Rais Samia, kunyamaza kuhusu matatizo ya Watanzania ni kufurahia shida zao

Rais Samia, kunyamaza kuhusu matatizo ya Watanzania ni kufurahia shida zao

Mwanzoni nilikuwa siamini kuwa ukimya wa rais kwa wanaotoa matusi kwake kuhusu suala la bandari kuna watu unawaumiza na kuwakosesha amani, ila kwa post yako hii nimeamini wewe ni mmoja wa wanaosumbuliwa kisaikologia na ukimya wa rais.
"Hakuna jambo baya kama unamfanyia mtu ubaya/uadui halafu yeye anakukalia kimya tu.mbaya Sanaa"
 
Wabongo tunapenda kulialia kama mtoto anayeogopa sindano hakuna maendeleo yanayokuja kirahisi tu.
Kikwetee; Tunaongozwa na Rais mpole hana maamuzi magumu.

Magufuli;Tuna Rais dictator na wa ajabu haijawahi tokea.

Samia;Tuna Rais ambae hajielewi
SISI NDO WATANZANIA
 
Back
Top Bottom