katika sehemu aliyoimba Mwana FA ambaye ni Naibu Waziri wa Sanaa na Michezo alisema "mbwa mpumbavu ndiyo anaweza bwekea ndege". Baada ya hapo Rais Samia ndiyo akaongezea kusema Kuna Mbwa Mpumbavu anabwekea maendeleo yetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu ana tafsiri yake wengine wanasema mzanzibari anabwekea maendeleo ya TanganyikaHuyo mbwa mpumbavu ni Lisu
Ngoma iklilia sana karibia inapasuka, kibri hii tutaipeleka kwa Mola atoe mwenyewe hukumu.Rais Samia alitoa kauli hiyo wakati alipo muomba Naibu waziri wa Sanaa na michezo maarufu kama Mwana Fa kuimba mashairi wakati akitaka kuanza kuongea na wana Zanzibar katika uzinduzi wa Suluhu Sports Club.
katika sehemu aliyoimba Mwana FA ambaye ni Naibu Waziri wa Sanaa na Michezo alisema "mbwa mpumbavu ndiyo anaweza bwekea ndege". Baada ya hapo Rais Samia ndiyo akaongezea kusema Kuna Mbwa Mpumbavu anabwekea maendeleo yetu.
Anapalilia unga wake.FA anapoteza credit kwa waja kirahisi hivii, kumbe nae ni emptu mind.
Woiiiiiiih.
Hata km sio kwa style hii, ana njaa za kiwaki master mind wa mchongo.Anapalilia unga wake.
Pumzi karibu zinakataKaanza kuishiwa hoja, mwisho atasusa
Njaa my loveFA anapoteza credit kwa waja kirahisi hivii, kumbe nae ni emptu mind.
Woiiiiiiih.