Rais Samia kununua kwa milioni 10 kila goli la Taifa Stars kufuzu AFCON

Rais Samia kununua kwa milioni 10 kila goli la Taifa Stars kufuzu AFCON

Unaposema anatumia vibaya fedha za wananchi, wale anaowapa siyo wananchi? Hebu fikiria mfano huu, kisima cha maji kimejengwa huko Simanjiro kwa fedha za kodi zetu kama ilivyo kwenye mpira, MTU ALIYEKO LIULI HUKO NYASA ANAFAIDIKA NINI NA KISIMA HICHO? Ni sawa na hili la kutoa fedha kwenye michezo..!! Hakuna mradi au jambo litafanywa kwa kodi zetu halafu liguse watanzania wote kwa usawa. Hawa wanapata hili na wale wanapata lile. Hata wakati daraja la mkapa linajengwa, mtu aliyeko Karagwe wala halikumuhusu
Nadhani hoja sio matumizi ya pesa bali mipango madhubuti yakuinua sekta ya michezo ndicho kinachojadiliwa na wenye mawazo mbadala wanaona njia inayotumika haina faida ya muda mrefu.
 
Nadhani hoja sio matumizi ya pesa bali mipango madhubuti yakuinua sekta ya michezo ndicho kinachojadiliwa na wenye mawazo mbadala wanaona njia inayotumika haina faida ya muda mrefu.
Ungeeleza kwamba zawadi atoe na ashiriki kusaidia uibuaji wa vipaji vipya,sawa.Kukataa waliopo sasa wasipewe motisha na kuzidisha morali unakwama.Tanzania ina masononeko mengi sana.Hautaki tufurahi hata kwenye mpira?Acha hizo ustaadh!
 
Kwahiyo kama hizo nyingine hajui zinaenda wapi hizi anazojua asiseme?.akili zakijinga kabisa hizi.
We ndo una akili za kitoto sanaa kama co hvy tuna wasi wasi na uraia wako maana huwezi kuanza kusema eti hizo ni za wananchi sasa sielewi nchi itapata wapi hela
 
Kwahiyo kama hizo nyingine hajui zinaenda wapi hizi anazojua asiseme?.akili zakijinga kabisa hizi.
We ndo una akili za kitoto sanaa kama co hvy tuna wasi wasi na uraia wako maana huwezi kuanza kusema eti hizo ni za wananchi sasa sielewi nchi itapata wapi hela
 
Uwekezaji si mambo ya long term, hii ni ishu ya short term
Kwahiyo badala ya kuwekeza kwenye academies ili tuje kuwa na timu bora zaidi mbeleni, we unaona ni sawa kuwa mnasubiria afcon zikikaribia ndio mnaanza kudandia mabehewa?
 
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa Tsh. Milioni 10 kwa kila goli ambalo Taifa Stars itafunga katika michuano ya kufuzu fainali ya michuano ya AFCON inayoendelea.

Taarifa iliyotolewa leo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa imesema Rais Samia ameahidi kuanza kutoa fedha hizo kuanzia mechi ijayo ambapo Taifa Stars itarudiana na Timu ya Taifa ya Uganda (Uganda Cranes) katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.

Ahadi hiyo inakuja wakati ambapo pia ameahidi kuipatia timu hiyo donge nono la TZS milioni 500, endapo itafanikiwa kufuzu mashindano hayo ambayo yatafanyika Januari 2024 nchini Ivory Coast.

Aidha, Rais Samia amewapongeza Wachezaji, Benchi la Ufundi, TFF na Wadau wote walioshiriki katika maandalizi ya Taifa Stars.
Ndo hapa tulipopata pigo kupata raisi mwanamke wanawake wanakuwaga na vinyongo,yaani kaaona tunamsema kwa kununua Magori ya simba na yanga,leo kaongeza dau imekuwa 10mln kwakweli tunatakiwa kufanya maombi kama tunavyofanya wakati wa kuomba mvua au kutuepusha na majanga.Tunaelekea kubaya mana anaweza Amaua ata kuuza nchi tu kisa tumemsema haache kukopa akatukopea.
 
Halafu anabeba kopo kwenda kuombeleza nje,
kuna wakati uwa najiuliza kwamba kifo cha JPM ulikuwa mpango wa Mungu au Shetani?.Kama ni Mungu kwanini aliruhusu haya yatokee akujua kwamba hii nchi ni masikini alafu anatupatia mtu atakaye kuja kutufilisi zaidi jamani?.
 
Kwa hiyo waliopo wasipewe motisha?Anadakia kipi?Kwani yeye si Mtanzania?Acha ukuda kama kizee kichawi.Unaumia nini?
Ndio maana chama lenu la machadema limebaki lilivyo sababu ya mipango ya zima moto kama hii anayofanya huyu bibienu
 
Ndio maana chama lenu la machadema limebaki lilivyo sababu ya mipango ya zima moto kama hii anayofanya huyu bibienu
Uliwahi kuniona na kadi ya CHADEMA?Unazeeka hadi umegeukia kazi ya uchawi.Muacheni Mama Samia atoe motisha kwa vijana.Wewe kachimbe magimbi shambani uuze upate hela ya kununulia chumvi na kiberiti.
 
halafu tunaenda kukopa hela hizihiz kwa mabeberu au kuwaomba msaada wa ujenzi wa vyoo.... Mabeberu nao wanatuchora tu.
 
Samia hafai kuwa rais wa hii nchii....anatupoteza wa tanzania...anachukulia jukwaa la mpira kufanya siasa...uwekezaji wa mpira ni long strategic plan siyo kudandia kwa mbele...mnazani izo hela anaweza kutoa kwa miaka 2 mfululizo[emoji23][emoji23] anatumia vibaya pesa za wananchi wakati kuna mambo mengi ya msingi ya kufanya
Yule aliyekuwa ananunua wabunge na madiwani wa upinzani alitumia kiasi gani cha pesa?! Alikuwa anajenga nchi au alikuwa anajijenga yeye kisiasa?
 
Mnategemea huyu mama afanyeje kama bado amezungukwa na kina Grayson Msigwa?
Wanamdanganya kuwa ukitoa toa pesa utakuwa popular kumbe wao ndio wanatafuta popularity kwa fedha hizo.
Timu hizi hazishindi kwa kutoa motisha ya magoli bali kwa uwekezaji unaoeleweka.
Ni aibu Rais anatamka kutoa mamilioni kwa kulipia magoli lakini uwanja unakosa hata miundo mbinu ya kuvuta maji ya mvua hadi uwanja unapigwa deki kama nyumba ya mabondeni!
Acheni kumpaka mama mafuta kwa mgongo wa chupa.
 
Back
Top Bottom