cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Tuma Acc ya CRDB nikuwekee biriani.Njaa my love
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuma Acc ya CRDB nikuwekee biriani.Njaa my love
Kukata tamaa mtu yupo ikulu,amiri jeshi mkuu,sera zake zinakuathiri, acheni utaahira huko unyumbuniHii ni dalili ya kuzidiwa na mambo na kukata tamaa.
Hajazidiwa isipokuwa hana uwezoHii ni dalili ya kuzidiwa na mambo na kukata tamaa.
Soon!!Apewe uwaziri
Maza hana mvutoNgoma iklilia sana karibia inapasuka, kibri hii tutaipeleka kwa Mola atoe mwenyewe hukumu.
Mbwa ni Watanganyika wanaoona wivu jinsi Zanzibar inavyochanja mbuga kwa maendeleo kipindi chake hiki akiwa Rais. Tumekusikia, asante saana Bimkubwa.Rais Samia alitoa kauli hiyo wakati alipo muomba Naibu waziri wa Sanaa na michezo maarufu kama Mwana Fa kuimba mashairi wakati akitaka kuanza kuongea na wana Zanzibar katika uzinduzi wa Suluhu Sports Club.
katika sehemu aliyoimba Mwana FA ambaye ni Naibu Waziri wa Sanaa na Michezo alisema "mbwa mpumbavu ndiyo anaweza bwekea ndege". Baada ya hapo Rais Samia ndiyo akaongezea kusema Kuna Mbwa Mpumbavu anabwekea maendeleo yetu.
Mbona kitambo sana huyo ni empt sema chama cha majararani ndio kinawapa airtimeFA anapoteza credit kwa waja kirahisi hivii, kumbe nae ni emptu mind.
Woiiiiiiih.
Tatizo mfumo mzee.FA anapoteza credit kwa waja kirahisi hivii, kumbe nae ni emptu mind.
Woiiiiiiih.
Mbona hasira imekugusa?Hii ni dalili ya kuzidiwa na mambo na kukata tamaa.
Bibi amepanic, anaanza kutukana watu 🤣🤣Rais Samia alitoa kauli hiyo wakati alipo muomba Naibu waziri wa Sanaa na michezo maarufu kama Mwana Fa kuimba mashairi wakati akitaka kuanza kuongea na wana Zanzibar katika uzinduzi wa Suluhu Sports Club.
katika sehemu aliyoimba Mwana FA ambaye ni Naibu Waziri wa Sanaa na Michezo alisema "mbwa mpumbavu ndiyo anaweza bwekea ndege". Baada ya hapo Rais Samia ndiyo akaongezea kusema Kuna Mbwa Mpumbavu anabwekea maendeleo yetu.
Hayo ni mashairi ya wimbo wake wa siku nyingi kabla hata ya hivyo vyeo vya kupita, kosa lake ni nini?Hata km sio kwa style hii, ana njaa za kiwaki master mind wa mchongo.
Tena sahivi kawa uchwaraaa kabisaa.