isotaaaa
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,944
- 824
Rhetorical wordsMama kacheza sna hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rhetorical wordsMama kacheza sna hii
Unataka nani aseme mkuunawakumbusha tu haya yamesemwa na WANASIASA WA TANZANIA..!
Hongera sana Rais SamiaBaada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa Tshs 102 katika kila lita ya mafuta msimamo wa bei ya mafuta uliopo nchini bado haumpi usingizi mama huyu kwani bei ya mafuta ndio huamua gharama za maisha ya watoto hawa wa masikini ama zipande au zishuke au zisalie zilivyo,
Kwani Rais Samia ndio Mahakama?Hapa naungana nae Rais Samia ila kumfunga Mbowe hapana
Acha kumuhusisha Rais na vitu vya ajabu ajabuHapa naungana nae Rais Samia ila kumfunga Mbowe hapana
Acha kumuhusisha Rais na vitu vya ajabu ajabu
Katika mambo makubwa Rais Samia amefanya ni hili,Baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa Tshs 102 katika kila lita ya mafuta msimamo wa bei ya mafuta uliopo nchini bado haumpi usingizi mama huyu kwani bei ya mafuta ndio huamua gharama za maisha ya watoto hawa wa masikini ama zipande au zishuke au zisalie zilivyo,
Hebu elezea kiswahiliUnajua tofauti ya kisima na ‘Refinery’ ?
Kiki kwa nani?Ni marufuku kutuletea maandiko yakutafutia KIKI huku JF 😅😅😅
Nahoja tuone mkuuDah....mnawajua chatalaz nyie? Disemba si mbali🤭
HahahaNi marufuku kutuletea maandiko yakutafutia KIKI huku JF 😅😅😅
Haya maelezo ni ya KWELI!? Kama ni kweli basi tutaona maisha yakiwa SUPER kwani gharama nyingi hasa za usafiri na usafirishaji zitapaswa KUSHUKA, kwa hali hiyo then everything will follow suit, if you know what I mean?!Baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa Tshs 102 katika kila lita ya mafuta msimamo wa bei ya mafuta uliopo nchini bado haumpi usingizi mama huyu kwani bei ya mafuta ndio huamua gharama za maisha ya watoto hawa wa masikini ama zipande au zishuke au zisalie zilivyo,
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia Shirika la mafuta nchini yaani TPDC ( Tanzania Petroleum Development Corporation ) sasa tutaagiza mafuta moja kwa moja toka Visimani hii ikiwa ni baada ya Waziri wa nishati Mhe January Makamba kufanya ziara ya kiserikali kwenye nchi zinazochimba mafuta za Saudi Arabia, Algeria na UAE,
Nia ya Serikali ya awamu ya Sita nikuhakikisha kila Mtanzania anaishi maisha yake kwa gharama ndogo iwezekanavyo ili awe na ziada kwaajili ya maendeleo yake ya kimwili, kiroho na maendeleo ya vitu hakika tumempata Rais mwenye Uchungu wa kweli wa maisha ya watu wake ambao wengi wao ni watu wa kipato cha chini sana,
Tanzania kwa mwaka inaagiza wastani wa Jumla ya lita za mafuta 3.5BL kwa kutumia makampuni binafsi kwa mtindo wa Bulk Procurement System ( BPS ) yaani kwa malundomalundo mtindo ambao uliwapa faida zaidi wawekezaji na kuumiza zaidi walaji wa mwisho alichokifanya Rais Samia sasa ni kupindua meza,
Wamiliki hao wa Visima vya Mafuta wameonesha nia pia ya kujenga Visima bandia vya mafuta hapa nchini kwaajili ya kuhifadhi mafuta yao na kuzisambazia nchi zote za maziwa makuu hakika Tanzania tunakwenda vizuri sana,
Ndio uko sahihi kabisaHaya maelezo ni ya KWELI!? Kama ni kweli basi tutaona maisha yakiwa SUPER kwani gharama nyingi hasa za usafiri na usafirishaji zitapaswa KUSHUKA, kwa hali hiyo then everything will follow suit, if you know what I mean?!
ndio itakuwa tu let's Hope so,Rhetorical words
Kisima ni ‘oil well’, ‘Refinery’ ni kiwanda cha kisafisha mafuta ghafi kutengeneza bidhaa mbalimbali kama petrol, diesel,Hebu elezea kiswahili