Rais Samia kumbe anajua kuongea Kiarabu Vizuri. Nimemsikia alipokuwa Ikulu ya Tunguu Zanzibar

Rais Samia kumbe anajua kuongea Kiarabu Vizuri. Nimemsikia alipokuwa Ikulu ya Tunguu Zanzibar

Oman wewe mtu mweusi wanakuita abdi, maana yake mtumwa, ila wewe nigga unamuita Mwarabu ndugu yako ?
Hiyo ni unrequited love!

May be 50% or 60% wanaongea kiswahili. Huenda omani ikawa nchi ya kwanza duniani wa2 wake wanaongea kiswahili fasaha, na ya pili kwa waongeaji wengi baada ya Tanzania. Hao jamaa wamejaaliwa kushika lugha acha kabisa, na wanaipenda lugha ya kiswahili.....inatosha kusema hawa ni "Ndugu zetu wa damu kuliko kenya na uganda"

Allaah amjaarie mama samia afya njema, aijaarie Tanzania na Omani udugu uendelee kudumu.

Kiarabu✔
Kiswahili✔
 
Weka ushahidi wa video basi, maana hata Oman kuna raia kibao wanaongea Kiswahili na si ajabu hata hapo walikuwa wanabonga Kiswahili

May be 50% or 60% wanaongea kiswahili. Huenda omani ikawa nchi ya kwanza duniani wanaongea kiswahili fasaha, na ya pili kwa waongeaji wengi baada ya Tanzania. Hao jamaa wamejaaliwa kushika lugha.....inatosha kusema hawa ni "Ndugu zetu wa damu kuliko kenya na uganda" Allaah amjaarie mama samia, na aijaarie Tanzania na Omani undugu uendelee kuwepo.
 
Hajui. Vipi unawezaje kumshuhudia mtu ajua lugha na wewe huijui? Nilipomsikia akisema jumla moja tu ya Kiarabu, niligundua hajui Kiarabu. Kama una kumbukumbu, aliwahi kusema ' Annaas shaheed u-Llah' na kufasiri kuwa watu ni mashahidi wa Mwenyezi Mungu. Hakuna Mwarabu atasema hivyo. Maana naas= plural wakati shaheed= ni singular.
Ilibidi aseme 'Annaas shuhadaau Lillahi' if ya dig what I mean, body!
Hii haimaanishi chochote cha kumwondolea weledi wake. Kujua Kiarabu Tanzania si lazima, ingawaje kunaongeza hadhi. Yuko rais mmoja hata hakuwa anajua Kiingereza na 'it was fine'.
Watanzania waache obssession na lugha za watu wengine. Kama tungekifahamu Kiswahili vya kutosha na tukawa tunasoma na tunaandika....ingetosha!
 
Hajui. Vipi unawezaje kumshuhudia mtu ajua lugha na wewe huijui? Nilipomsikia akisema jumla moja tu ya Kiarabu, niligundua hajui Kiarabu. Kama una kumbukumbu, aliwahi kusema ' Annaas shaheed u-Llah' na kufasiri kuwa watu ni mashahidi wa Mwenyezi Mungu. Hakuna Mwarabu atasema hivyo. Maana naas= plural wakati shaheed= ni singular.
Ilibidi aseme 'Annaas shuhadaau Lillahi' if ya dig what I mean, body!
Hii haimaanishi chochote cha kumwondolea weledi wake. Kujua Kiarabu Tanzania si lazima, ingawaje kunaongeza hadhi. Yuko rais mmoja hata hakuwa anajua Kiingereza na 'it was fine'.
Watanzania waache obssession na lugha za watu wengine. Kama tungekifahamu Kiswahili vya kutosha na tukawa tunasoma na tunaandika....ingetosha!

Hivi kuna lugha yenye lafudhi tamu kama kiarabu? For me kiarabu is the best language in the world. I like it
 
Angalau wewe umeanza kujitambua, huwa nawaonea huruma sana Waafrika weusi wanaojiona ni Waarabu ukweli ni kwamba Waarabu hawawaelewi, hakuna watu wana classes kama Waarabu, kwanza kwa Mwarabu wa Syria au Emirat au hata Saudia hata tu Wamoroko au Algeria siyo Waarabu kwako na hawawakubali ije kuwa hawa wa huku Rufiji ?

Acha roho mbaya babaa. Watu wa sampuli kama yako ni ngumu kutoka/kuendelea.

Kwanza nitakuwa mpumbavu mwarabu asemwe na mtu kama wewe and then nikusapoti au nikukalie kimya. Mwarabu ni ndugu yangu katika imani kuliko hata wewe usie muislamu. المسلم أخو المسلم
 
Majahazi waliyotumia Waarabu na wengine kuja nayo mpaka Zanzibar yanajulikana. Sasa na wewe utuonyeshe ushahidi wa mababu zako kuja mpaka Zanzibar. Acha porojo.
Kwa hiyo mafia walifikaje hawa watu weusi??, au alikwambia kuwa waafrika walikuwa hawavui baharini ni nani?, uvuvi ulianza zamani na historia inaonesha watu weusi walikuwepo Zanzibar mpaka mwarabu anafika
 
Oman ni ndugu zetu, wakirudi tutawakaribisha. Huyo Okello ni chogo mwenzako, siyo Mzanzibari. Alifanya vamizi huku Zanzibar na kumwaga damu za wasio na hatia.
Ndugu yako ambae alikuwa anawakamata watumwa na kuwauza kama mifugo?, aliewafanyia kila aina ya ushenzi, maiti zilikuwa zimetapakaa pwani sababu ya watumwa waliokufa kwa mateso na hamna mwenye habari ya kuwazika
 
May be 50% or 60% wanaongea kiswahili. Huenda omani ikawa nchi ya kwanza duniani wa2 wake wanaongea kiswahili fasaha, na ya pili kwa waongeaji wengi baada ya Tanzania. Hao jamaa wamejaaliwa kushika lugha acha kabisa, na wanaipenda lugha ya kiswahili.....inatosha kusema hawa ni "Ndugu zetu wa damu kuliko kenya na uganda"

Allaah amjaarie mama samia afya njema, aijaarie Tanzania na Omani udugu uendelee kudumu.

Kiarabu[emoji818]
Kiswahili[emoji818]
hahahahahahah
 
Acha roho mbaya babaa. Watu wa sampuli kama yako ni ngumu kutoka/kuendelea.

Kwanza nitakuwa mpumbavu mwarabu asemwe na mtu kama wewe and then nikusapoti au nikukalie kimya. Mwarabu ni ndugu yangu katika imani kuliko hata wewe usie muislamu. المسلم أخو المسلم
Ila wewe dini imekuharibu Sana
Hata kule afcon ulikuwa unashabikia misri yaani kiufupi unahitaji ukombozi mkubwa Sana,
 
Oman ni ndugu zetu, wakirudi tutawakaribisha. Huyo Okello ni chogo mwenzako, siyo Mzanzibari. Alifanya vamizi huku Zanzibar na kumwaga damu za wasio na hatia.
Majitu meusi sijui yalirogwa kwa uchawi gani, wewe babu zako walikamatwa huko Tabora wakapelekwa huko visiwani kupalizi minazi mara hii hauwatambui weusi wenzako? Kwahiyo mwarabu ana thamani kuliko mnyamwezi mwenzako mweusi? Kwanza waarabu walishasema 'Ni afadhali sheikh awe mwarabu alafu mlevi kuliko sheikh awe mweusi'
 
Acha roho mbaya babaa. Watu wa sampuli kama yako ni ngumu kutoka/kuendelea.

Kwanza nitakuwa mpumbavu mwarabu asemwe na mtu kama wewe and then nikusapoti au nikukalie kimya. Mwarabu ni ndugu yangu katika imani kuliko hata wewe usie muislamu. المسلم أخو المسلم
Mwarabu anakwambia 'Ni afadhali sheikh awe mwarabu alaf mlevi kuliko sheikh awe Mweusi'
 
Back
Top Bottom