Rais Samia kutembelea Kenya kwa ziara ya siku mbili

Rais Samia kutembelea Kenya kwa ziara ya siku mbili

Yaani bavicha wakisikia Kenya huwa wanailinganisha na Marekani,

Kila bavicha huwa anadream to live in Kenya.

So haishangazi wakifurahia.
Eeee, nilikuwa sijawatizama kwa jicho hilo.
Itabidi nitumie darubini sasa!
 
Kuhutubia bunge la Kenya ni heshima?

Jamani kwanini chadema mnajidharau sana?

Mimi nilifikiri mnajidharau kwa wazungu tu kumbe hata kwa waafrika wenzenu toka hapo Kenya?

Any way,

Tuendelee kudemka tukisema Samia mi 10 tena. Na ccm mbele kwa mbele.
Hii ni aibu kwa mwendazake kushindwa kutema yai akabaki kujifungia ndani.
 
Tatizo lake ni kwamba anayehutubia siyo Jiwe, na kwamba hakuwahi kupata bahati kama hiyo. Hivi nchi gani ingekubali bunge lake lihutubiwe hotuba kama zile.......
Magufuri aliwapigisha magoti akina Kinyatta,akuwapereka lkuru yetu,kawapeka kijiji chato huko na wakaufiata tena sio mara moja, Magufuri alikuwa kiboko ya manyangau,kapiga pini kwenye madini yetu sasahivi uchumi wa Kenya unapumlia mashine, sasahivi wanamshawishi Samia alegeze kamba kidogo.
 
Kuhutubia bunge la Kenya ni heshima?

Jamani kwanini chadema mnajidharau sana?

Mimi nilifikiri mnajidharau kwa wazungu tu kumbe hata kwa waafrika wenzenu toka hapo Kenya?

Any way,

Tuendelee kudemka tukisema Samia mi 10 tena. Na ccm mbele kwa mbele.
Sasa mbona kama unaona wivu Samia kupewa heshima wewe jamaa vipi?
 
Awashauri kuhusu BBI kuwa wakitaka taifa Moja wafute matumizi ya lugha za kikabila mashuleni,ofisi za serikali ,mikutano ya kisiasa na kwenye media zote kama tulivyofanya Tanzania na serikali isipeleke MTU kufanya kazi eneo alilozaliwa LA kabila yake

BBI hili tatizo halijatatua hatutaki watwangane tena watutake watanzania tumpeleke Kikwete akawasuluhishe tena
Rais wa Jamhuri ya muungano mheshimiwa Samia Suluhu anatarajia kulihutubia bunge la Kenya wakati atakapofanya ziara ya siku mbili nchini humo kuanzia kesho kutwa.

Hii no heshima kubwa inayotolewa kwa Tanzania baada ya Jakaya Kikwete kulihutubia bunge hilo wakati akiwaaga rasmi.
View attachment 1771171
Naunga mkono hoja. Taratibu tunafuta makosa makubwa sana yaliyofanywa na Mwendazake.

Ilikuwa ni ajabu mara Magufuli alipokwenda Rwanda immediately baada ya kuwa Rais pale 2015. Kwa kipindi kile JK hakuwa na mahusiano mazuri na Kagame kutokana na operesheni ya M23 ambayo majeshi yetu yalifanya pale DRC. Sikutegemea Mwendazake angekwenda kuke so fast. It was terrible mistake.

On the contrary akawa na bifu na Kenya kwa karibu kila kitu. Ni KICHAA tu ndiye anaweza kugombana na nchi ambayo kwanza ana share mpaka kwa km zaidi ya 1000 toka Mombasa- Kisumu, pili makampuni ya Kenya zaidi ya 200 yamewekeza Tanzania na kuifanya Kenya nchi ya pili kwa uwekezaji Tanzania.

Na tatu mazao yetu ya kilimo soko kubwa liko Kenya.

Hongera Rais SSH kwa kuanzia hapo na Ni matatajio yetu kuwa tutajenga uchumi kwa kasi kati yetu. Halafu tunategemea tena kusikia grammar nzuri ya English kama ilivyokuwa Uganda na Museveni
 
Yaani bavicha wakisikia Kenya huwa wanailinganisha na Marekani,

Kila bavicha huwa anadream to live in Kenya.

So haishangazi wakifurahia.
Mnaiwaza sana Chadema kuweni makini shauri yenu.
 
Temu hii mitano tena wataiimba machadema na sio CCM tena!

Siku zinakwenda Kwa Kasi Sana!!
 
Yaani bavicha wakisikia Kenya huwa wanailinganisha na Marekani,

Kila bavicha huwa anadream to live in Kenya.

So haishangazi wakifurahia.
Hata yule mgombea wao kila kitu alikuwa anajilinganisha na Kenya.

Yani akafika hatua eti nipeni kura maana nlinusurika risasi na nina damu nyingi sana za Wakenya.

Yani mkenya anaweza kwenda kwenye nyumba ya shabiki wa chadema akajimilikisha familia nzima
 
Temu hii mitano tena wataiimba machadema na sio CCM tena!

Siku zinakwenda Kwa Kasi Sana!!
Kabisa mkuu.. Tunademka nao tukiimba Samia mi 10 tena
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Magufuri aliwapigisha magoti akina Kinyatta,akuwapereka lkuru yetu,kawapeka kijiji chato huko na wakaufiata tena sio mara moja, Magufuri alikuwa kiboko ya manyangau,kapiga pini kwenye madini yetu sasahivi uchumi wa Kenya unapumlia mashine, sasahivi wanamshawishi Samia alegeze kamba kidogo.
Haya msukuma wa Chato ndani ndani hukooo. Dah umeandika huku unakaza msuli wa shingo ukisindikiza na matamshi ya kisukuma basi ni balaa tupu.
 
Haya msukuma wa Chato ndani ndani hukooo. Dah umeandika huku unakaza msuli wa shingo ukisindikiza na matamshi ya kisukuma basi ni balaa tupu.
Sawa wewe ni mzanzibari,tumewapeni nchi mtawale, lakini hauwezi kutuzuia kutoa maoni yetu kisa ni wasukuma.
 
Wakenye janja janja mno miak ya 2015 Zaid ya wakenya elf 50 walikuepo. Mjini Arusha pale walifanya mji Kama ya kwao
 
Magufuri aliwapigisha magoti akina Kinyatta,akuwapereka lkuru yetu,kawapeka kijiji chato huko na wakaufiata tena sio mara moja, Magufuri alikuwa kiboko ya manyangau,kapiga pini kwenye madini yetu sasahivi uchumi wa Kenya unapumlia mashine, sasahivi wanamshawishi Samia alegeze kamba kidogo.
Acha uongo!

Uchumi wa Kenya ni imara. Usitulishe matango pori hapa.

Mbona mnapenda kujisifu kwa mabo ya kijinga?
 
Zamani vitu vidogo kama hivi tulikuwa tunampeleka mzee asiyekuwa na tashwishwi akawabagaze wakenya,🤣🤸
 
Acha wivu kinyongori wako marehemu hata kuhutubia shule ya sekondari alikuwa hawezi. Kwanza kwa kingereza kipi?
Kuhutubia bunge la Kenya ni heshima?

Jamani kwanini chadema mnajidharau sana?

Mimi nilifikiri mnajidharau kwa wazungu tu kumbe hata kwa waafrika wenzenu toka hapo Kenya?

Any way,

Tuendelee kudemka tukisema Samia mi 10 tena. Na ccm mbele kwa mbele.
 
Back
Top Bottom