Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa wewe ni mzanzibari,tumewapeni nchi mtawale, lakini hauwezi kutuzuia kutoa maoni yetu kisa ni wasukuma.Haya msukuma wa Chato ndani ndani hukooo. Dah umeandika huku unakaza msuli wa shingo ukisindikiza na matamshi ya kisukuma basi ni balaa tupu.
Ingia foram ya Kenya,usome ripoti ya WB soma lipoti 2020-2021 uje hapa udhibitishe uongo wangu,Kenya makampuni mengi yanapunguza wafanyakazi,fatilia vyombo vya habari kenya utajua inakisiwa watu milioni 2 waweza kufa kwa njaa mwaka huu,hapo kuna uchumi?Acha uongo!
Uchumi wa Kenya ni imara. Usitulishe matango pori hapa.
Mbona mnapenda kujisifu kwa mabo ya kijinga?
Usiandike ambacho hukijui.Magufuri aliwapigisha magoti akina Kinyatta,akuwapereka lkuru yetu,kawapeka kijiji chato huko na wakaufiata tena sio mara moja, Magufuri alikuwa kiboko ya manyangau,kapiga pini kwenye madini yetu sasahivi uchumi wa Kenya unapumlia mashine, sasahivi wanamshawishi Samia alegeze kamba kidogo.
We ni tope tupu kichwani,uchadema uko wapi hapo?Kuhutubia bunge la Kenya ni heshima?
Jamani kwanini chadema mnajidharau sana?
Mimi nilifikiri mnajidharau kwa wazungu tu kumbe hata kwa waafrika wenzenu toka hapo Kenya?
Any way,
Tuendelee kudemka tukisema Samia mi 10 tena. Na ccm mbele kwa mbele.
Nini msingi wa swali lako?huna hoja...mtu ameleta taarifa ya raisi kulihutubia bunge la Kenya,wewe unaleta eti magufuli sijui chadema,sijui Nini?aiseeBasi wanafeli sana!
Ndio maana nilikuwa nauliza swali humu kwamba hivi chadema adui yao ni ccm au Magufuli?
Kwahiyo unaona wivu?Temu hii mitano tena wataiimba machadema na sio CCM tena!
Siku zinakwenda Kwa Kasi Sana!!
Ni fahari kuhutubia Taifa jirani ambalo mna share mpaka kwa zaidi ya 1000 km na linakupita kiuchumi na kimiundombinu.Kuhutubia bunge la Kenya ni heshima?
Jamani kwanini chadema mnajidharau sana?
Mimi nilifikiri mnajidharau kwa wazungu tu kumbe hata kwa waafrika wenzenu toka hapo Kenya?
Any way,
Tuendelee kudemka tukisema Samia mi 10 te pakoje halafu anatoa opinion?
Nione wivu Chadema kuimba mitano tena Kwa Samia...!!Kwahiyo unaona wivu?
Uchumi upi wa Kenya ambao ni imara?Acha uongo!
Uchumi wa Kenya ni imara. Usitulishe matango pori hapa.
Mbona mnapenda kujisifu kwa mabo ya kijinga?
[emoji23][emoji23][emoji23]Machadema mna hasira sana mkiguswa kunakoAcha wivu kinyongori wako marehemu hata kuhutubia shule ya sekondari alikuwa hawezi. Kwanza kwa kingereza kipi?
Sasa mdomo wa nini si utulize kipago?Nione wivu Chadema kuimba mitano tena Kwa Samia...!!
Imbani tu mkuu!!
Uchumi upi imara huko kenya?Ni fahari kuhutubia Taifa jirani ambalo mna share mpaka kwa zaidi ya 1000 km na linakupita kiuchumi na kimiundombinu.
Yunashukuru yule Punguani Mwendazake ameondoka maana hakujua diplomasia ya uchumi ni nini
Nashangaa unanipanulia....!?Sasa mdomo wa nini si utulize kipago?
Sawa umeshinda.Nashangaa unanipanulia....!?
Kuna aliyekuita uni quote?? Tuliza mshono mkuu
Mimi mwana CCM lakini nasimama kwenye ukweli. Kama huijui Kenya na huwezi kuchukua time ku Google kwenye simu yako basi mjadala utakuwa mgumuUchumi upi imara huko kenya?
[emoji23][emoji23][emoji23]Machadema acheni kujishusha namna hii
Una akili za kitopolo sana wewe!!Tanzania itaanza kung'ara Tena kimataifa
Umehamia CCM lini wewe mwana saccos?Mimi mwana CCM lakini nasimama kwenye ukweli. Kama huijui Kenya na huwezi kuchukua time ku Google kwenye simu yako basi mjadala utakuwa mgumu
ccm ni walewale sawa na kambareKwa hiyo Mama na JK ni kitu kimoja?