milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Huyu Maza ana elimu Gani? Bara hatumuelewi hata kidogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amemaanisha nyie Watanganyika mnaolalama kuwa anapeleka maendeleo kwao Zanzibar ndiyo wapumbavu, hili mbona liko wazi tu. Tunamshukuru kwa matusi haya.Watu wote wenye akili timamu wanamjua Mbwa Mpumbavu kuwa ni nani.
kasomea kizimkazi shule ya mwisho kimatokeoHuyu Maza ana elimu Gani? Bara hatumuelewi hata kidogo.
Rais Samia alitoa kauli hiyo wakati alipo muomba Naibu waziri wa Sanaa na michezo maarufu kama Mwana Fa kuimba mashairi wakati akitaka kuanza kuongea na wana Zanzibar katika uzinduzi wa Suluhu Sports Club.
katika sehemu aliyoimba Mwana FA ambaye ni Naibu Waziri wa Sanaa na Michezo alisema "mbwa mpumbavu ndiyo anaweza bwekea ndege". Baada ya hapo Rais Samia ndiyo akaongezea kusema Kuna Mbwa Mpumbavu anabwekea maendeleo yetu.
'Lice'.FA anapoteza credit kwa waja kirahisi hivii, kumbe nae ni emptu mind.
Woiiiiiiih.
🤣kasomea kizimkazi shule ya mwisho kimatokeo
Wewe ni moja ya wapumbavu waliobaki JF. Watu wenye akili wote tunajua Mbwa mpumbavu ni nani. except wewe pekee hujuiAmemaanisha nyie Watanganyika mnaolalama kuwa anapeleka maendeleo kwao Zanzibar ndiyo wapumbavu, hili mbona liko wazi tu. Tunamshukuru kwa matusi haya.
Mama wa 4R yamemfika shingoni
Sawa unayejiona una hatimiliki ya akili za watu wote humu JF.Wewe ni moja ya wapumbavu waliobaki JF. Watu wenye akili wote tunajua Mbwa mpumbavu ni nani. except wewe pekee hujui
Wazazi wako waliokunyima malezi bora ndiyo mbwa wapumbavuHuyo mbwa mpumbavu ni Lisu
Kosa lake nini? Au huujui huo wimbo?FA anapoteza credit kwa waja kirahisi hivii, kumbe nae ni emptu mind.
Woiiiiiiih.
Umemalizaaa??Kosa lake nini? Au huujui huo wimbo?
Alierudia ndie kaedit ila kauli ya FA imetokana na mashairi ya wimbo wake unaitwa Gwiji
Haya Relaaaxxx!!Ndio kamwali
Nimefanya makosa kukuambia ukweli?Sawa unayejiona una hatimiliki ya akili za watuwote humu JF.
TaarabuRais Samia alitoa kauli hiyo wakati alipo muomba Naibu waziri wa Sanaa na michezo maarufu kama Mwana Fa kuimba mashairi wakati akitaka kuanza kuongea na wana Zanzibar katika uzinduzi wa Suluhu Sports Club.
katika sehemu aliyoimba Mwana FA ambaye ni Naibu Waziri wa Sanaa na Michezo alisema "mbwa mpumbavu ndiyo anaweza bwekea ndege". Baada ya hapo Rais Samia ndiyo akaongezea kusema Kuna Mbwa Mpumbavu anabwekea maendeleo yetu.