Mwanahabari wa Taifa
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 1,588
- 956
- Thread starter
- #41
yuko vizuri SanaMama yuko vizurii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yuko vizuri SanaMama yuko vizurii
Sawa re-fineKisima ni ‘oil well’, ‘Refinery’ ni kiwanda cha kisafisha mafuta ghafi kutengeneza bidhaa mbalimbali kama petrol, diesel,
Mafuta ya taa nk.
Hii nzuri sanaBaada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa Tshs 102 katika kila lita ya mafuta msimamo wa bei ya mafuta uliopo nchini bado haumpi usingizi mama huyu kwani bei ya mafuta ndio huamua gharama za maisha ya watoto hawa wa masikini ama zipande au zishuke au zisalie zilivyo,
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia Shirika la mafuta nchini yaani TPDC ( Tanzania Petroleum Development Corporation ) sasa tutaagiza mafuta moja kwa moja toka Visimani hii ikiwa ni baada ya Waziri wa nishati Mhe January Makamba kufanya ziara ya kiserikali kwenye nchi zinazochimba mafuta za Saudi Arabia, Algeria na UAE,
Nia ya Serikali ya awamu ya Sita nikuhakikisha kila Mtanzania anaishi maisha yake kwa gharama ndogo iwezekanavyo ili awe na ziada kwaajili ya maendeleo yake ya kimwili, kiroho na maendeleo ya vitu hakika tumempata Rais mwenye Uchungu wa kweli wa maisha ya watu wake ambao wengi wao ni watu wa kipato cha chini sana,
Tanzania kwa mwaka inaagiza wastani wa Jumla ya lita za mafuta 3.5BL kwa kutumia makampuni binafsi kwa mtindo wa Bulk Procurement System ( BPS ) yaani kwa malundomalundo mtindo ambao uliwapa faida zaidi wawekezaji na kuumiza zaidi walaji wa mwisho alichokifanya Rais Samia sasa ni kupindua meza,
Wamiliki hao wa Visima vya Mafuta wameonesha nia pia ya kujenga Visima bandia vya mafuta hapa nchini kwaajili ya kuhifadhi mafuta yao na kuzisambazia nchi zote za maziwa makuu hakika Tanzania tunakwenda vizuri sana,
Mimi piaHapa naungana nae Rais Samia ila kumfunga Mbowe hapana
Sasa unapinga nini hapo cha kupingwa??Thubutuuuuuuuuuu
Labda nchi nyingine, Kwa vongozi Hawa ambao wanawaza kuongeza Tozo kila wakati ndio washushe Bei?
Nitahamia Rwanda walahi
SawaKisima ni ‘oil well’, ‘Refinery’ ni kiwanda cha kisafisha mafuta ghafi kutengeneza bidhaa mbalimbali kama petrol, diesel,
Mafuta ya taa nk.
Mhh sijui kama watakuelewaHapa mama amecheza sana, Hawa waagiza mafuta walikuwa wanajipangia bei wanavyotaka tu,
Kwahili tuweke siasa pembeni tumpongeze Rais Samia,
safi sanaBaada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa Tshs 102 katika kila lita ya mafuta msimamo wa bei ya mafuta uliopo nchini bado haumpi usingizi mama huyu kwani bei ya mafuta ndio huamua gharama za maisha ya watoto hawa wa masikini ama zipande au zishuke au zisalie zilivyo,
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia Shirika la mafuta nchini yaani TPDC ( Tanzania Petroleum Development Corporation ) sasa tutaagiza mafuta moja kwa moja toka Visimani hii ikiwa ni baada ya Waziri wa nishati Mhe January Makamba kufanya ziara ya kiserikali kwenye nchi zinazochimba mafuta za Saudi Arabia, Algeria na UAE,
Nia ya Serikali ya awamu ya Sita nikuhakikisha kila Mtanzania anaishi maisha yake kwa gharama ndogo iwezekanavyo ili awe na ziada kwaajili ya maendeleo yake ya kimwili, kiroho na maendeleo ya vitu hakika tumempata Rais mwenye Uchungu wa kweli wa maisha ya watu wake ambao wengi wao ni watu wa kipato cha chini sana,
Tanzania kwa mwaka inaagiza wastani wa Jumla ya lita za mafuta 3.5BL kwa kutumia makampuni binafsi kwa mtindo wa Bulk Procurement System ( BPS ) yaani kwa malundomalundo mtindo ambao uliwapa faida zaidi wawekezaji na kuumiza zaidi walaji wa mwisho alichokifanya Rais Samia sasa ni kupindua meza,
Wamiliki hao wa Visima vya Mafuta wameonesha nia pia ya kujenga Visima bandia vya mafuta hapa nchini kwaajili ya kuhifadhi mafuta yao na kuzisambazia nchi zote za maziwa makuu hakika Tanzania tunakwenda vizuri sana,
9th NovemberSina wasiwasi na mama
Safi SanaBaada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa Tshs 102 katika kila lita ya mafuta msimamo wa bei ya mafuta uliopo nchini bado haumpi usingizi mama huyu kwani bei ya mafuta ndio huamua gharama za maisha ya watoto hawa wa masikini ama zipande au zishuke au zisalie zilivyo,
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia Shirika la mafuta nchini yaani TPDC ( Tanzania Petroleum Development Corporation ) sasa tutaagiza mafuta moja kwa moja toka Visimani hii ikiwa ni baada ya Waziri wa nishati Mhe January Makamba kufanya ziara ya kiserikali kwenye nchi zinazochimba mafuta za Saudi Arabia, Algeria na UAE,
Nia ya Serikali ya awamu ya Sita nikuhakikisha kila Mtanzania anaishi maisha yake kwa gharama ndogo iwezekanavyo ili awe na ziada kwaajili ya maendeleo yake ya kimwili, kiroho na maendeleo ya vitu hakika tumempata Rais mwenye Uchungu wa kweli wa maisha ya watu wake ambao wengi wao ni watu wa kipato cha chini sana,
Tanzania kwa mwaka inaagiza wastani wa Jumla ya lita za mafuta 3.5BL kwa kutumia makampuni binafsi kwa mtindo wa Bulk Procurement System ( BPS ) yaani kwa malundomalundo mtindo ambao uliwapa faida zaidi wawekezaji na kuumiza zaidi walaji wa mwisho alichokifanya Rais Samia sasa ni kupindua meza,
Wamiliki hao wa Visima vya Mafuta wameonesha nia pia ya kujenga Visima bandia vya mafuta hapa nchini kwaajili ya kuhifadhi mafuta yao na kuzisambazia nchi zote za maziwa makuu hakika Tanzania tunakwenda vizuri sana,
Aseee jenga kwanza paking aseeeeeKuna mahali nimeona jamaa anauza Hammer CC6000 ngoja niliwahi
Mwanamfalme alisharudi rasmi kwenye hii biashara ya Mafuta. Na Mfalme ndiyo remote control. Hivyo bei ya Mafuta itapanda Sana kufidia zile zilizopotea miaka 5 iliyopita. Yaani awamu ya 6 itatumika kumaliza deficit za financial statements na profit making ya nguvu. Mateso juu ya mateso.Baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa Tshs 102 katika kila lita ya mafuta msimamo wa bei ya mafuta uliopo nchini bado haumpi usingizi mama huyu kwani bei ya mafuta ndio huamua gharama za maisha ya watoto hawa wa masikini ama zipande au zishuke au zisalie zilivyo,
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia Shirika la mafuta nchini yaani TPDC ( Tanzania Petroleum Development Corporation ) sasa tutaagiza mafuta moja kwa moja toka Visimani hii ikiwa ni baada ya Waziri wa nishati Mhe January Makamba kufanya ziara ya kiserikali kwenye nchi zinazochimba mafuta za Saudi Arabia, Algeria na UAE,
Nia ya Serikali ya awamu ya Sita nikuhakikisha kila Mtanzania anaishi maisha yake kwa gharama ndogo iwezekanavyo ili awe na ziada kwaajili ya maendeleo yake ya kimwili, kiroho na maendeleo ya vitu hakika tumempata Rais mwenye Uchungu wa kweli wa maisha ya watu wake ambao wengi wao ni watu wa kipato cha chini sana,
Tanzania kwa mwaka inaagiza wastani wa Jumla ya lita za mafuta 3.5BL kwa kutumia makampuni binafsi kwa mtindo wa Bulk Procurement System ( BPS ) yaani kwa malundomalundo mtindo ambao uliwapa faida zaidi wawekezaji na kuumiza zaidi walaji wa mwisho alichokifanya Rais Samia sasa ni kupindua meza,
Wamiliki hao wa Visima vya Mafuta wameonesha nia pia ya kujenga Visima bandia vya mafuta hapa nchini kwaajili ya kuhifadhi mafuta yao na kuzisambazia nchi zote za maziwa makuu hakika Tanzania tunakwenda vizuri sana,
Hawa waanzisha mada za kusifia pasi kurudi nyuma ndiyo wale walio ipa ccm sifa ya kuwa chama chenye wafuasi wengi.Mleta mada itakuwa mgeni nchini, hivi kuna bidhaa Tanzania iliwahi kupanda halafu ikashuka mbona kwenye sukari ilishindikana?
Safi sana hiiBaada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa Tshs 102 katika kila lita ya mafuta msimamo wa bei ya mafuta uliopo nchini bado haumpi usingizi mama huyu kwani bei ya mafuta ndio huamua gharama za maisha ya watoto hawa wa masikini ama zipande au zishuke au zisalie zilivyo,
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia Shirika la mafuta nchini yaani TPDC ( Tanzania Petroleum Development Corporation ) sasa tutaagiza mafuta moja kwa moja toka Visimani hii ikiwa ni baada ya Waziri wa nishati Mhe January Makamba kufanya ziara ya kiserikali kwenye nchi zinazochimba mafuta za Saudi Arabia, Algeria na UAE,
Nia ya Serikali ya awamu ya Sita nikuhakikisha kila Mtanzania anaishi maisha yake kwa gharama ndogo iwezekanavyo ili awe na ziada kwaajili ya maendeleo yake ya kimwili, kiroho na maendeleo ya vitu hakika tumempata Rais mwenye Uchungu wa kweli wa maisha ya watu wake ambao wengi wao ni watu wa kipato cha chini sana,
Tanzania kwa mwaka inaagiza wastani wa Jumla ya lita za mafuta 3.5BL kwa kutumia makampuni binafsi kwa mtindo wa Bulk Procurement System ( BPS ) yaani kwa malundomalundo mtindo ambao uliwapa faida zaidi wawekezaji na kuumiza zaidi walaji wa mwisho alichokifanya Rais Samia sasa ni kupindua meza,
Wamiliki hao wa Visima vya Mafuta wameonesha nia pia ya kujenga Visima bandia vya mafuta hapa nchini kwaajili ya kuhifadhi mafuta yao na kuzisambazia nchi zote za maziwa makuu hakika Tanzania tunakwenda vizuri sana,
Bado siku ishirini (20) Jombaa! Tuendelee kupeana updates!Baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa Tshs 102 katika kila lita ya mafuta msimamo wa bei ya mafuta uliopo nchini bado haumpi usingizi mama huyu kwani bei ya mafuta ndio huamua gharama za maisha ya watoto hawa wa masikini ama zipande au zishuke au zisalie zilivyo,
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia Shirika la mafuta nchini yaani TPDC ( Tanzania Petroleum Development Corporation ) sasa tutaagiza mafuta moja kwa moja toka Visimani hii ikiwa ni baada ya Waziri wa nishati Mhe January Makamba kufanya ziara ya kiserikali kwenye nchi zinazochimba mafuta za Saudi Arabia, Algeria na UAE,
Nia ya Serikali ya awamu ya Sita nikuhakikisha kila Mtanzania anaishi maisha yake kwa gharama ndogo iwezekanavyo ili awe na ziada kwaajili ya maendeleo yake ya kimwili, kiroho na maendeleo ya vitu hakika tumempata Rais mwenye Uchungu wa kweli wa maisha ya watu wake ambao wengi wao ni watu wa kipato cha chini sana,
Tanzania kwa mwaka inaagiza wastani wa Jumla ya lita za mafuta 3.5BL kwa kutumia makampuni binafsi kwa mtindo wa Bulk Procurement System ( BPS ) yaani kwa malundomalundo mtindo ambao uliwapa faida zaidi wawekezaji na kuumiza zaidi walaji wa mwisho alichokifanya Rais Samia sasa ni kupindua meza,
Wamiliki hao wa Visima vya Mafuta wameonesha nia pia ya kujenga Visima bandia vya mafuta hapa nchini kwaajili ya kuhifadhi mafuta yao na kuzisambazia nchi zote za maziwa makuu hakika Tanzania tunakwenda vizuri sana,
Hahaha hadi 25|12 bado ni disemba jombaBado siku ishirini (20) Jombaa! Tuendelee kupeana updates!