Mngekuwa na akili nyie CCM msingekuwa mnajibu chochote kuhusu wizi kwenye chaguzi zetu,mana ni jambo lilo waza sana!Uliibiwa kura ngapi?
Lete ushahidi hapa sio kubwata bwata tu
Ni bora muendelee na mapambio tu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mngekuwa na akili nyie CCM msingekuwa mnajibu chochote kuhusu wizi kwenye chaguzi zetu,mana ni jambo lilo waza sana!Uliibiwa kura ngapi?
Lete ushahidi hapa sio kubwata bwata tu
Hali Tete Lakini Wanakwenda Kukaa Kuongelea Siyo Ya WananchiHali ya uchumi ni mbaya mno.
Chama cha Mapinduzi kina rangi nzuri ila tatizo kimejaa mafisadi na majizi ya keki ya taifa.===
Ni masaa machache tu baada ya kurejea kutoka katika Mkutano wa Dunia wa Uhifadhi wa Mazingira wa 27 yaani COP27 huko Nchini Misri,
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa, Dodoma.
View attachment 2414119
#CCMImara
#KaziIendelee
Keki ya Taifa inaliwa na Wataifa wote, Wewe uko upande gani?Chama cha Mapinduzi kina rangi nzuri ila tatizo kimejaa mafisadi na majizi ya keki ya taifa.
Laiti ccm ingesimamia misingi ya kuanzishwa kwake Tz ingekuwa nchi moja inayokimbiliwa na wageni kama South Afrika. Ila shida ndio hiyo chama kimejaa mediocres kuanzia grassroot.Keki ya Taifa inaliwa na Wataifa wote, Wewe uko upande gani?
Lakini Kwanini CCM ndio Chama kinachopendwa zaidi barani Africa kwa Sasa?Laiti ccm ingesimamia misingi ya kuanzishwa kwake Tz ingekuwa nchi moja inayokimbiliwa na wageni kama South Afrika. Ila shida ndio hiyo chama kimejaa mediocres kuanzia grassroot.
Lete takwimu.Lakini Kwanini CCM ndio Chama kinachopendwa zaidi barani Africa kwa Sasa?
Unamaanisha watu wote wanaoipenda CCM ni wajinga?Lete takwimu.
Labda nikwambie tu hata Dikteta Putin anapendwa sana barani mwemu na hasa raia wasiojitambua. Hiyo haimaanishi Putin ni mtu mzuri.
"Waliotukuka"Unamaanisha watu wote wanaoipenda CCM ni wajinga?
Rais wa 2025 ni Benard Kamilius Membe!Hakuna Vita ya Urais CCM,
#RAIS NI SAMIA TU MPAKA 2030
OVA,
Source jomba weka tuoneRais wa 2025 ni Benard Kamilius Membe!
Mkuu, sifa ya stahiki inapasa kuwa ni majizi, mafisadi, mafedhuli na maharamia. Mbona unawaonea huruma.Macho ya watanzania au macho ya majizi wenzake wa kura wa CCM?
Ninyi ni majini wanyonya kodi za wananchi hamuezi furahia kuanikwa kwa unyonyaji mfanyaoFukuza Muongo na Mpini wanachafua hali ya hewa
Wajinga daraja la kwanza.Unamaanisha watu wote wanaoipenda CCM ni wajinga?
Tatizo hii mijitu haina akili kabisaMngekuwa na akili nyie CCM msingekuwa mnajibu chochote kuhusu wizi kwenye chaguzi zetu,mana ni jambo lilo waza sana!
Ni bora muendelee na mapambio tu....
Kazi iendelee===
Ni masaa machache tu baada ya kurejea kutoka katika Mkutano wa Dunia wa Uhifadhi wa Mazingira wa 27 yaani COP27 huko Nchini Misri,
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa, Dodoma.
View attachment 2414119
#CCMImara
#KaziIendelee
Umesema kweli Sana! Pumbavu zao!Macho ya watanzania au macho ya majizi wenzake wa kura wa CCM?