Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe chogo umeshaishi Oman? Au unarudia tu propaganda?Oman wewe mtu mweusi wanakuita abdi, maana yake mtumwa, ila wewe nigga unamuita Mwarabu ndugu yako ?
Hiyo ni unrequited love!
Mtoto hawezi kumzaa mama. Watu wa Oman na wengine wa mashariki ndiyo walikivumbua kisiwa cha Zanzibar
Mwinyi si mbara mwenzako? Mbona unamsakama tena? Au ndio udini unakusumbua?Mwinyi amekuwa Rais hivi karibuni. Na ni kweli chini ya utawala wake ndio tukaanza kusikia waarabu wanapewa maeneo ya kuwindia. Na taarifa za mtaani ni kuwa uwindaji wao ni wa kiharibifu sana.
Amandla...
Nani ameongea hayo? Wazungu wamewakuta mababu zenu. Lakini huku Zanzibar mababu zenu hawekupo maana hawakuwa na uwezo wa kuvuka bahari.Kama vile wazungu walivyogundua Mlima Kilimanjaro na Ziwa Victoria.
Amandla...
Hamkawii kukimbilia kwenye udini! Dini na ubara umeingiaje hapa? Wewe ndie uliyemtaja Mwinyi sio mimi. Wewe ndie uliyesema kuwa waarabu wamekuwa wakiwinda Ngorongoro toka zamani. Ni ukweli usiofichika kuwa waarabu waliopewa vitalu na Ndolanga wali abuse vibali hivyo. Ulitaka tusiseme kwa kuwaogopa kwa sababu ni waarabu na waislamu? Ubara wa Mwinyi unanihusu nini?Mwinyi si mbara mwenzako? Mbona unamsakama tena? Au ndio udini unakusumbua?
Neema ililetwa na watu wa Oman na wengine wa mashariki waliovumbua Zanzibar...kuna wakati Oman ilikuwa choka mbaya na Zanzibar kulikuwa na neema.
..ndio maana Sultani akahamishia makao yake Zanzibar, na alipofariki Usultani ukagawanyika.
Nani ameongea hayo? Wazungu wamewakuta mababu zenu. Lakini huku Zanzibar mababu zenu hawekupo maana hawakuwa na uwezo wa kuvuka bahari.
Na Mafia walikuweko waarabu? na kwenye maziwa makuu walikuwa wanavua waarabu? Babu zetu walikuwepo kila eneo la bara la Afrika. Waarabu hawana tofauti na makaburu ambao nao walikuwa wanadai walipofika Afrika ya Kusini hawakukuta mtu!Nani ameongea hayo? Wazungu wamewakuta mababu zenu. Lakini huku Zanzibar mababu zenu hawekupo maana hawakuwa na uwezo wa kuvuka bahari.
Neema ililetwa na watu wa Oman na wengine wa mashariki waliovumbua Zanzibar.
Ulipiga kelele walivyokuwa wanawinda baada ya awamu ya pili?Hamkawii kukimbilia kwenye udini! Dini na ubara umeingiaje hapa? Wewe ndie uliyemtaja Mwinyi sio mimi. Wewe ndie uliyesema kuwa waarabu wamekuwa wakiwinda Ngorongoro toka zamani. Ni ukweli usiofichika kuwa waarabu waliopewa vitalu na Ndolanga wali abuse vibali hivyo. Ulitaka tusiseme kwa kuwaogopa kwa sababu ni waarabu na waislamu? Ubara wa Mwinyi unanihusu nini?
Nyie vijana wa juzi mna shida sana.
Amandla...
Wenyeji walitoka wapi na walifikaje Zanzibar?..sio kweli.
..Waarabu, Waajemi, Wareno, etc walipofika Znz tayari walikuta kuna wenyeji.
Wenyeji walitoka wapi na walifikaje Zanzibar?
Zamani samaki walikuwa wengi. Unawaokota tuu ufukweni au karibu na ufukweni. Lakini ukisema mababu zenu walivuka bahari kufika visiwani, hakuna ushahidi huo.Na Mafia walikuweko waarabu? na kwenye maziwa makuu walikuwa wanavua waarabu? Babu zetu walikuwepo kila eneo la bara la Afrika. Waarabu hawana tofauti na makaburu ambao nao walikuwa wanadai walipofika Afrika ya Kusini hawakukuta mtu!
Amandla...
Walivukaje bahari?..Wenyeji walitoka bara ya karibu na Unguja na Pemba.
Bila ya watu kuitumia ardhi nzuri, hali nzuri ya hewa, bahari iliyojaa samaki kuleta maendeleo hakuna maendeleo. Neema ililetwa na watu wa Oman na wengine wa mashariki waliovumbua Zanzibar...hao wageni walivutiwa na neema iliyokuwepo Znz.
..kwa mfano, ardhi ya Znz yenye rutuba huwezi kusema ililetwa na Waomani.
..au hali nzuri ya hewa huwezi kusema ililetwa na Waomani au wageni wengine wowote.
..bahari yenye samaki na viumbe wengine haikuletwa na Waomani.
Nitakuthibitishia vipi kuhusu uwepo wa babu zetu Zanzibar na Pemba kabla ya waarabu kufika? Mtu ambae unaamini kuwa kuna wakati samaki walikuwa wanaokotwa tu karibu na ufukweni hauwezi kukubali ushahidi wowote hata ukikuangukia kichwani. Kwako wewe waarabu wako karibu na Mungu.Zamani samaki walikuwa wengi. Unawaokota tuu ufukweni au karibu na ufukweni. Lakini ukisema mababu zenu walivuka bahari kufika visiwani, hakuna ushahidi huo.