Rais Samia kumbe anajua kuongea Kiarabu Vizuri. Nimemsikia alipokuwa Ikulu ya Tunguu Zanzibar


Hayo mambo ya kuitwa Nyani waambie wanashobokea Wazungu watakujibu labda isitoshe kama ni kweli usemavyo kwa nini Samia anafunga safari kwa karibia wiki 2 kwenda kuomba hela za misaada Ufaransa ? Kwa nini hakwenda kuomba Saudia? Kwa nini Watalii wanaokuja Zanzibar > 80% wanatoka Ulaya au Japan na siyo Waarabu ? Kwa nini Zanzibar inapewa misaada na Ulaya au Japan na siyo Saudia ?

Acha kujidanganya, hakuna watu wana classes kama Waarabu, na ndio maana Muslims wengi wanakwenda kuishi non Arab countries hata Samia mwenyewe kila siku mguu na njia non Arab countries, au ni lini ulisikia Samia akikaribishwa Saudia ?
 
Ingekuwa ni maalim seif kakutana na hao waarabu wangesema Zanzibar wanataka kumrudisha mwarabu
 
Acha kufananisha waarabu na vitu vya kipumbafu mzee. Unadhani omani/nchi za kiislamu ni kama za makafiri wa kizungu/mayahudi zinaenda kupiga nchi na kuikalia!!! Omani hawezi fanya huo ujinga,,tatizo lako na wengine kama wewe mlishakaririshwa ujinga.

Mwarabu ni Mwarabu tu usifikiri wewe una huo ushombe wako ukafikiri wanakuona wewe mwenzao! Huoni dada zenu wanavyofanywa wakienda kufanya kazi za uyaya huko Oman? Kwani wale wanaowapiga washihiri wa Yemen sio waarabu kama babu zako?
 
Wewe mshenzi waarabu wana ukarimu gani waliwauza binadamu wenzao kama watumwa halafu walipofika huko Uarabuni kwa unyama wao wakawahasi wanaume wote ili wanawake wao wasiingiliwe!! Sasa kwako wewe huo ndio ubinadamu sio? Kwani Okeloo hakuwa na wazawa wakina Seif Bakari, Jecha na Natepe kumuondoa mwarabu Jamshid?
 

Kwani walipopinduliwa huko Zenj waislam hawakuwepo? Wewe mwenye akili fupi unaangalia DINI lakini wenye akili ndefu kwao Zanzibar/UTAIFA ndio kitu muhimu!! Kama ndio hivyo wingi wa waislam ndio ngao yako sidhani kama wakilianzisha watalimaliza!!!
 
Safi sana, Oman ni ndugu zetu kihistoria. Ni vizuri kuwakaribisha tulete maendeleo kwa kupitia utajiri wao wa mafuta.

Oman wenyewe wanashindwa kujisaidia wataweza vp kuisaidia TZ?
 
Tanzania na maendeleo, mtu akiongea kiarabu ni hazina kubwa kwa Taifa daaah tutafika kweli Mungu wangu kwa undulele huu?
 
Oman wewe mtu mweusi wanakuita abdi, maana yake mtumwa, ila wewe nigga unamuita Mwarabu ndugu yako ?
Hiyo ni unrequited love!

Hutawaweza hawa kwakujipendekeza kwa waarabu
 
Kwani walipopinduliwa huko Zenj waislam hawakuwepo? Wewe mwenye akili fupi unaangalia DINI lakini wenye akili ndefu kwao Zanzibar/UTAIFA ndio kitu muhimu!! Kama ndio hivyo wingi wa waislam ndio ngao yako sidhani kama wakilianzisha watalimaliza!!!

Mapinduzi gani ya kuuwa watu waco na hatia!!!! Walichokifanya hakitofautiani sana na kinachofanyika kwa wapalestina dhidi ya makafiri wa kiyahudi.


Nyerere❌
Okello❌
Karume❌

Mbele ya Mwenyezi Mungu watakipata wanachositahili.
 
Wewe mshenzi waarabu wana ukarimu gani
Endelea kutukana tuu, ndio kawaida yenu pindi mnapoishiwa hoja.


waliwauza binadamu wenzao kama watumwa halafu walipofika huko Uarabuni kwa unyama wao wakawahasi wanaume wote ili wanawake wao wasiingiliwe!! Sasa kwako wewe huo ndio ubinadamu sio? Kwani

Unachekesha sana, hujui unachokiongea ewe naswara au yahudi utajua mwenyewe 😁 hebu lete hicho kithibitisho na co kuleta yaco kuwepo!!


Sasa kwako wewe huo ndio ubinadamu sio? Kwani Okeloo hakuwa na wazawa wakina Seif Bakari, Jecha na Natepe kumuondoa mwarabu Jamshid?

Kubali kataa waarabu co wenzio, kwa ukarimu na imani waliyonayo Allaah amewajaalia. Kuwa Muisilamu ni neema kubwa sana.

Huyo okello kafiri laana za Allah ziwe juu yake pamoja na makafiri wenzie waliohusika kwa mauwaji hayo watakipata wanachositahili mbele ya Mwenyezi Mungu, huyo nyerere na karume watakipata pia wanachositahili. walichokifanya dhidi ya waisilamu wenzetu walidhani wataishi milele co!!


Njoo na facts pamoja na ushaidi, na siyo matusi.
 

Wewe unajuaje serikali haipati msaada kutoka nchi za kiarabu?? Unataka kila kinachoendelea wakujuze au serikali zao zijitangaze kwamba tumeisaidia Tanzania kiasi flani cha fedha!! Mimi na wewe hatujui, so kaa utulie na acha serikali ifanye kazi zake bwana. Mungu awabariki sana waarabu, wanatupenda nasi 2nawapenda kwa ukarimu wao.
 

Huko syria na yemen, chanzo cha vita hivyo ni nani???

Kuhusu alshabab kusapotiwa na saudia una uhakika gani???? Hata mtoto mdogo humdanganyi.
 
Hutawaweza hawa kwakujipendekeza kwa waarabu

Likitajwa neno "waarabu" mnatamani kujiuwa eee 😁. Bila waarabu/waisilamu cjui mngepata wapi ustaarabu , japo ni wachache sana wamestaarabika. Kuwa muisilamu ni neema kubwa mzee.
 

Wewe na ndugu zako waarabu mliohusika na Biashara ya utumwa na kuwauwa na kuwadhalilisha binadam wenzetu laana iwe juu yenu kwa kupotosha dini yenu na kuitumia kama ngao ya kumfanya ufedhuli wenu!! Allah awape adhabu ya jehanamu kwa kupotosha maandiko yake matakatifu kwa faida !!
 

Unajua kijana unafurahisha sana 😁 yoote hayo unayoongea huna ushahidi-nao,, bali unachokisikia mitaani ndio unakiketa humu 😁

Je! Wakati wanauwa ulikuwepo? Uckimbie tuu!!!
 
Unajua kijana unafurahisha sana 😁 yoote hayo unayoongea huna ushahidi-nao,, bali unachokisikia mitaani ndio unakiketa humu 😁

Je! Wakati wanauwa ulikuwepo? Uckimbie tuu!!!

Kwani yote ya kweli duniani lazima uyaone? Historia huwa documented na walioshuhudia na pia husimuliwa na mashahidi kama ORAL history!! History documents past events yakiwemo hayo niliyokwambia; sio lazima kuwepo ili kudhihirisha ukweli wa yaliyotokea.
 

Nani kawaletea hizo historia enyi wafuasi wa paulo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…