Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ZILIZOPO HASARA TU Nchi Ngumu sana hii Sijui WACHUMI wetu Walisoma Shule ganiRais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan kesho atapokea ndege mpya ya ATCL.
Ndege hiyo ni miongoni mwa zile 11 zilizoagizwa na serikali yy awamu ya 5 chini ya hayati Magufuli..
takatakaRais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan kesho atapokea ndege mpya ya ATCL.
Ndege hiyo ni miongoni mwa zile 11 zilizoagizwa na serikali yy awamu ya 5 chini ya hayati Magufuli
Mtanikumbuka - JPJM
Mungu ni mwema wakati wote!
Mama anaupiga mwingiiii!!!!
hivi hizi pangabobya zina faida kwetu kweli? kwenye mkoa nilipo havifiki na sijawahi kuvipanda.Rais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan kesho atapokea ndege mpya ya ATCL.
Ndege hiyo ni miongoni mwa zile 11 zilizoagizwa na serikali yy awamu ya 5 chini ya hayati Magufuli
Mtanikumbuka - JPJM
Mungu ni mwema wakati wote!
Duuh 😲😲Ya kwenda zenj kupaka wanja
Fedha ilishatolewa awamu ya 5.....Nilishausahau huu mchezo kumbe bado unaendelea, zile zilizopo mpaka ripoti ya mwisho ya CAG zilikuwa zinatengeneza hasara, labda hiyo mpya itakuja na mambo mapya.
Kunambi kapiga zaidi ya tsh 25 m!
Yaani mambo ya ajabu ya kununua hii useless mitungi yanaendelea?Rais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan kesho atapokea ndege mpya ya ATCL.
Ndege hiyo ni miongoni mwa zile 11 zilizoagizwa na serikali yy awamu ya 5 chini ya hayati Magufuli
Mtanikumbuka - JPJM
Mungu ni mwema wakati wote!
Hizi zilishawekewa order kwenye awamu ya JPM kwahiyo hatuna ujanja lazima zije tu zote.
Kazi iendelee...Rais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan kesho atapokea ndege mpya ya ATCL...
Ripoti ya CAG ilisemaje kuhusu hesabu za vyama vya siasa including chadema.Hivi hawa watu hua wanatuonaje?
CAG anaongea hadi koo linakauka anagonga glass ya maji ya baridi mbele ya kamera akisisitiza shirika letu la ndege ni hasara mwanzo mwisho...tukiwa bado tunaugulia maumivu ya tozo, unapigwa kanzu na mapokezi ya dege jingine.
.......Iendelee!Kazi iendelee...
mtaelewa tu taratibuHasara nyingine hiyooo!
Haukatazwi kuhoji ripoti ya CAG kuhusu chochote ikiwepo vyama vya siasa.Ripoti ya CAG ilisemaje kuhusu hesabu za vyama vya siasa including chadema.
Ukitoa majibu ndio uje uhoji hesabu za atc...