Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Rais Samia amewakumbusha wanahabari kuwa Urais ni taasisi hivyo kuna masuala ambayo yeye kama Samia hahusiki.
Amelalamikia suala la waandishi kuandika story kama Tanzania Ikishtakiwa Umoja wa Ulaya, ambapo suala kama hilo Samia hahusiki ila taasisi ya Urais inahusika ikiwa ni pamoja na wananchi.
Hivyo amesema uandishi wa aina hiyo unaharibu nchi sio kumuharibia Samia
====
Pia soma:
- Rais Samia akishiriki Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari, Juni 18, 2024
Amelalamikia suala la waandishi kuandika story kama Tanzania Ikishtakiwa Umoja wa Ulaya, ambapo suala kama hilo Samia hahusiki ila taasisi ya Urais inahusika ikiwa ni pamoja na wananchi.
Hivyo amesema uandishi wa aina hiyo unaharibu nchi sio kumuharibia Samia
====
Pia soma:
- Rais Samia akishiriki Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari, Juni 18, 2024