Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 2,209
- 4,769
Ni kweli kabisa sisi TANZANIA ndo wa kuhangaika kutafuta kituo kipi chenye mafuta, hapa Tanzania, kweli kabisa Rais?
Umeme, vibarua wote wanaofanya kazi kwenye viwanda, wanalaza njaa watoto wao, gereji, salon, wanaishi kwa tabu sana kwa sasa
Mungu akupe moyo wa kutovumilia haya mateso ya Watanzania kwa kushindwa tu kuwakemea wafanyabiashara na Mawaziri wazembe!
Mimi nakataa kabisa kwamba, eti sisi tuna upungufu wa mafuta, nakataa kabisa kwamba, nchi yetu ina tatizo la upungufu wa kuzalisha umeme?
Huyo Mwenzenu aliweza vipi kwenye suala la umeme?
Umeme, vibarua wote wanaofanya kazi kwenye viwanda, wanalaza njaa watoto wao, gereji, salon, wanaishi kwa tabu sana kwa sasa
Mungu akupe moyo wa kutovumilia haya mateso ya Watanzania kwa kushindwa tu kuwakemea wafanyabiashara na Mawaziri wazembe!
Mimi nakataa kabisa kwamba, eti sisi tuna upungufu wa mafuta, nakataa kabisa kwamba, nchi yetu ina tatizo la upungufu wa kuzalisha umeme?
Huyo Mwenzenu aliweza vipi kwenye suala la umeme?