Rais Samia kuwa mgeni rasmi siku ya sheria, Februari 2

Rais Samia kuwa mgeni rasmi siku ya sheria, Februari 2

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1643618317425.png

Uongozi wa Mahakama ya Tanzania, umesema Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kuongoza sherehe za Siku ya Sheria Februari 2, Chinagali jijini Dodoma, badala ya Februari Mosi, 2022.

Hatua ya kuahirisha sherehe hizo zilizokuwa zifanyike Februari Mosi imetokana na sababu zisizoweza kuzuilika.

Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na Jaji Mkuu kitengo cha habari, Elimu na Mawasiliano, Tiganya Vicent kauli mbiu ya mwaka huu ni Zama za Mapinduzi ya nne ya Viwanda; Safari ya Maboresho kuelekea Mahakama Mtandao.
 
Atafutwe Sabaya au Mbowe wakawe wageni rasmi ndio wanaweza kusimulia aina gani ya sheria kandamizi ili zibadilishwe.
Wameonja maisha ya uraiani na yale ya mahabusu. Ila siwakejeli nawapa pole sana
 
Atafutwe Sabaya au Mbowe wakawe wageni rasmi ndio wanaweza kusimulia aina gani ya sheria kandamizi ili zibadilishwe.
Wameonja maisha ya uraiani na yale ya mahabusu. Ila siwakejeli nawapa pole sana
Sabaya na Mbowe wapatanishwe kesi zao zifutwe tuendelee na mambo mengine.
 
Naamini jaji mkuu atakuwa ameshaandaa speech ya kujipendekeza.
 

Uongozi wa Mahakama ya Tanzania, umesema Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kuongoza sherehe za Siku ya Sheria Februari 2, Chinagali jijini Dodoma, badala ya Februari Mosi, 2022.

Hatua ya kuahirisha sherehe hizo zilizokuwa zifanyike Februari Mosi imetokana na sababu zisizoweza kuzuilika.

Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na Jaji Mkuu kitengo cha habari, Elimu na Mawasiliano, Tiganya Vicent kauli mbiu ya mwaka huu ni Zama za Mapinduzi ya nne ya Viwanda; Safari ya Maboresho kuelekea Mahakama Mtandao.
Tutakuja tupate umeme.
 
Back
Top Bottom