kodi walipe kilicho halali je anajua sheria zinasemaje kuhusu namna ya kuchunguza kodi ilipwe halali kwa kwa wakawaida; aelewi ili ndoto zake zifikiwe hatua zenyewe kutokana na uelewa mdogo ndani ya jamii yetu inabidi kiongozi abebe mzigo wa lawama za kutungiwa uongo ikibidi ilimradi TRA wadai kodi stahiki kama serikali itimize wajibu wake. .
 
Back
Top Bottom