πππNi kweli kabisa sisi TANZANIA ndo wa kuhangaika kutafuta kituo kipi chenye mafuta, hapa Tanzania, kweli kabisa Rais?
Umeme, vibarua wote wanaofanya kazi kwenye viwanda, wanalaza njaa watoto wao, gereji, salon, wanaishi kwa tabu sana kwa sasa
Mungu akupe moyo wa kutovumilia haya mateso ya Watanzania kwa kushindwa tu kuwakemea wafanyabiashara na Mawaziri wazembe!
Mimi nakataa kabisa kwamba, eti sisi tuna upungufu wa mafuta, nakataa kabisa kwamba, nchi yetu ina tatizo la upungufu wa kuzalisha umeme?
Huyo Mwenzenu aliweza vipi kwenye suala la umeme?
Ndio maanakeJe kukaa kimya ni kuto kuchukua hatua?
Kwenye hili simlaumu Samia pekee bali ni mfumo mzm wa utawala wa CCM!! Mfumo haujawahi kua na nia ya dhati ya kumkomboa mtanzania. Tanesco kile ni kitengo, maji bado ni kizungumkuti tang uhuru, huduma za afya tembelea vijijin na maeneo mengine ya mjin hakuna huduma strictly wala madawa, watanzania wa leo angalau wapo waojitafutia riziki kupitia mitandao sasa check rungu walilopigwa kweny bando π€£π€£π€£π€£π€£!!Ni kweli kabisa sisi TANZANIA ndo wa kuhangaika kutafuta kituo kipi chenye mafuta, hapa Tanzania, kweli kabisa Rais?
Umeme, vibarua wote wanaofanya kazi kwenye viwanda, wanalaza njaa watoto wao, gereji, salon, wanaishi kwa tabu sana kwa sas...
Wengi wao watu wa hivyo ni zero brain, na pia ujumbe wake anasema hana akili hajui cha kusema kwa kuwa ni kilaza hana cha kusema amefika mwisho wa akili yake.Uongozi ni kuonesha njia siyo kunyamaza. Ukiona kiongozi ananyaza kwenye masuala mazito ya kitaifa yanahitaji akili na maamuzi makini ujue hana misuli na misingi ya kiongozi.
Mtu kama huyu tegemeo lake kubwa ni muda ndiyo ufanye maamuzi. Jambo lolote liwe baya ama zuri litakalojiri yeye kwake sawa tu
Anatusemea JkUongozi ni kuonesha njia siyo kunyamaza. Ukiona kiongozi ananyaza kwenye masuala mazito ya kitaifa yanahitaji akili na maamuzi makini ujue hana misuli na misingi ya kiongozi.
Mtu kama huyu tegemeo lake kubwa ni muda ndiyo ufanye maamuzi. Jambo lolote liwe baya ama zuri litakalojiri yeye kwake sawa tu
Wabongo tunapenda kulialia kama mtoto anayeogopa sindano hakuna maendeleo yanayokuja kirahisi tu.Ni kweli kabisa sisi TANZANIA ndo wa kuhangaika kutafuta kituo kipi chenye mafuta, hapa Tanzania, kweli kabisa Rais?
Umeme, vibarua wote wanaofanya kazi kwenye viwanda, wanalaza njaa watoto wao, gereji, salon, wanaishi kwa tabu sana kwa sasa
Mungu akupe moyo wa kutovumilia haya mateso ya Watanzania kwa kushindwa tu kuwakemea wafanyabiashara na Mawaziri wazembe!
Mimi nakataa kabisa kwamba, eti sisi tuna upungufu wa mafuta, nakataa kabisa kwamba, nchi yetu ina tatizo la upungufu wa kuzalisha umeme?
Huyo Mwenzenu aliweza vipi kwenye suala la umeme?