MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Mnataka kuwachonganisha wasukuma na Chadema. Sukuma gang imeanza kuimbwa huko huko CCM.
Chadema jikiteni kanda ya ziwa ukombozi wa kweli upo huko. Fanyeni rebranding ya chama ili kisikae kichaga kama inavyoimbwa ( hata kama ni uongo).
Pia msijitoe ufahamu, kanda ya ziwa huwaambii kitu kwa mpendwa wao mwendazake. Hapo msiingie kichwa kichwa, pigeni nyundo kwa akili otherwise hamtaeleweka na kampeni yenu inaweza kuja na mengine.
Fanyeni amani na wote mliokwaruzana maana ndani yake hata chama kilikosea pakubwa! Hii ni wakiwemo wabunge wa covid19. Msione haya, waiteni waonyeni na kuwapa adhabu lakini waendelee kutumikia chama. Zipo assets kuruhusu zifutike kwa mambo yanayojadilika ni kurudi nyuma ( Mbowe anajua vema maana ndio main sponsor).
Pangeni upya safu za uongozi na kwa kipindi hiki kifupi kuelekea uchaguzi wa 2025 chagueni ajenda chache na mzisimamie bila mijadala ya vichochoroni. Mkihusisha umma, mijadala iwe ya umma.
Mnahitaji kukijenga upya kitengo cha propaganda hasa mitandaoni. Kimegeuka kuwa kama wale wa Lumumba! Kumejaa kelele nyingi zisizo na tija kwa chama wala umma. Channel of communication iwe very clear badala ya kila mtu kuibua hisia zake na kupishana wakati mwingine hata fundamental principle za chama.
Maoni huru kwa maendeleo ya upinzani imara.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Chadema jikiteni kanda ya ziwa ukombozi wa kweli upo huko. Fanyeni rebranding ya chama ili kisikae kichaga kama inavyoimbwa ( hata kama ni uongo).
Pia msijitoe ufahamu, kanda ya ziwa huwaambii kitu kwa mpendwa wao mwendazake. Hapo msiingie kichwa kichwa, pigeni nyundo kwa akili otherwise hamtaeleweka na kampeni yenu inaweza kuja na mengine.
Fanyeni amani na wote mliokwaruzana maana ndani yake hata chama kilikosea pakubwa! Hii ni wakiwemo wabunge wa covid19. Msione haya, waiteni waonyeni na kuwapa adhabu lakini waendelee kutumikia chama. Zipo assets kuruhusu zifutike kwa mambo yanayojadilika ni kurudi nyuma ( Mbowe anajua vema maana ndio main sponsor).
Pangeni upya safu za uongozi na kwa kipindi hiki kifupi kuelekea uchaguzi wa 2025 chagueni ajenda chache na mzisimamie bila mijadala ya vichochoroni. Mkihusisha umma, mijadala iwe ya umma.
Mnahitaji kukijenga upya kitengo cha propaganda hasa mitandaoni. Kimegeuka kuwa kama wale wa Lumumba! Kumejaa kelele nyingi zisizo na tija kwa chama wala umma. Channel of communication iwe very clear badala ya kila mtu kuibua hisia zake na kupishana wakati mwingine hata fundamental principle za chama.
Maoni huru kwa maendeleo ya upinzani imara.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app