WasiojulikanaSukuma gang ni akina nanikwanza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WasiojulikanaSukuma gang ni akina nanikwanza?
Nashangaa sanaKuna watu hata hawajui kinachoendelea nchi hii nafikiri, tangia lini chadema wakawa against Samia wakati wote ni wamoja?
Una mawazo duni sanaUmesahau kitu kimoja kikubwa wote hawa wanamrengo wa kuelekea dini fulani na wanamuona Samia kwa miwani ya dini yake kama mbaguzi.
Cdm waungane na hao waliotafuta roho zao ?Urusi na Marekani japo walikuwa mahasimu waliungana na kumuangusha Hitler kwenye vita ya dunia
Ni jambo ambalo Hitler mwenyewe hakua analifikiria
Hii inatupa somo kuwa, watu ambao ni mahasimu wakubwa ambao hata hukufikiria wataungana, wanaweza kuungana ikiwa malengo yao yanafanana
SG na Chadema malengo yao wote ni kumuondoa Samia madarakani 2025
Watu hawa pia siasa zao zinafanana, utawasikia wote wakilaumu serikali kwa bei za vyakula kupanda na kutaka ifunge mipaka
Utawasikia wote wakipinga tozo, kodi na mikopo,
Utawasikia wote wakipinga machinga kuondolewa barabarani
Sukuma Gang hivi sasa nao wameanza kudai Katiba mpya baada ya kundi lao kuondolewa madarakani
Samia anatakiwa kucheza karata zake kijasusi, anatakiwa kuhakikisha watu hawa wanaendelea kuchukiana na kupingana
Ama wakiungana wanaweza kuitoa ama kuijeruhi vibaya CCM
Sidhani kama dini ni ishu, labda jinsiaUmesahau kitu kimoja kikubwa wote hawa wanamrengo wa kuelekea dini fulani na wanamuona Samia kwa miwani ya dini yake kama mbaguzi.
Zamani walisema Katiba Mpya haileti ugaliSukuma Gang hivi sasa nao wameanza kudai Katiba mpya baada ya kundi lao kuondolewa madarakani
Kwa kazi nzuri anazofanya Mhe. Rais Samia, ni dhahiri hakuna wa kumtikisa 2025. 1. Kilimo agenda 10/2030 inakwenda kwa kasi (ajira na food security itakuwa uhakika) 2. Umeme utashuka bei baada ya JNHP kutema moto, 3. reli safi, 4. Investors wanakuja na ajira zitasambaa, 5. Watoto wanasoma vizuri nk. 6. Vyombo vya habari vinaandika nk. Tuombe utulivu tu katika international politics na global economy na wanaopewa dhamana za uongozi kuanzia watendaji kata, MaDC, DED, MaRC na Mawaziri watumikie umma kwa uzalendo.🙏🙏🙏Urusi na Marekani japo walikuwa mahasimu waliungana na kumuangusha Hitler kwenye vita ya dunia. Ni jambo ambalo Hitler mwenyewe hakua analifikiria.
Hii inatupa somo kuwa, watu ambao ni mahasimu wakubwa ambao hata hukufikiria wataungana, wanaweza kuungana ikiwa malengo yao yanafanana.
SG na Chadema malengo yao wote ni kumuondoa Samia madarakani 2025. Watu hawa pia siasa zao zinafanana, utawasikia wote wakilaumu serikali kwa bei za vyakula kupanda na kutaka ifunge mipaka.
Utawasikia wote wakipinga tozo, kodi na mikopo. Utawasikia wote wakipinga machinga kuondolewa barabarani. Sukuma Gang hivi sasa nao wameanza kudai Katiba mpya baada ya kundi lao kuondolewa madarakani
Samia anatakiwa kucheza karata zake kijasusi, anatakiwa kuhakikisha watu hawa wanaendelea kuchukiana na kupingana. Ama wakiungana wanaweza kuitoa ama kuijeruhi vibaya CCM.
Hata kama waungane na mizimu lakini Rais Samia Suluhu 2025 lazima apite kwa kishindo maana watanzania tunamuamini na tunajua Tanzania ni salama na Samia may be aamue yeye asigombee na atakuwa ametuliza wengi maana kuja kupata kiongozi mchapakazi kama yeye ni hadith aiseeUrusi na Marekani japo walikuwa mahasimu waliungana na kumuangusha Hitler kwenye vita ya dunia. Ni jambo ambalo Hitler mwenyewe hakua analifikiria.
Hii inatupa somo kuwa, watu ambao ni mahasimu wakubwa ambao hata hukufikiria wataungana, wanaweza kuungana ikiwa malengo yao yanafanana.
SG na Chadema malengo yao wote ni kumuondoa Samia madarakani 2025. Watu hawa pia siasa zao zinafanana, utawasikia wote wakilaumu serikali kwa bei za vyakula kupanda na kutaka ifunge mipaka.
Utawasikia wote wakipinga tozo, kodi na mikopo. Utawasikia wote wakipinga machinga kuondolewa barabarani. Sukuma Gang hivi sasa nao wameanza kudai Katiba mpya baada ya kundi lao kuondolewa madarakani
Samia anatakiwa kucheza karata zake kijasusi, anatakiwa kuhakikisha watu hawa wanaendelea kuchukiana na kupingana. Ama wakiungana wanaweza kuitoa ama kuijeruhi vibaya CCM.
kwa maendeleo yoye haya alafu mtu anakuja na mawazo yake aliyosikia wavuta bangi wenzie wanaongea Pia ukiachilia mbali maendeleo hayo Rais Samia Suluhu ameboresha huduma zote za kijamiii ikiwemo upatikana wa elimu ya uhakika, miundombinu, afya pamoja na maji mpaka vijijiniKwa kazi nzuri anazofanya Mhe. Rais Samia, ni dhahiri hakuna wa kumtikisa 2025. 1. Kilimo agenda 10/2030 inakwenda kwa kasi (ajira na food security itakuwa uhakika) 2. Umeme utashuka bei baada ya JNHP kutema moto, 3. reli safi, 4. Investors wanakuja na ajira zitasambaa, 5. Watoto wanasoma vizuri nk. 6. Vyombo vya habari vinaandika nk. Tuombe utulivu tu katika international politics na global economy na wanaopewa dhamana za uongozi kuanzia watendaji kata, MaDC, DED, MaRC na Mawaziri watumikie umma kwa uzalendo.🙏🙏🙏
Kabisa kabisa.🙏🙏🙏kwa maendeleo yoye haya alafu mtu anakuja na mawazo yake aliyosikia wavuta bangi wenzie wanaongea Pia ukiachilia mbali maendeleo hayo Rais Samia Suluhu ameboresha huduma zote za kijamiii ikiwemo upatikana wa elimu ya uhakika, miundombinu, afya pamoja na maji mpaka vijijini
Wataungana kisera au kiulafi wa madaraka maana ni makundi yenye fikra tofauti kabisa
Leo ndo umeongea Point tangu Kuzaliwa,Urusi na Marekani japo walikuwa mahasimu waliungana na kumuangusha Hitler kwenye vita ya dunia. Ni jambo ambalo Hitler mwenyewe hakua analifikiria.
Hii inatupa somo kuwa, watu ambao ni mahasimu wakubwa ambao hata hukufikiria wataungana, wanaweza kuungana ikiwa malengo yao yanafanana.
SG na Chadema malengo yao wote ni kumuondoa Samia madarakani 2025. Watu hawa pia siasa zao zinafanana, utawasikia wote wakilaumu serikali kwa bei za vyakula kupanda na kutaka ifunge mipaka.
Utawasikia wote wakipinga tozo, kodi na mikopo. Utawasikia wote wakipinga machinga kuondolewa barabarani. Sukuma Gang hivi sasa nao wameanza kudai Katiba mpya baada ya kundi lao kuondolewa madarakani
Samia anatakiwa kucheza karata zake kijasusi, anatakiwa kuhakikisha watu hawa wanaendelea kuchukiana na kupingana. Ama wakiungana wanaweza kuitoa ama kuijeruhi vibaya CCM.
Pia kumbuka Sa100 alishastukia njama zenu za kumgombanisha na CDM.Urusi na Marekani japo walikuwa mahasimu waliungana na kumuangusha Hitler kwenye vita ya dunia. Ni jambo ambalo Hitler mwenyewe hakua analifikiria.
Hii inatupa somo kuwa, watu ambao ni mahasimu wakubwa ambao hata hukufikiria wataungana, wanaweza kuungana ikiwa malengo yao yanafanana.
SG na Chadema malengo yao wote ni kumuondoa Samia madarakani 2025. Watu hawa pia siasa zao zinafanana, utawasikia wote wakilaumu serikali kwa bei za vyakula kupanda na kutaka ifunge mipaka.
Utawasikia wote wakipinga tozo, kodi na mikopo. Utawasikia wote wakipinga machinga kuondolewa barabarani. Sukuma Gang hivi sasa nao wameanza kudai Katiba mpya baada ya kundi lao kuondolewa madarakani
Samia anatakiwa kucheza karata zake kijasusi, anatakiwa kuhakikisha watu hawa wanaendelea kuchukiana na kupingana. Ama wakiungana wanaweza kuitoa ama kuijeruhi vibaya CCM.
Bt pia kuungana Kwa CDM na kundi la kufikirika,Urusi na Marekani japo walikuwa mahasimu waliungana na kumuangusha Hitler kwenye vita ya dunia. Ni jambo ambalo Hitler mwenyewe hakua analifikiria.
Hii inatupa somo kuwa, watu ambao ni mahasimu wakubwa ambao hata hukufikiria wataungana, wanaweza kuungana ikiwa malengo yao yanafanana.
SG na Chadema malengo yao wote ni kumuondoa Samia madarakani 2025. Watu hawa pia siasa zao zinafanana, utawasikia wote wakilaumu serikali kwa bei za vyakula kupanda na kutaka ifunge mipaka.
Utawasikia wote wakipinga tozo, kodi na mikopo. Utawasikia wote wakipinga machinga kuondolewa barabarani. Sukuma Gang hivi sasa nao wameanza kudai Katiba mpya baada ya kundi lao kuondolewa madarakani
Samia anatakiwa kucheza karata zake kijasusi, anatakiwa kuhakikisha watu hawa wanaendelea kuchukiana na kupingana. Ama wakiungana wanaweza kuitoa ama kuijeruhi vibaya CCM.
Jamani,Urusi na Marekani japo walikuwa mahasimu waliungana na kumuangusha Hitler kwenye vita ya dunia. Ni jambo ambalo Hitler mwenyewe hakua analifikiria.
Hii inatupa somo kuwa, watu ambao ni mahasimu wakubwa ambao hata hukufikiria wataungana, wanaweza kuungana ikiwa malengo yao yanafanana.
SG na Chadema malengo yao wote ni kumuondoa Samia madarakani 2025. Watu hawa pia siasa zao zinafanana, utawasikia wote wakilaumu serikali kwa bei za vyakula kupanda na kutaka ifunge mipaka.
Utawasikia wote wakipinga tozo, kodi na mikopo. Utawasikia wote wakipinga machinga kuondolewa barabarani. Sukuma Gang hivi sasa nao wameanza kudai Katiba mpya baada ya kundi lao kuondolewa madarakani
Samia anatakiwa kucheza karata zake kijasusi, anatakiwa kuhakikisha watu hawa wanaendelea kuchukiana na kupingana. Ama wakiungana wanaweza kuitoa ama kuijeruhi vibaya CCM.
SG hawana uhusiano wowote na CDM wanaojitambua kuwa nchi hii sio ya mtu Fulani au kikundi ni ya WaTanzania na lazima wapewe haki zao za msingi.Urusi na Marekani japo walikuwa mahasimu waliungana na kumuangusha Hitler kwenye vita ya dunia. Ni jambo ambalo Hitler mwenyewe hakua analifikiria.
Hii inatupa somo kuwa, watu ambao ni mahasimu wakubwa ambao hata hukufikiria wataungana, wanaweza kuungana ikiwa malengo yao yanafanana.
SG na Chadema malengo yao wote ni kumuondoa Samia madarakani 2025. Watu hawa pia siasa zao zinafanana, utawasikia wote wakilaumu serikali kwa bei za vyakula kupanda na kutaka ifunge mipaka.
Utawasikia wote wakipinga tozo, kodi na mikopo. Utawasikia wote wakipinga machinga kuondolewa barabarani. Sukuma Gang hivi sasa nao wameanza kudai Katiba mpya baada ya kundi lao kuondolewa madarakani
Samia anatakiwa kucheza karata zake kijasusi, anatakiwa kuhakikisha watu hawa wanaendelea kuchukiana na kupingana. Ama wakiungana wanaweza kuitoa ama kuijeruhi vibaya CCM.
HahaaKulwa Jilala johnthebaptist Crimea Nigrastratatract nerve mama D Kamanda Asiyechoka kipara kipya Magonjwa Mtambuka na wengine wa aina hiyo hawatakaa wakubalike na CHADEMA kamwe.
Mimi pia sipendi kulitumia Ila ndio hivyo limeshakua jina humuJamani,
Hao watu mnaowaita "Sukuma Gang" watafutieni jina jingine.
Wasukuma wengi hatupendi ujinga wa kuendesha siasa za kikabila, na hata Magufuli wengine hatukumkubali..
Kwa hivyo nawaomba muache kuunganisha jina la kabila lenye watu wengi sana Tanzania na siasa za kikabila ambazo wengi hatukubaliani nazo.
Mnapandikiza mbegu za ukabila na kujenga taswira kwamba Wasukuma wanapenda siasa za ukabila.
Kitu ambacho si kweli.