Rais Samia kushusha zaidi bei ya mafuta mwishoni mwa Desemba 2021

Rais Samia kushusha zaidi bei ya mafuta mwishoni mwa Desemba 2021

Baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa Tshs 102 katika kila lita ya mafuta msimamo wa bei ya mafuta uliopo nchini bado haumpi usingizi mama huyu kwani bei ya mafuta ndio huamua gharama za maisha ya watoto hawa wa masikini ama zipande au zishuke au zisalie zilivyo,
Kwani hakuyajua hayo kabla!!!
 
We hujaelewa nini sasa kwa sasa tunanunua kwa watu binafsi ambao wao ndo wanaagiza so wanatupindua watakavyo, ila sasa mama kaamua serikali iagize direct ktk wenye visima, apo ndo wawe na wataalam wa kuagiza na kununua kwa bei nzuri wakati demand ipo low wananunua mengi maana bei inakua chini, mfano korona ikikolea bei ya crude nayo inashuka,
Hebu jiongeze kidogo bwana hii biashara haifanywi na wenye visima sasa ngoja nikupe somo kidogo issue iko wapi. wazalishaji wa crude ni wengine na refining ni wengine hata kama kampuni moja wanaigawa upstream na downstream. Hawa wanaouza crude ni kampuni na zina shareholders dhumuni lao faida na hawa control bei soko la dunia lina amua bei kutokana na mahitaji ndio maana hata wao kuna kipindi wanapata shida bei zikishuka. Refining ni business tofauti wananunua crude wanatengeneza products na kuna gharama zake ni kuchukuwa malighafi na kuifanya products. Sasa huwezi kuwa bei inapanda ya crude ukategemea mafuta refining yakawa rahisi zinapanda mpaka plastic bei. ukija kwenye point yako unanunua direct lazima ujuwe soko hili halijaanza leo kampuni hizohizo zinatengeneza kampuni ndani ya kampuni kufanya biashara sio wajinga na wala hawa deal na mteja direct wanakuwa na mikataba na ma agent kuwafanyia marketing kuepuka milolongo ndio mzunguko wa pesa sasa jiulize huko nyuma serikali haikuwa naagiza mafuta direct? kiliwashinda nini? si wameleta bulk system mafuta yanaagizwa na watu walishinda tender za serikali sasa kimewashinda nini? kwa maana serikali inasimamia zoezi la kuagiza mafuta wao sio watu binafsi kama unavyosema hapa. Ukitaka kuleta ushindani ni kuwaachia private sector waagize mafuta na washindane kama wao sio unaleta kupitia bulk system na wanatumia platts benchmark kupanga bei halafu wewe unawapa bei elekezi utegemee ushindani ni ujinga. TPDC yaliwashinda haya vibaya urasimu mkubwa na kuajiri wafanyakazi bila kazi zozote. Sasa weka kumbukumbu tuone kama haya mafuta yatashuka bei na siasa za kijinga haya mafuta wameshasema yatafika mpaka 120$ uje useme wakupe bei rahisi wewe nani? kwa faida yako hawa wanaoleta bulk system wana bid na faida yao wanaleta wanachukuwa chao wanaondoka hawafanyi retail trade hapa. Unaweza kweli kuleta mahindi mfano serikali na kusema mahindi yote nauza sh 1000 kwa kilo kwa ujumla utegemee reja reja washindane? ila kila mtu akileta mahindi yake kutakuwa na ushindani wa bei. msilete mambo ya kijamaa hapa serikali yake kukusanya kodi sio kufanya biashara yalishatushinda huko nyuma.
 
Hebu jiongeze kidogo bwana hii biashara haifanywi na wenye visima sasa ngoja nikupe somo kidogo issue iko wapi. wazalishaji wa crude ni wengine na refining ni wengine hata kama kampuni moja wanaigawa upstream na downstream. Hawa wanaouza crude ni kampuni na zina shareholders dhumuni lao faida na hawa control bei soko la dunia lina amua bei kutokana na mahitaji ndio maana hata wao kuna kipindi wanapata shida bei zikishuka. Refining ni business tofauti wananunua crude wanatengeneza products na kuna gharama zake ni kuchukuwa malighafi na kuifanya products. Sasa huwezi kuwa bei inapanda ya crude ukategemea mafuta refining yakawa rahisi zinapanda mpaka plastic bei. ukija kwenye point yako unanunua direct lazima ujuwe soko hili halijaanza leo kampuni hizohizo zinatengeneza kampuni ndani ya kampuni kufanya biashara sio wajinga na wala hawa deal na mteja direct wanakuwa na mikataba na ma agent kuwafanyia marketing kuepuka milolongo ndio mzunguko wa pesa sasa jiulize huko nyuma serikali haikuwa naagiza mafuta direct? kiliwashinda nini? si wameleta bulk system mafuta yanaagizwa na watu walishinda tender za serikali sasa kimewashinda nini? kwa maana serikali inasimamia zoezi la kuagiza mafuta wao sio watu binafsi kama unavyosema hapa. Ukitaka kuleta ushindani ni kuwaachia private sector waagize mafuta na washindane kama wao sio unaleta kupitia bulk system na wanatumia platts benchmark kupanga bei halafu wewe unawapa bei elekezi utegemee ushindani ni ujinga. TPDC yaliwashinda haya vibaya urasimu mkubwa na kuajiri wafanyakazi bila kazi zozote. Sasa weka kumbukumbu tuone kama haya mafuta yatashuka bei na siasa za kijinga haya mafuta wameshasema yatafika mpaka 120$ uje useme wakupe bei rahisi wewe nani? kwa faida yako hawa wanaoleta bulk system wana bid na faida yao wanaleta wanachukuwa chao wanaondoka hawafanyi retail trade hapa. Unaweza kweli kuleta mahindi mfano serikali na kusema mahindi yote nauza sh 1000 kwa kilo kwa ujumla utegemee reja reja washindane? ila kila mtu akileta mahindi yake kutakuwa na ushindani wa bei. msilete mambo ya kijamaa hapa serikali yake kukusanya kodi sio kufanya biashara yalishatushinda huko nyuma.
Sasa ndo mama kamua kucancel kununua kwa hao supplier ye anataka direct kutoka kwa hao wachakataji maana supplier wataongeza pacnt yao pia Na fees zisizo maana
 
Sasa ndo mama kamua kucancel kununua kwa hao supplier ye anataka direct kutoka kwa hao wachakataji maana supplier wataongeza pacnt yao pia Na fees zisizo maana
Niamini maneno yangu hakuna fees yoyote wao wenyewe wanayakoroga. Hawatizami umenunua bei gani wewe unaweka faida yako juu ya bei ya kimataifa ndio EWURA wanatumia. Mafuta duniani kuna benchmark mbili Brent na WTI lakini haina maana mafuta yote yanauzwa kwa bei ya brent ila kama yanafikia kiwango cha brent hawa EWURA wanatumia benchmark kama bei halisi hapo ndio shida. Wafanya biashara wanataka kushindana kwa kuuza zaidi kila mtu wewe unawafungia kama unauza maji ya Uhai. Lazima wabadilike soko liamue ushindani hakuna mambo bei elekezi wakati wewe huzalishi mafuta au kutoa ruzuku.
 
Sasa ndo mama kamua kucancel kununua kwa hao supplier ye anataka direct kutoka kwa hao wachakataji maana supplier wataongeza pacnt yao pia Na fees zisizo maana
Siri ya biashara kama unataka kununua gari mpya ya Toyota huwezi hata siku moja ukaweka order kiwandani unapitia kwa dealer na kikubwa kiwandani utauziwa bei ya juu kuliko dealer ndio biashara dealer anapewa discount kubwa kutokana na ukubwa wa biashara.
 
Baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa Tshs 102 katika kila lita ya mafuta msimamo wa bei ya mafuta uliopo nchini bado haumpi usingizi mama huyu kwani bei ya mafuta ndio huamua gharama za maisha ya watoto hawa wa masikini ama zipande au zishuke au zisalie zilivyo,

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia Shirika la mafuta nchini yaani TPDC ( Tanzania Petroleum Development Corporation ) sasa tutaagiza mafuta moja kwa moja toka Visimani hii ikiwa ni baada ya Waziri wa nishati Mhe January Makamba kufanya ziara ya kiserikali kwenye nchi zinazochimba mafuta za Saudi Arabia, Algeria na UAE,

Nia ya Serikali ya awamu ya Sita nikuhakikisha kila Mtanzania anaishi maisha yake kwa gharama ndogo iwezekanavyo ili awe na ziada kwaajili ya maendeleo yake ya kimwili, kiroho na maendeleo ya vitu hakika tumempata Rais mwenye Uchungu wa kweli wa maisha ya watu wake ambao wengi wao ni watu wa kipato cha chini sana,

Tanzania kwa mwaka inaagiza wastani wa Jumla ya lita za mafuta 3.5BL kwa kutumia makampuni binafsi kwa mtindo wa Bulk Procurement System ( BPS ) yaani kwa malundomalundo mtindo ambao uliwapa faida zaidi wawekezaji na kuumiza zaidi walaji wa mwisho alichokifanya Rais Samia sasa ni kupindua meza,

Wamiliki hao wa Visima vya Mafuta wameonesha nia pia ya kujenga Visima bandia vya mafuta hapa nchini kwaajili ya kuhifadhi mafuta yao na kuzisambazia nchi zote za maziwa makuu hakika Tanzania tunakwenda vizuri sana,


Ok ok Kama Nakuelewa hivi,
Kwa hiyo Hakutakiwa tena na Bulk procuremnt au itaendelea kuwepo?
Na Tpdc atawafikiaje wananchi wa kawaida wa Mwanza,Moshi,Mbeya,Morogoro nk?
 
Nia ya Serikali ya awamu ya Sita nikuhakikisha kila Mtanzania anaishi maisha yake kwa gharama ndogo iwezekanavyo ili awe na ziada kwaajili ya maendeleo yake ya kimwili, kiroho na maendeleo ya vitu hakika tumempata Rais mwenye Uchungu wa kweli wa maisha ya watu wake ambao wengi wao ni watu wa kipato cha chini sana,
Tunajiandaaje kumpongeza Mama kwa kuweka tozo na kuziondoa ndani ya muda mfupi
 
Baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa Tshs 102 katika kila lita ya mafuta msimamo wa bei ya mafuta uliopo nchini bado haumpi usingizi mama huyu kwani bei ya mafuta ndio huamua gharama za maisha ya watoto hawa wa masikini ama zipande au zishuke au zisalie zilivyo,

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia Shirika la mafuta nchini yaani TPDC ( Tanzania Petroleum Development Corporation ) sasa tutaagiza mafuta moja kwa moja toka Visimani hii ikiwa ni baada ya Waziri wa nishati Mhe January Makamba kufanya ziara ya kiserikali kwenye nchi zinazochimba mafuta za Saudi Arabia, Algeria na UAE,

Nia ya Serikali ya awamu ya Sita nikuhakikisha kila Mtanzania anaishi maisha yake kwa gharama ndogo iwezekanavyo ili awe na ziada kwaajili ya maendeleo yake ya kimwili, kiroho na maendeleo ya vitu hakika tumempata Rais mwenye Uchungu wa kweli wa maisha ya watu wake ambao wengi wao ni watu wa kipato cha chini sana,

Tanzania kwa mwaka inaagiza wastani wa Jumla ya lita za mafuta 3.5BL kwa kutumia makampuni binafsi kwa mtindo wa Bulk Procurement System ( BPS ) yaani kwa malundomalundo mtindo ambao uliwapa faida zaidi wawekezaji na kuumiza zaidi walaji wa mwisho alichokifanya Rais Samia sasa ni kupindua meza,

Wamiliki hao wa Visima vya Mafuta wameonesha nia pia ya kujenga Visima bandia vya mafuta hapa nchini kwaajili ya kuhifadhi mafuta yao na kuzisambazia nchi zote za maziwa makuu hakika Tanzania tunakwenda vizuri sana,

Mchapakazi wa kweli
 
Inaelekea lipo kundi kubwa la wapambe wenye jukumu la kuinba sifa..
Wewe upo kundi gani?
Wewe upo kundi gani?
 
Back
Top Bottom