cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Relaaxxx!!Nimekuuliza tu kistarabu, mbona kama umepanic
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Relaaxxx!!Nimekuuliza tu kistarabu, mbona kama umepanic
Kwa utafiti gani uliokuridhisha watu wote,Nimefanya makosa kukuambia ukweli?
Narudia tena:
Watu wenye akili sote tunajua kuwa Mbwa Mpumbavu ni nani
Wewe pekee yako hujui.
Wapi nimesema watu wote.Kwa utafiti gani uliokuridhisha watu wote,
muda wa "kudra" unakaribia kuishaEti maendeleo yetu 😆😆😆😆😆😆 amehamia kwenye taarabu sasa yawezekana siku sio nyingi akatoa mipasho na mzee yusufu 😆😆😆😆
Hahaha.....wacha tu nicheke.Rais Samia alitoa kauli hiyo wakati alipo muomba Naibu waziri wa Sanaa na michezo maarufu kama Mwana Fa kuimba mashairi wakati akitaka kuanza kuongea na wana Zanzibar katika uzinduzi wa Suluhu Sports Club.
katika sehemu aliyoimba Mwana FA ambaye ni Naibu Waziri wa Sanaa na Michezo alisema "mbwa mpumbavu ndiyo anaweza bwekea ndege". Baada ya hapo Rais Samia ndiyo akaongezea kusema Kuna Mbwa Mpumbavu anabwekea maendeleo yetu.
Yaani kitanzi kinazidi kubana...soon ataita maji 'mma'Pumzi karibu zinakata
Hii ni fasihi ya Kiswahili huwezi ukawa na jibu umoja usilazimishe kuwa wewe ndiye mwenye uelewa sahihi, mbona rahisi tu, umeelewa hivyo uko sahihi na mimi nimelelewa hivi niko sahihi hunanhaki ya kutaka nielewe kama ulivyoelewa wewe wapi shida hadi unatoa mapovu?Wapi nimesema watu wote.
Nimesema watu wote wenye akili tunajua Mbwa Mpumbavu ni nani
Kama humjui basi wewe siyo sehemu ya watu ninaowaongelea. Mbona simple tu. 🤣 🤣 🤣 🤣
Watanganyika wamefikia kuitwa mbwa wapumbavu?! Kweli?!!!Rais Samia alitoa kauli hiyo wakati alipo muomba Naibu waziri wa Sanaa na michezo maarufu kama Mwana Fa kuimba mashairi wakati akitaka kuanza kuongea na wana Zanzibar katika uzinduzi wa Suluhu Sports Club.
katika sehemu aliyoimba Mwana FA ambaye ni Naibu Waziri wa Sanaa na Michezo alisema "mbwa mpumbavu ndiyo anaweza bwekea ndege". Baada ya hapo Rais Samia ndiyo akaongezea kusema Kuna Mbwa Mpumbavu anabwekea maendeleo yetu.
Hata ile sauti ya mamlaka hanaLabda wa macho tuu, ila kichwani hamna kitu!.
Nimekuuliza swali. Je wewe ni mmoja wa watu ninaowaongelea?Hii ni fasihi ya Kiswahili huwezi ukawa na jibu umoja usilazimishe kuwa wewe ndiye mwenye uelewa sahihi, mbona rahisi tu, umeelewa hivyo uko sahihi na mimi nimelelewa hivi niko sahihi hunanhaki ya kutaka nielewe kama ulivyoelewa wewe wapi shida hadi unatoa mapovu?
Halafu wanachekelea na kukenua meno kabisa kama mazuzu.Watanganyika wamefikia kuitwa mbwa wapumbavu?! Kweli?!!!
wanawake hawajaumbwa kutawala. wameumbwa "kulea"Hata ile sauti ya mamlaka hana
Samia yupo sana mpaka 2030, ceteris paribus.Kaanza kuishiwa hoja, mwisho atasusa
Ndiyo maana ana haribu nchi yetuwanawake hawajaumbwa kutawala. wameumbwa "kulea"