Rais Samia kumbe anajua kuongea Kiarabu Vizuri. Nimemsikia alipokuwa Ikulu ya Tunguu Zanzibar

Rais Samia kumbe anajua kuongea Kiarabu Vizuri. Nimemsikia alipokuwa Ikulu ya Tunguu Zanzibar

Kihistoria Zanzibar ni kitongoji cha Oman. Ngorongoro kama inauzwa ilishauzwa kitambo maana hao Waarabu wanawinda ngorongoro muda mrefu sana.

Serikali yetu iwe na uangalifu sana wanaposhirikiana na Oman. Kumbukeni Sultan Jamshid aliyepinduliwa na wakina John Okello mwaka 1964 na kukimbilia UINGEREZA yuko hai na sasa amerudi yuko anaishi Oman toka mwaka jana!! Msifikirie kua wamesahau himaya yao hivi sasa wanajaribu kuwatega na kupata mbinu ya kuweza kurudisha Utawala wao kama vile PUTIN anavyowafanya huko UKRAINE!! Siku moja mtaamka mtakuta manowali zimejipanga hapo visiwani mkaanza kung'aa macho; dunia ya leo waarabu wana nguvu sana ya fedha hivyo tuwe macho!!!
 
Nitakuthibitishia vipi kuhusu uwepo wa babu zetu Zanzibar na Pemba kabla ya waarabu kufika? Mtu ambae unaamini kuwa kuna wakati samaki walikuwa wanaokotwa tu karibu na ufukweni hauwezi kukubali ushahidi wowote hata ukikuangukia kichwani. Kwako wewe waarabu wako karibu na Mungu.


Amandla...
Majahazi waliyotumia Waarabu na wengine kuja nayo mpaka Zanzibar yanajulikana. Sasa na wewe utuonyeshe ushahidi wa mababu zako kuja mpaka Zanzibar. Acha porojo.
 
Serikali yetu iwe na uangalifu sana wanaposhirikiana na Oman. Kumbukeni Sultan Jamshid aliyepinduliwa na wakina John Okello mwaka 1964 na kukimbilia UINGEREZA yuko hai na sasa amerudi yuko anaishi Oman toka mwaka jana!! Msifikirie kua wamesahau himaya yao hivi sasa wanajaribu kuwatega na kupata mbinu ya kuweza kurudisha Utawala wao kama vile PUTIN anavyowafanya huko UKRAINE!! Siku moja mtaamka mtakuta manowali zimejipanga hapo visiwani mkaanza kung'aa macho; dunia ya leo waarabu wana nguvu sana ya fedha hivyo tuwe macho!!!
Oman ni ndugu zetu, wakirudi tutawakaribisha. Huyo Okello ni chogo mwenzako, siyo Mzanzibari. Alifanya vamizi huku Zanzibar na kumwaga damu za wasio na hatia.
 
Bila ya watu kuitumia ardhi nzuri, hali nzuri ya hewa, bahari iliyojaa samaki kuleta maendeleo hakuna maendeleo. Neema ililetwa na watu wa Oman na wengine wa mashariki waliovumbua Zanzibar.

..hata hao Waomani hawakuwa nguvu kazi iliyowezesha Zanzibar kuwa na neema.

..Zanzibar imeendelea kwa jasho na damu ya watu weusi ambao asili yao ni maeneo ya bara.

..Watu wa Asia walikuwa wanyonyaji tu waliowezeshwa na mfumo wa kikandamizaji uliokuwepo zama hizo.
 
..hata hao Waomani hawakuwa nguvu kazi iliyowezesha Zanzibar kuwa na neema.

..Zanzibar imeendelea kwa jasho na damu ya watu weusi ambao asili yao ni maeneo ya bara.

..Watu wa Asia walikuwa wanyonyaji tu waliowezeshwa na mfumo wa kikandamizaji uliokuwepo zama hizo.
Mngeendeleza huko bara pia. Au huko bara hakuna ardhi nzuri na hali ya hewa nzuri na samaki? Kwa nini mlishindwa?
 
..walitumia vyombo vya uvuvi / majini kufika Unguja, Pemba, na visiwa vingine vya karibu.

..madai kwamba wakaazi wa kwanza wa visiwa vya Zanzibar ni watu wa kutoka Bara la Asia sio ya kweli.
Vyombo vya uvuvi viko vingi. Vipi walivitumia kuvuka bahari?
 
Huyo Okello ni chogo mwenzako, siyo Mzanzibari. Alifanya vamizi huku Zanzibar na kumwaga damu za wasio na hatia.

Hamtaki kukubali tu kwasababu mnaona aibu, bila John Okello Mpaka leo mgekuwa chini ya hao WAMANGA!! Wakina NATEPE na Col. Seif Bakari nao wawaita machogo?
 
Kujua lugha nyingi ni faida kubwa sana
Mjitahidi sana kuwafundisha au hata kuwapeleka nje watoto wenu kama mna uwezo
Mimi naongea lugha nne na zimenisaidia wakati wakimbizi wakifurika Na mimi nilipata kazi kuwa mkalimani
Na inalipa vizuri mbali na kazi zangu za kila siku

Hongera zake
 
Hamtaki kukubali tu kwasababu mnaona aibu, bila John Okello Mpaka leo mgekuwa chini ya hao WAMANGA!! Wakina NATEPE na Col. Seif Bakari nao wawaita machogo?
Wazanzibari asili huwezi kuwaita wamanga. Machogo mna ubaguzi sana.
 
Mwislamu akisoma dini kama hajui kusoma kiarabu na kuandika kiarabu huyo sio mwislamu

Madrasa zote hufundisha kusoma ,kuandika na kuongea kiarabu uswahilini wako kibao wanaweza kama mama Samia wasoma Madrasa
 
Back
Top Bottom