Rais Samia kumbe anajua kuongea Kiarabu Vizuri. Nimemsikia alipokuwa Ikulu ya Tunguu Zanzibar

Rais Samia kumbe anajua kuongea Kiarabu Vizuri. Nimemsikia alipokuwa Ikulu ya Tunguu Zanzibar

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu

Leo ndo nimeamini Tanzania ina hazina kubwa. Marais wengine wanajivunia kuongea vernaculars (Kiingereza Kilugha cha kwao na Kiswahili).

Lakini ni tofauti na Rais Samia. Anaongea Lugha zaidii ya Nne kwa ufasaha.

Rais Samia hapendi kujitapa kwqmba anajua Lugha. Ila leo alipokuwa anazungumza na Ujumbe Maalum kutoka kwa Sultan wa Oman ulioongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Badr Hamad Hamood Al Busaidi ndo nimegundua. Ila kucheka anacheka kiswahili.

Huo Ujumbe ulifika leo Ikulu ya Tunguu Zanzibar.

Freeman Mbowe leo wakati anahutubia baraza la Wanawake la CHADEMA(BAWACHA), kasema Rais Samia ni Mtu Poa, akamaliza kwa kusema Mnyonge mnyongeni haki yake Mpeni.

Msihusishe hii taarifa na Ngorongoro.

20220308_190834.jpg
 
..kwa hilo nampongeza.

Tujitahidi wahitimu wetu wawe wanazungumza lugha zaidi ya moja ya kimataifa itasaidia ktk kukusanya ujuzi, maarifa, na utaalamu, toka sehemu mbalimbali na kuuleta Tanzania.
 
..kwa hilo nampongeza.

..tujitahidi wahitimu wetu wawe wanazungumza lugha zaidi ya moja ya kimataifa.

..itasaidia ktk kukusanya ujuzi, maarifa, na utaalamu, toka sehemu mbalimbali na kuuleta Tanzania.
Hivi kwa nini wanaweka picha yake kila anapokuwepo? Bendera hazitoshi? Sijaona Rais yeyote ambae inawekwa picha yake nyuma yake anapokuwepo mahala. Yeye na bendera ya nchi yake vinatosha sana.

Amandla.....
Nyani Ngabu
 
Historia inaonyesha Oman ilikuwa kitongoji cha Zanzibar. Na waarabu hawajawahi kuwinda Ngorongoro mpaka hivi karibuni.

Amandla...
Walikuwa wanawinda wapi maana wameanza kuja huku tangu enzi za Mwinyi alivyokuwa Rais.
 
Historia inaonyesha Oman ilikuwa kitongoji cha Zanzibar. Na waarabu hawajawahi kuwinda Ngorongoro mpaka hivi karibuni.

Amandla...
Mtoto hawezi kumzaa mama. Watu wa Oman na wengine wa mashariki ndiyo walikivumbua kisiwa cha Zanzibar
 
Walikuwa wanawinda wapi maana wameanza kuja huku tangu enzi za Mwinyi alivyokuwa Rais.
Mwinyi amekuwa Rais hivi karibuni. Na ni kweli chini ya utawala wake ndio tukaanza kusikia waarabu wanapewa maeneo ya kuwindia. Na taarifa za mtaani ni kuwa uwindaji wao ni wa kiharibifu sana.

Amandla...
 
Mwinyi amekuwa Rais hivi karibuni. Na ni kweli chini ya utawala wake ndio tukaanza kusikia waarabu wanapewa maeneo ya kuwindia. Na taarifa za mtaani ni kuwa uwindaji wao ni wa kiharibifu sana.

Amandla...
Mwinyi baba siyo huyu mwanae. Tangu miaka ile ya 90s waarabu walikuwa wanakuja kuwinda.
 
Back
Top Bottom