celinawetu
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 1,330
- 1,059
Mjinga kama muagizajiRais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan kesho atapokea ndege mpya ya ATCL.
Ndege hiyo ni miongoni mwa zile 11 zilizoagizwa na serikali yy awamu ya 5 chini ya hayati Magufuli...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjinga kama muagizajiRais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan kesho atapokea ndege mpya ya ATCL.
Ndege hiyo ni miongoni mwa zile 11 zilizoagizwa na serikali yy awamu ya 5 chini ya hayati Magufuli...
Tija ya ndege ni nnBAVICHA LAZIMA WABISHE YAANI WANAUMIA ROHOHAKUNA MFANO
Tukivunja mkataba hela hairudi na tutapigwa faini ya kuvunja mkataba..hela itaishia huko huko kwa wanasiasaKwa sasa ndege hazina faida ni afadhali wakavunja mkataba ili turudishiwe fedha zetu.
Dabo tozo ni moja ya madhara yakeAthari za mitano ya Mwendazake zitadumu kwa muda mrefu ndio maana mama anaamua kufuata humo humo.
Kweli vipaumbele vyetu ni vifurushi vya simu na miamala badala ya kuhakikisha kila mwananchi anapewa bando na vifurushi vingi vya kutosha, eti bado wana leta ndege nyingine!Hii nchi imekosa vipaumbele kabisaaaaa
Ngoja tusubiri tuone [emoji2958][emoji2958][emoji2958]Nilishausahau huu mchezo kumbe bado unaendelea, zile zilizopo mpaka ripoti ya mwisho ya CAG zilikuwa zinatengeneza hasara, labda hiyo mpya itakuja na mambo mapya.
Hii mambo ya kuandika cjui ndege mpya hii 🤔!! Bwashee umejiridhishaje lkn kua ni mpya??Rais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan kesho atapokea ndege mpya ya ATCL.
Ndege hiyo ni miongoni mwa zile 11 zilizoagizwa na serikali yy awamu ya 5 chini ya hayati Magufuli...
Hiyo nafasi angeitumia kutembelea wagonjwa muhimbili.Kama akiwa na nafasi hakuna mbaya
Mkuu unatukoga na kiingereza nini?You can't expect 3rd world countries to behave like a 1st world country....A small step there is a giant leap here...
Kiingereza cha kubahitisha tu 🤣🤣,mara moja moja sio mbayaMkuu unatukoga na kiingereza nini?
Shikilia hapo hapo mkuu.Kiingereza cha kubahitisha tu 🤣🤣,mara moja moja sio mbaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ccm Hoyee
Ccm Ni Ile Ile [emoji2][emoji23][emoji16][emoji3][emoji28][emoji1][emoji38][emoji38]View attachment 1874209