Kweli nyie ni ng'ombe kabisa! Kwani Rais Samia akienda Kenya anaenda kama Rais wa CCM au Tanzania? Aklpewa heshima kule ni heshima ya Tanzania bali akidharauliwa (kama alivyokuwa anadharauliwa baba yenu) pia ni dharau kwa Tanzania.Mkuu kwa akili za kibavicha ni kwamba hiyo wanamkomoa marehemu.
Nani alikuwa anadharauliwa?Kweli nyie ni ng'ombe kabisa! Kwani Rais Samia akienda Kenya anaenda kama Rais wa CCM au Tanzania? Aklpewa heshima kule ni heshima ya Tanzania bali akidharauliwa (kama alivyokuwa anadharauliwa baba yenu) pia ni dharau kwa Tanzania.
Huyo marehemu wako alitufedhehesha sana katika mengi nje ya nchi
Mjinga huyo! Wamezoea propaganda wamelishwa toka tunapata uhuru kwamba Kenya inatuzidi wakati nchi yao sasa hivi inawekwa kundi moja na Zimbabwe!uchumi imara unaujua wewe,au unadha uchumi ni nguvu za kiume[emoji16][emoji16][emoji16]
Cha muhimu hasijisahau kuvaa barakoa popote aendapo huko Nairobi ikiwa pamoja na Bungeni iigeni umakini wa Serikali ya Uganda kuhusu namna ya kujikinga na COVID wakati wa zihara ya Rais Samia nchini Uganda they never took chances - narudia kuwakumbusheni kwamba kuweni makini na microphone,ku-keep social distance nk - msiwamini sana jirani wetu hawa.Kwa hiyo Mama na JK ni kitu kimoja?
Kumbe ni uchumi wa kwenye Google?Mimi mwana CCM lakini nasimama kwenye ukweli. Kama huijui Kenya na huwezi kuchukua time ku Google kwenye simu yako basi mjadala utakuwa mgumu
Shukrani kwa kukumbusha suala hilo la umuhimu wa kipekee - warudie zoezi walilo fanya akiwa Wizarani Uganda na wakumbuke vile vile kwamba Kenya ni mojawapo ya mataifa yaliyo kumbwa na variant mpya ya COVID.Mama Samia asisahau kwenda na barakoa wakenya wanaabudu miungu wawili mungu wa kwanza ni Corona wa pili ni barakoa
Magufuli alikuwa kichaa, nenda MUHIMBILI kitengo cha Mental Health kuna faili lake. No wonder alikuwa mropokaji na mwenye maamuzi ya HOVYOuzuri ni kwamba nyinyi ni kama watoto waliodelezwa,mnakuwaga wa kwana kulia.
tupo hapa,wacha tuone huyu mama anataka nini.
Amekimbia siku ya uhuru wa habari haaa na huko atatwangwa maswali akome.Kuhutubia bunge la Kenya ni heshima?
Jamani kwanini chadema mnajidharau sana?...
file la ukichaa wa rais likae mhimbili,kwavile lako na la baba yako umeyakuta huko unadhani kila mtu analo pale.Magufuli alikuwa kichaa, nenda MUHIMBILI kitengo cha Mental Health kuna faili lake. No wonder alikuwa mropokaji na mwenye maamuzi ya HOVYO
Kama ni siku ya Uhuru wa habari basi yeye tayari ni champion. Maana ndani ya siku 30 aliweza kutoa maagizo ya kuvifungulia vyombo vya habari vilivyo fungiwa na Mwendazake na aka himiza Bunge likosoe kwa lugha ya Bunge.Amekimbia siku ya uhuru wa habari haaa na huko atatwangwa maswali akome
Kama una lingine sema, lakini mimi nakuhakikishia, amewahi kupata huduma pale kabla hajakuwa Rais. He was a psychiatrist casefile la ukichaa wa rais likae mhimbili,kwavile lako na la baba yako umeyakuta huko unadhani kila mtu analo pale.
Najuwa huipendi Kenya by induction ya falsafa ya Mwendazake. Na ni vigumu ukikutana na mtu ambaye amekuwa brainwashed na Mwendazake to the fullest.Kumbe ni uchumi wa kwenye Google?
Basi nmekuelewa
Usiwe mjinga!Najuwa huipendi Kenya by induction ya falsafa ya Mwendazake. Na ni vigumu ukikutana na mtu ambaye amekuwa brainwashed na Mwendazake to the fullest.
Mimi nimetembelea Kenya mara nyingi sana kikazi, naifahahamu, nimekupa tool ya Google ili ikusaudie kupata takwimu mbalimbali.
Lakini ukitaka kuendelea kumtegemea mwanadamu aliyekufa na kuzikwa Chato sawa ni chaguo lako
Kwa uandikaji wako, nipende tu kukushauri ukazanie sana namna ya kuandika na kujifunza kiswahili kizuri. Ukifanya mazoezi hayo, utakuja kuwa mzuri kwenye uandishi na kutumia kiswahili kizuri kwenye maneno unayoandika.Magufuri aliwapigisha magoti akina Kinyatta, akuwapereka lkuru yetu,kawapeka kijiji chato huko na wakaufiata tena sio mara moja, Magufuri alikuwa kiboko ya manyangau, kapiga pini kwenye madini yetu sasahivi uchumi wa Kenya unapumlia mashine, sasa hivi wanamshawishi Samia alegeze kamba kidogo.
Nashukuru mkuu, ujumbe wako nitaufanyia kazi,ila nafikiri ujumbe umefika hata kama sikwamuandiko nzuriKwa uandikaji wako, nipende tu kukushauri ukazanie sana namna ya kuandika na kujifunza kiswahili kizuri. Ukifanya mazoezi hayo, utakuja kuwa mzuri kwenye uandishi na kutumia kiswahili kizuri kwenye maneno unayoandika.